- Thread starter
- #21
Do you mean our commander in chief is weak!!?
Did I say so?
Do you mean our commander in chief is weak!!?
The attachmentDid I say so?
What does it say?The attachment
Alikuwa na hoja ya msingi sana. Lakini the moment alipoamua kuikana na kuikana nafsi yake aliharibu kila kitu.Ajiuzulu nini?
Mgogo akijiuzulu atakuwa bwege
Alikuwa na hoja ya msingi sana. Lakini the moment alipoamua kuikana na kuikana nafsi yake aliharibu kila kitu.
Ndiyo na mimi nikakuuliza, unamaanisha Amiri Jeshi wetu mkuu ni dhaifu?Ndugai kaomba msamaha kiungwana yaishe bila shaka kuwa ujumbe umefika.
Walioombwa msamaha hawataki.
Anasema Mahatma Gandhi:
View attachment 2070637
Ndiyo na mimi nikakuuliza, unamaanisha Amiri Jeshi wetu mkuu ni dhaifu?
Ayubu aendelee kukomaa hivyo hivyo. Kwanza anatakiwa apige come back moja matata sana. Dont back down JoBo.
Embu tuelezee amfukuze kazi kivipi? Je rais ana mamlaka ya kumfukuza speaker wa bunge?Ndungai Hana tyme hyo...yeye ni mhimili unaojitegemea , aliomba msamaha kama uungwana wa kitanzania japo hakutakiwa kufanya hvyo mana hakuna kosa alilolifanya kikatiba , badala yake karudishiwa maneno ya dharau na kejeli , .....!! Kama vipi amfukuze kazi ndugai but kujiuzuru big nooo