mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Sijaona kipengele kuwa katika makusanyo ya Kodi ya jengo kupitia luku watatoa commission kwa tanesco kwa ajili ya kufidia yafuatayo
1. Kusaidia kulipia leseni ya kuendesha mifumo ya LUKU ambayo ni mabilioni ya shilingi
2. Kufanya operation na maintance ya mita za luku kila Mwezi mi mamilioni ya shilingi
I log out
1. Kusaidia kulipia leseni ya kuendesha mifumo ya LUKU ambayo ni mabilioni ya shilingi
2. Kufanya operation na maintance ya mita za luku kila Mwezi mi mamilioni ya shilingi
I log out