Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Serikali Tuachieni wana CCM tupambane na TEC

Wananchi wengi ni makondoo hilo halina mjadala. Hakuna mtu yoyote wa CDM anajivunia kupata kura kwa ajili ya ujinga wa mwananchi. Isingekuwa ukondoo wa wananchi wengi, leo hii CCM isingekuwa madarakani maana haiko madarakani kwa kura.
Asante sana wananchi wamekusikia. Tukumbushane 2025 wakati mnaomba kura kwa makondoo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tuangeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Maendeleo gani?????
 
Yes vinarekebishika kwenye HGA...
Sasa wale Maaskofu na usomi wao wameshindwa kuelewa nini??
Acha kupotosha. Yani IGA iwe na mapungufu baadala ya kuyarekebisha mnasubiri HGA?. IGA ndio mwongozo, Sasa Kama ni mbovu hata HGA zitakuwa mbovu.
 
Asante sana wananchi wamekusikia. Tukumbushane 2025 wakati mnaomba kura kwa makondoo.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
2025 kutakuwa na nini? Kwani nchi hii kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Kama mnaingia kwenye uchaguzi, kisha wengine wanapita bila kupingwa, mabox ya kura fake yanaingizwa vituoni kwa utaratibu wa vyombo vya dola, huo ni uchaguzi au upuuzi?
 
Vyama vya siasa si vipo si ndio kazi yao? Serikali haina dini huwezi kusema leo kanisa liiamrishe serikali hivi na waislamu nao wakaawambie waislamu hivi. Unategemea serikali itafanya kazi zake hapo? Hawa wahuni ni wanatakiwa kukutana na wahuni wenzao ili twende sawa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
UVCC ndo wamepewa waraka wausome Leo na baada ya hapo kikaumana Bunda kumbe CCM na wabunge leo ndo wameuelewa mkataba baada ya waraka kusomwa kanisani.
 
2025 kutakuwa na nini? Kwani nchi hii kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura? Kama mnaingia kwenye uchaguzi, kisha wengine wanapita bila kupingwa, mabox ya kura fake yanaingizwa vituoni kwa utaratibu wa vyombo vya dola, huo ni uchaguzi au upuuzi?
Ngoja mbowe akusikie ufukuzwe uanachama. Wenzako wanakula kupitia kura wewe unaleta makasiriko shauri yako utakufa na njaa zako.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Kweli kabisa hapo umenena sisi ndio chama Dume hii Bandari ni swala dogo sana kwetu,Serikali iendelee na kujenga Taifa.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Kujipigania mwenyewe tu hauwezi, ndiyo ukapambanie wengine?
Uaminiwe wewe kwa hoja hizi? Wewe kweli ni Sir Elton John
 
Hawa dawa yao ni kuanika madudu yao ya uchakataji kondoo maana wamelenga kuligawa taifa kwa udini wao.

Kanisa lina kashfa kubwa ya makasisi kulawiti watoto huo waraka watausoma lini kulaani ulawiti wa watoto? Acheni siasa la sivyo vueni hayo majoho.
Kama ni hili la kuchakata kondoo au kulawiti nyie msikiti hamponi. Kwa sasa suala la maadili limekuwa changamoto kubwa ndio maana watu wanaojitambua hawapotezi muda kushiriki huko kwenye nyumba za ibada. Wajinga tu ndio mmebaki kuona dini ni kitu cha maana. Dini ya kweli ni pesa sio huo upuuzi.
 
Vyama vya siasa si vipo si ndio kazi yao? Serikali haina dini huwezi kusema leo kanisa liiamrishe serikali hivi na waislamu nao wakaawambie waislamu hivi. Unategemea serikali itafanya kazi zake hapo? Hawa wahuni ni wanatakiwa kukutana na wahuni wenzao ili twende sawa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
wahuni kazi yao ni kutukana tu, sasa tuonyeshe matusi kwenye hizo hoja vinginevyo wewe ndio muhuni ulieingiza uhuni kwenye hoja hizi.
 
Hamia China basi tuachie Tanzania yetu acha kuleta dharau babako muulize vizuri ndio anajua tumetoka wapi miaka 60 iliyopita. Hivi vitoto vilivyozaliwa kuanzia miaka ya 90 mnaleta ujuaji sana pumbavu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
We Fala tu na ccm wote wajinga, kama hamuwezi kusoma mikataba na kuelewa kwa miaka 60 sasa utu uzima wenu una maana gani? , uelewa haina umri, kwa ufupi Tanzania hakuna maendeleo ni nchi manikini kwa kila kitu, sababu kubwa ni ccm mburura ni 97%, ukiwemo wewe.
 
Naishauri Serikali yangu isihangaike na TEC; hili suala tungeachiwa CCM tunajua fitina za kushughulika na hawa watu sisi ndio chama Dume tuliyopigania na kudumisha uhuru wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 60.

Maendeleo mnayoyaona hayakuja kwa bahati mbaya ni mipango madhubuti ya Chama Cha Mapinduzi. Hili suala tuachiwe sisi naona kama serikali itajipa majukumu mepesi wakati mambo ya kufanya ni mengi.

CCM Oyeee.
Imagine this mindset 👆👆🤣🤣🤣🤣!! Eti kwa akili hizi ndio wanataka kuivusha bongo kwenda Nchi ya maziwa na asali?? Maaafii ya nguchiro!! NB: Pambaneni na hoja za msingi za wanaopinga ule mkataba!! Tec sio CDM... Mara kamata yule, weka ndan yule, mpe kesi yule!!!
 
Back
Top Bottom