Serikali Mpya iko Mlangoni, Hata wa kujiuzuru Hamna?

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,826
35,827
Mh. Job Ndugai kesha vunja ukimya.

Majibu ya mama yamesikika. Wapi kasimama Ndugai kama yeye na washirika wake kinafahamika.

Mama kasema kuna watuhumiwa wa uchaguzi wa 2025. Kwamba hao wote hawatakuwamo kwenye serikali yake mpya.

Kutokuwepo kwa hata mmoja wa kujiuzuru ni dalili mbaya kisiasa nchini.

Kama watu wametajwa hadi kwa majina yao hadharani, huko faraghani je hali itakuwa vipi?

"Mmekomaa ofisini kwamba nyie mliwekwa na Mungu? Au?"

Job Ndugai aseme neno la faraja sasa. Hayuko peke yake.

Kupitia kwake, Tanzania yenye mihimili iliyo na uhuru kamili karibu itazaliwa.

Mungu atupe nini?
 
Mh. Job Ndugai kesha vunja ukimya.

Majibu ya mama yamesikika. Wapi kasimama Ndugai kama yeye na washirika wake kinafahamika.

Mama kasema kuna watuhumiwa wa uchaguzi wa 2025. Kwamba hao wote hawatakuwamo kwenye serikali yake mpya.

Kutokuwepo kwa hata mmoja wa kujiuzuru ni dalili mbaya kisiasa nchini.

Kama watu wametajwa hadi kwa majina yao hadharani, huko faraghani je hali itakuwa vipi?

"Mmekomaa ofisini kwamba nyie mliwekwa na Mungu? Au?"

Job Ndugai aseme neno la faraja sasa. Hayuko peke yake.

Kupitia kwake, Tanzania yenye mihimili iliyo na uhuru kamili karibu itazaliwa.

Mungu atupe nini?
Yeye mwenyewe ana 2025 fever
 
Ndungai Hana tyme hyo...yeye ni mhimili unaojitegemea , aliomba msamaha kama uungwana wa kitanzania japo hakutakiwa kufanya hvyo mana hakuna kosa alilolifanya kikatiba , badala yake karudishiwa maneno ya dharau na kejeli , .....!! Kama vipi amfukuze kazi ndugai but kujiuzuru big nooo
 
"Mmekomaa ofisini kwamba nyie mliwekwa na Mungu? Au?"
Sio rahisi mkuu, ngumu kumeza; wacha wakomae mpaka kieleweke. Labda Mh. raisi ataingiwa na roho ya huruma na kuwanusuru wengine....just saying
 
Ajiri uzuru kwa sababu ipi, labda useme wamng’oe hapo sawa, ndugai ameupiga mwingi mnooo hatakiwi kujiudhuru , akijiudhuru ni udhaifu wa kiuoga pia atakuwa ameonesha, akomae mpaka wamtoe ma fisi wenzie
Alipoamua kuomba msamaha tu ndio mwisho wa kuupiga mwingi ulipoishia.
 
Mh. Job Ndugai kesha vunja ukimya.

Majibu ya mama yamesikika. Wapi kasimama Ndugai kama yeye na washirika wake kinafahamika.

Mama kasema kuna watuhumiwa wa uchaguzi wa 2025. Kwamba hao wote hawatakuwamo kwenye serikali yake mpya.

Kutokuwepo kwa hata mmoja wa kujiuzuru ni dalili mbaya kisiasa nchini.

Kama watu wametajwa hadi kwa majina yao hadharani, huko faraghani je hali itakuwa vipi?

"Mmekomaa ofisini kwamba nyie mliwekwa na Mungu? Au?"

Job Ndugai aseme neno la faraja sasa. Hayuko peke yake.

Kupitia kwake, Tanzania yenye mihimili iliyo na uhuru kamili karibu itazaliwa.

Mungu atupe nini?
WAMEKUWA KAMA KUPE WATAONDOLEWA KILAZIMA
 
WAMEKUWA KAMA KUPE WATAONDOLEWA KILAZIMA

Sakata la Ndugai likifika mwisho fairly tutegemee:

1. Utawala na mihimili yenye uhuru kamili
2. Watawala kuwapo madarakani kwa ridhaa ya wananchi
3. Watawala kuwajibika kwa wananchi
4. Kuzaliwa kwa katiba mpya ya wananchi.
5. Kuzaliwa kwa Tanzania mpya.

Vita vitakwisha fairly si kwa hisani bali kwa kupiganwa haswa. Vita hivi anapigana Ndugai peke yake?

Wako wapi washirika?

Sakata la Ndugai: Mashabiki wako mkao wa Kula

Au tumechagua kuwa mashabiki (wapenzi watazamaji) tukiwa mkao wa kula?
 
Bunge ndilo sauti ya wananchi, spika hatoki hadi bunge livinjwe uitishwe uchaguzi mkuu!!
 
Alipoamua kuomba msamaha tu ndio mwisho wa kuupiga mwingi ulipoishia.

Kuamua kuomba msamaha kwa Ndugai ni ukomavu:

IMG_20220105_143355_470.jpg
 
Back
Top Bottom