Serikali Kuwalipa Wanajeshi Mishahara mapema, ni mpango mkakati, Sitoshangaa JWTZ ikatoa tamko la Kufanya Usafi Barabara za kuzunguka Mahakama 24/4?

Serikali Kuwalipa Wanajeshi Mishahara mapema, ni mpango mkakati, Sitoshangaa JWTZ ikatoa tamko la Kufanya Usafi Barabara za kuzunguka Mahakama 24/4?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Mbinu ya CCM miaka yote ni ileile, kuwalisha Chambo watu wote wanaweza kua kikwazo kwao, ili inturn alokula Chambo awe Hana namna nyingine !!.

CCM wamefanya hivo, ili Jeshi lione linajaliwa, na matokeo yake ni Jeshi nalo baadae kulipa Fadhila.

Ni Baada ya Hotuba ya Mzee Warioba, kua Taasisi pekee inayofanya kazi Kwa weledi ni JWTZ .

Serikali ya CCM imeona ije na Mbinu ya kuanza Kuwalipa Mishahara Wanajeshi mapema mapema, zoezi hili ni endelevu ,litaendelea mpaka mwaka huu uishe, na mwaka ukishaisha, Wanajeshi watarudi Kulipwa Mishahara yao tarehe waloizoea.



WITO wangu Kwa JWTZ !! Msikubali kutumika kama Jeshi la Polisi linavyotumika !!. Nchi hii hatimiliki yake ni ya watanzania wote, Kwa Sasa Tunapambania HAKI , HAKI HAKI, tunahitaji kupata Viongozi tulowachagua wenyewe kupitia Mfumo huru wa Uchaguzi wenye Haki na Ukweli.
 
Jeshi ni Taasisi pekee ambayo huko mwanzo ilikuwa free from cheap politics za CCM.

Ulikuwa huwezj kuwasikia wakifanya matamko ya Wanasiasa na ndo mana waliheshimiwa sana.

Saivi Jeshi letu limeingizwa machawa sana wa CCM. Ila wana nafasi ya kujirekebisha.
 
Japo mimi pia naungoja mshahara ila sidhani kama ni sawa watu kulalamika mishahara imechelewa.

Mshahara huu tunaolipwa huwa tunafanyiwa hisani kulipwa tarehe 22, au 23 au 24. Na ni hisani kulipwa mapema kwasababu hata mkataba wa kazi unasema tarehe ya mshahara ni mwisho wa mwezi tarehe 30 au 31

Kama wamelipwa JWTZ na wengine hawajalipwa inaweza kuwa ni private arrangement tu iliyokuwa organised na wizara au management ya JWTZ (japo sina uhakika kuhusu hili)
 
Sidhan kama JWTZ unaweza kutumika Kisiasa ili hali

Wamasai Ngorongoro wanahamishwa.
DP World Kapewa Mwarabu
Uchaguzi unachafuliwa Kila uchwao
Wapinzani wanapewa kesi za uhain sababu ya kuzungumza HAKI.

IKIWA Taasisi za Kidini , Siasa, NGOs mbalimbali zinazungumzia Suala la HAKI ZA KICHAGUZI, KATIBA MPYA.

Basi Jukumu la JWTZ litabaki kulinda Nchi na Mipaka yake.
 
Jeshi ni Taasisi pekee ambayo huko mwanzo ilikuwa free from cheap politics za CCM.

Ulikuwa huwezj kuwasikia wakifanya matamko ya Wanasiasa na ndo mana waliheshimiwa sana.

Saivi Jeshi letu limeingizwa machawa sana wa CCM. Ila wana nafasi ya kujirekebisha.
Na Vipi kuhusu geshi la CHADEMA? Lissu yuko ndani vijana wake mnategemea matamko ya maaskofu really??
 
Hivi Mimi uwa sielewi anayelipwa mshahara tarehe 20,23 25 30 na tarehe 1 Wana tofati gani ?

Kama mshahara wako ni tarehe 1 mpaka tarehe moja Tena

Una tofauti gani na anayelipwa tarehe 20, 15 23??
 
Mbinu ya CCM miaka yote ni ileile, kuwalisha Chambo watu wote wanaweza kua kikwazo kwao, ili inturn alokula Chambo awe Hana namna nyingine !!.

CCM wamefanya hivo, ili Jeshi lione linajaliwa, na matokeo yake ni Jeshi nalo baadae kulipa Fadhila.

Ni Baada ya Hotuba ya Mzee Warioba, kua Taasisi pekee inayofanya kazi Kwa weledi ni JWTZ .

Serikali ya CCM imeona ije na Mbinu ya kuanza Kuwalipa Mishahara Wanajeshi mapema mapema, zoezi hili ni endelevu ,litaendelea mpaka mwaka huu uishe, na mwaka ukishaisha, Wanajeshi watarudi Kulipwa Mishahara yao tarehe waloizoea.



WITO wangu Kwa JWTZ !! Msikubali kutumika kama Jeshi la Polisi linavyotumika !!. Nchi hii hatimiliki yake ni ya watanzania wote, Kwa Sasa Tunapambania HAKI , HAKI HAKI, tunahitaji kupata Viongozi tulowachagua wenyewe kupitia Mfumo huru wa Uchaguzi wenye Haki na Ukweli.
Wanajeshi ni misrule
Ndiyo maana hata nautical hawalipi
 
Mbinu ya CCM miaka yote ni ileile, kuwalisha Chambo watu wote wanaweza kua kikwazo kwao, ili inturn alokula Chambo awe Hana namna nyingine !!.

CCM wamefanya hivo, ili Jeshi lione linajaliwa, na matokeo yake ni Jeshi nalo baadae kulipa Fadhila.

Ni Baada ya Hotuba ya Mzee Warioba, kua Taasisi pekee inayofanya kazi Kwa weledi ni JWTZ .

Serikali ya CCM imeona ije na Mbinu ya kuanza Kuwalipa Mishahara Wanajeshi mapema mapema, zoezi hili ni endelevu ,litaendelea mpaka mwaka huu uishe, na mwaka ukishaisha, Wanajeshi watarudi Kulipwa Mishahara yao tarehe waloizoea.



WITO wangu Kwa JWTZ !! Msikubali kutumika kama Jeshi la Polisi linavyotumika !!. Nchi hii hatimiliki yake ni ya watanzania wote, Kwa Sasa Tunapambania HAKI , HAKI HAKI, tunahitaji kupata Viongozi tulowachagua wenyewe kupitia Mfumo huru wa Uchaguzi wenye Haki na Ukweli.
Na sio wanajeshi tu hadi mapolisi tayari ila watumishi wengine bado,ujinga kabisa.
 
Sidhan kama JWTZ unaweza kutumika Kisiasa ili hali

Wamasai Ngorongoro wanahamishwa.
DP World Kapewa Mwarabu
Uchaguzi unachafuliwa Kila uchwao
Wapinzani wanapewa kesi za uhain sababu ya kuzungumza HAKI.

IKIWA Taasisi za Kidini , Siasa, NGOs mbalimbali zinazungumzia Suala la HAKI ZA KICHAGUZI, KATIBA MPYA.

Basi Jukumu la JWTZ litabaki kulinda Nchi na Mipaka yake.
Pale mageuzi na mabadiliko yanapotokea kwa nguvu ya wananchi wakati jeshi linakuwa km limeegemea kwa watawala ni bahati mbaya kwao..sababu hata wao mabadiliko yatawahusu! Kwa hali ilivyo JW wasimame na agenda ya wananchi ya kutaka MABADILIKO km jina lao lilivyo!
 
Sasa jeshi si ni taasisi au mnafikir jeshi lipo chin ya TAMISEMI?

Wanajeshi hulipwa kabla ya watu wa TAMISEMI siku zote
 
Watu wakishachoka kitu hata hili jeshi halina maan!.
 
Japo mimi pia naungoja mshahara ila sidhani kama ni sawa watu kulalamika mishahara imechelewa.

Mshahara huu tunaolipwa huwa tunafanyiwa hisani kulipwa tarehe 22, au 23 au 24. Na ni hisani kulipwa mapema kwasababu hata mkataba wa kazi unasema tarehe ya mshahara ni mwisho wa mwezi tarehe 30 au 31

Kama wamelipwa JWTZ na wengine hawajalipwa inaweza kuwa ni private arrangement tu iliyokuwa organised na wizara au management ya JWTZ (japo sina uhakika kuhusu hili)
Sasa mbona akili unaacha chooni ndugu hujui kwamba range ya tarehe 22 Hadi tarehe 22 mwezi mwingine ni siku 30 hizo, Sasa hiyo hisani inatoka wapi? Au ndio kusifia Kila kitu ninyi chawa?
 
Sasa mbona akili unaacha chooni ndugu hujui kwamba range ya tarehe 22 Hadi tarehe 22 mwezi mwingine ni siku 30 hizo, Sasa hiyo hisani inatoka wapi? Au ndio kusifia Kila kitu ninyi chawa?
Hisani si ilianza tangu unapata kazi mkuu kwamba ulikuwa unalipwa tarehe 22 badala ya 30. Maana yake haibadiliki, kwahiyo serikali anaweza kukulipa hata tarehe 28 na bado asiwe amevunja sheria ya mkataba wa ajira ambao unasema tarehe ya mshahara ni tarehe 30
 
Back
Top Bottom