Honory Haule
Member
- Oct 24, 2016
- 16
- 9
Hatua nzuri
Ni kisukuma hiki ama??"Mtabikumbuka tu."
JPM
Watu wanapiga program ya miaka 100 mbele, we unalalama ya miaka 3?!!! Kweli mama amewashika papaya na sasa mmebaki kuokoteza vijisababu hata visivyo na mashiko kulazimisha lawamaMpaka ujenzi uishe watu watakuwa wameshazeeka Kwa njaa.
hiyo ni program ya miaka 3 mbele
Kwani limebishiwa lini hili mkuu mbona mnapata tabu sana? Wenzake watakumbukwa zaidi.......we subiri tu, Mungu anatenda kwa maajabu sana na hakuna awesome kuzuia"Mtabikumbuka tu."
JPM
Udart si wamekimbia wenyewe hapo Jangwani na kutelekeza majengo?Amesema pia kuna mpango wa kujenga soko kubwa katika eneo la Jangwani.