Serikali toa tamko kuhusu Balozi Nchimbi kutenguliwa kisha kurudishwa kisiri siri kazini bila umma kutangaziwa

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,861
Serikali itoe taarifa kwa umma kama utenguzi wa Balozi wa Tanzania nchini Misri ulifutwa ama laa.
1695973764197.jpg

Tarehe 15 August 2023 Rais Samia alifanya mabadiliko ya vituo vya kazi na utenguzi wa mabalozi na kumrejesha nyumbani Balozi wa Misri Nchini Tanzania Ndugu Emmanuel Nchimbi, na nafasi yake ikachululiwa na Balozi Meja General Makazo.
1695973747156.jpg
Taarifa hiyo ilitolewa kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu.
1695973753453.jpg
Tangu hapo hakukuwepo na taarifa yoyote ya mabadiliko juu ya nafasi hiyo.

Lakini siku 42 baadae yaani juzi baada ya Tanzania kupata nafasi ya kuwa mwenyeji wa AFCON 2027, Msafara wa Tanzania uliongozwa na Balozi wa Tanzania nchini Misri ambae ni Dr Emmanuel Nchimbi ambae taifa linajua alitenguliwa na kurejeshwa Tanzania. Taifa linatakiwa kutangaziwa mabadiliko mengine kama yalifanywa na lifahamishwe Meja Jenerali Makanzo kapelekwa kituo gani cha kazi ikiwa Nchimbi bado anahudumu kama balozi nchini Misri.
1695973769502.jpg

Ni takwa la kikatiba na kisheria umma kutangaziwa mabadiliko ya nafasi yoyote ya uteule wa kirais na sio vinginevyo. Kama kuna Mabadiliko ya kimyakimya basi yanaleta mkanganyiko kwa umma.
 
Serikali huwa haifanyi shughuli zake kwa pupa, hususani kwenye masuala ya mambo ya Nje. Kuna kanuni zake.
 
Serikali itoe taarifa kwa umma kama utenguzi wa Balozi wa Tanzania nchini Misri ulifutwa ama laa.
View attachment 2766069
Tarehe 15 August 2023 Rais Samia alifanya mabadiliko ya vituo vya kazi na utenguzi wa mabalozi na kumrejesha nyumbani Balozi wa Misri Nchini Tanzania Ndugu Emmanuel Nchimbi, na nafasi yake ikachululiwa na Balozi Meja General Makazo.
View attachment 2766068Taarifa hiyo ilitolewa kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu.
View attachment 2766070Tangu hapo hakukuwepo na taarifa yoyote ya mabadiliko juu ya nafasi hiyo.

Lakini siku 42 baadae yaani juzi baada ya Tanzania kupata nafasi ya kuwa mwenyeji wa AFCON 2027, Msafara wa Tanzania uliongozwa na Balozi wa Tanzania nchini Misri ambae ni Dr Emmanuel Nchimbi ambae taifa linajua alitenguliwa na kurejeshwa Tanzania. Taifa linatakiwa kutangaziwa mabadiliko mengine kama yalifanywa na lifahamishwe Meja Jenerali Makanzo kapelekwa kituo gani cha kazi ikiwa Nchimbi bado anahudumu kama balozi nchini Misri.
View attachment 2766071
Ni takwa la kikatiba na kisheria umma kutangaziwa mabadiliko ya nafasi yoyote ya uteule wa kirais na sio vinginevyo. Kama kuna Mabadiliko ya kimyakimya basi yanaleta mkanganyiko kwa umma.
Ni takwa la kikatiba na kisheria umma kutangaziwa mabadiliko ya nafasi yoyote ya uteule wa kirais na sio vinginevyo. Kama kuna Mabadiliko ya kimyakimya basi yanaleta mkanganyiko kwa umma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh hayo sijui kwakweli
Ninachojua mie tu ni kwamba Nchimbi ni mwanasiasa mkongwe na mbobevu
Pia ni hazina kwa taifa kwa nyazifa kadhaa amabazo ametumikia kwenye nchi
Bado ni hazina ambayo ikihitajika wakati wowote itatumika kwa maendeleo ya nchi.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Serikali itoe taarifa kwa umma kama utenguzi wa Balozi wa Tanzania nchini Misri ulifutwa ama laa.
View attachment 2766069
Tarehe 15 August 2023 Rais Samia alifanya mabadiliko ya vituo vya kazi na utenguzi wa mabalozi na kumrejesha nyumbani Balozi wa Misri Nchini Tanzania Ndugu Emmanuel Nchimbi, na nafasi yake ikachululiwa na Balozi Meja General Makazo.
View attachment 2766068Taarifa hiyo ilitolewa kupitia Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu.
View attachment 2766070Tangu hapo hakukuwepo na taarifa yoyote ya mabadiliko juu ya nafasi hiyo.

Lakini siku 42 baadae yaani juzi baada ya Tanzania kupata nafasi ya kuwa mwenyeji wa AFCON 2027, Msafara wa Tanzania uliongozwa na Balozi wa Tanzania nchini Misri ambae ni Dr Emmanuel Nchimbi ambae taifa linajua alitenguliwa na kurejeshwa Tanzania. Taifa linatakiwa kutangaziwa mabadiliko mengine kama yalifanywa na lifahamishwe Meja Jenerali Makanzo kapelekwa kituo gani cha kazi ikiwa Nchimbi bado anahudumu kama balozi nchini Misri.
View attachment 2766071
Ni takwa la kikatiba na kisheria umma kutangaziwa mabadiliko ya nafasi yoyote ya uteule wa kirais na sio vinginevyo. Kama kuna Mabadiliko ya kimyakimya basi yanaleta mkanganyiko kwa umma.
Anafanana na Jonas Savimbi!
 
Mmmh hayo sijui kwakweli
Ninachojua mie tu ni kwamba Nchimbi ni mwanasiasa mkongwe na mbobevu
Pia ni hazina kwa taifa kwa nyazifa kadhaa amabazo ametumikia kwenye nchi
Bado ni hazina ambayo ikihitajika wakati wowote itatumika kwa maendeleo ya nchi.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Wewe hujioni kuwa hazina ya taifa hili isipokuwa mwanasiasa mkongwe Nchimbi ? :oops:
 
Nadhani ni kwa sababu walikosa sababu ya kuwaeleza wananchi kwa nini wamemrudisha.
 
Kwanza alitolewa brasil akarudi bongo akasota weeee ndio akaenda Egypt .....wanamuogopa sana ....siasa chafu ndio mwenyewe
 
Back
Top Bottom