Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,246
- 27,500
- Thread starter
- #201
Vyama vya siasa si vipo si ndio kazi yao? Serikali haina dini huwezi kusema leo kanisa liiamrishe serikali hivi na waislamu nao wakaawambie waislamu hivi. Unategemea serikali itafanya kazi zake hapo? Hawa wahuni ni wanatakiwa kukutana na wahuni wenzao ili twende sawa.Serikali inawaumiza waumini kwa hiyo wakae kimya kama kondoo anayekwenda kuchinjwa?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app