Tangazo la nafasi za kazi TAA la Tarehe 01/09/2023

Brightly

JF-Expert Member
Apr 28, 2022
261
353
Habarii wanaJF,

Ni takribanii miezi minne imepita tangia Tanzania airports authority (TAA) watoe tangazo la nafasi za kazi tarehe 1/09/2023 ajira za mkataba kwenye kada mbalimbali.

Lakini mpaka ninapoandika Uzi hapa hakuna taarifa yeyote kama watu waliishaitwa kwenye usailii au wapo kazini maake hawajawahii kutoa tangazo lolote la kuita watu Kwenye usaili mpaka Sasa na hakuna taarifa yeyote?? tunaomba kufahamu je? Usaili tutaitwa lini au ndio tayari watu walishaitwa kazinii?

Mwisho kwa niaba ya wasaka ajira wezangu kwanza tunamshukuru Sana rais wetu mama samia suluhu Hassan kwa kutoa ajira nyingi kwenye awamu hii ya sita japo wahitimu wapo wengi ukilinganisha na nafasi za kazi zinazotangazwa tunaomba hata hizo nafasi chache za ajira zinazotangazwa ziwe za mkataba au za kudumu zishidanishwee kwa hakii kupitia PSRS, kuachia taasisi zenyewe kuajirii kiukwelii ni ukatiliii mkubwa saana kwa sisi wahitimu wengi tusiokuwa na connection.

Kwa sababu taasisi huaga hazifanyii mchakato wa usaili kwa uwazii japo ambalo Huwa linatia mashaka Sana na kusababisha kuanza kuilaumu serikali yetu na kuichukia bure, sisi sehemu pekee tunayoiaminii ni PSRS hata ukishindwa kwenye usailii unaridhika unaona kabisa siku nikijipanga vizurii nitapata kazii.Naomba kuwasilisha.
 
Habarii wanaJF,

Ni takribanii miezi minne imepita tangia Tanzania airports authority (TAA) watoe tangazo la nafasi za kazi tarehe 1/09/2023 ajira za mkataba kwenye kada mbalimbali...
Tumeshaitwa tuliitwa kwenye usaili mwezi wa 11 mwishoni mwezi wa 12 tukaitwa kazini
 
Mkuu acha utani, huo usahili mlifanyia wap hebu kuwa serious basi.
Hii taarifa ni kupotosha Umma
Nilitaka kushangaa huo usaili waliita kmy kmy na mbona sikuitwaa wakati vigezo vyote nilikuwa navyo
 
TAA Kwa taarifa zao ni taasisi imeanza kama mwaka 1999 au 2000 kitu kama hicho , taasisi ambayo ina miaka mingi haswa mwanzoni kwa miaka ya 2000's basi sio nzuri hapa paliingiliwa na watu wa vyeti feki, elimu duni ambap sasa wapo level ya juu.

Mtakaoenda tarajieni yafuatayo hata kama ni taasisi ya muda bado kuna mifumo ya zamani ;

Taasisi za zamani zina mizizi ya ubinafsi kama ukanda ,ukabili ,udini kwa mbali nepotism....Hao ni sawa na TRA ,TPA ambao kwa mbali walikuwa vizuri chini ya utumishi...Ila kwa sasa wanaajiri wenyewe tabu ipo pale pale.
 
TAA Kwa taarifa zao ni taasisi imeanza kama mwaka 1999 au 2000 kitu kama hicho , taasisi ambayo ina miaka mingi haswa mwanzoni kwa miaka ya 2000's basi sio nzuri hapa paliingiliwa na watu wa vyeti feki, elimu duni ambap sasa wapo level ya juu.

Mtakaoenda tarajieni yafuatayo hata kama ni taasisi ya muda bado kuna mifumo ya zamani ;

Taasisi za zamani zina mizizi ya ubinafsi kama ukanda ,ukabili ,udini kwa mbali nepotism....Hao ni sawa na TRA ,TPA ambao kwa mbali walikuwa vizuri chini ya utumishi...Ila kwa sasa wanaajiri wenyewe tabu ipo pale pale.
Kwa hiyo mkuu walishaita watu Kwenye usailii au bado maake Tangia mwezii wa Tisa Hadi saivii kmy tuu
 
Back
Top Bottom