Serikali kuwajengea wamachinga jengo jipya Kariakoo

Mpaka ujenzi uishe watu watakuwa wameshazeeka Kwa njaa.
hiyo ni program ya miaka 3 mbele
Watu wanapiga program ya miaka 100 mbele, we unalalama ya miaka 3?!!! Kweli mama amewashika papaya na sasa mmebaki kuokoteza vijisababu hata visivyo na mashiko kulazimisha lawama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom