Kumbuka ili uwekezaji wa masuala ya teknolojia ufanikiwe...ni lazima-Tunaweza fanikisha hata kwa wakati huu wa sasa. Siyo lazima tufanye sisi, kwenye comment yangu hiyo nimeshauri kwamba tunaweza kuwa na Viwanda hivyo hata kwa Kupitia Wawekezaji, ambao tayari Wana uwezo wa kujenga viwanda vya kuunda ndege.
Huku kwenye ndege 30% wanaipata fasterBima ya afya dawa na vifaa tiba mgonjwa aanajinunulia hadi Bomba la sindano yaani. Ndege ni muhimu sana hasa ukizingatia ni Usafiri unao pendwa sana na mimi yule na huyu
Zitauzwa wapi?Tunaweza fanikisha hata kwa wakati huu wa sasa. Siyo lazima tufanye sisi, kwenye comment yangu hiyo nimeshauri kwamba tunaweza kuwa na Viwanda hivyo hata kwa Kupitia Wawekezaji, ambao tayari Wana uwezo wa kujenga viwanda vya kuunda ndege.
Pia ziligundulika control system yake MCAS ina mapungufu.Hivi hizi Boeing 737 Max si ndio ziko grounded nchi mbali mbali kutokana na ubora hafifu ??!
Tuwekeeni na balance sheet kila mwaka tuone mwenendo wa shirika letuNdege mpya ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), Boeing 737-9 Max, inatarajiwa kuwasili nchini Machi 26 mwaka huu kutokea nchini Marekani, hii itakuwa ndege ya 14 kutoka ATCL.
Labda ina discountHiyo ndege engineer wa boeing wenyewe hawaipandi ...ila huku kwetu sasa
Ile helcopter yetu ya Arusha Tech iliishia wapiBadala ya kuendelea kuwa na mawazo au fikra potofu kila wakati za kununua ndege mpya kutoka ktk viwanda vya nchi za nje, nadhani umefika wakati sasa wa kufikiria kuwa na kiwanda au viwanda vyetu weyewe vya kuunda ndege hapa hapa nchini kwetu Tanzania. Tuwe na wazo kama hili, hata kama sisi wenyewe bado akili zetu hazijawa kubwa kuweza kuwa na viwanda vya namna hii, basi tuanze hata kwa kuwakaribisha wawekezaji kutoka nje ya nchi, tunaweza kuingia nao mikataba maalumu ya uwekezaji wa namna hii. Viongozi wa nchi hii wawe na Maono Mapana ili wayaone haya mambo mazuri kwa mustakabali mwema wa nchi hii.
Ethiopia airways Ile ni kitu kingine mzee wangu na hatuwezi kuwafikia hata kwa sekundeTujufunze kutoka Ethiopia airways
Ndiooo..... zilikuwa na mashida ya umeme. Sasa sjui hiz ni zilizoboreshwa.Hivi hizi Boeing 737 Max si ndio ziko grounded nchi mbali mbali kutokana na ubora hafifu ??!
Hapana hizo ndege zina matatizo mengi ...Labda ina discount
Bajaji tu hamuwezi kutengeneza, mnawaza ndege?Badala ya kuendelea kuwa na mawazo au fikra potofu kila wakati za kununua ndege mpya kutoka ktk viwanda vya nchi za nje, nadhani umefika wakati sasa wa kufikiria kuwa na kiwanda au viwanda vyetu weyewe vya kuunda ndege hapa hapa nchini kwetu Tanzania. Tuwe na wazo kama hili, hata kama sisi wenyewe bado akili zetu hazijawa kubwa kuweza kuwa na viwanda vya namna hii, basi tuanze hata kwa kuwakaribisha wawekezaji kutoka nje ya nchi, tunaweza kuingia nao mikataba maalumu ya uwekezaji wa namna hii. Viongozi wa nchi hii wawe na Maono Mapana ili wayaone haya mambo mazuri kwa mustakabali mwema wa nchi hii.
Hadi zifike 100Duh!