Serikali kukubali Katiba kuwekewa viraka Dodoma maana yake ni hii...

Unamaanisha asijaribu kuonja sumu kwa ulimi, yani asithubutu kumchallenge mwenyekiti ili yasije mkuta ya Chacha Wangwe, Zito, Mwigamba, Kubenea nk?
Sio hivyo, umejisahaulisha mara hii tu juu ya marisasi aliyomiminiwa na hakuna uchunguzi wowote ule uliofanywa na jeshi la polisi ??

Hii nchi Bado haiko salama kwake!!!
 
Hayo yamebainishwa leo baada ya Hotuba kabambe iliyotolewa na Mh Tundu Lissu kwa Taifa .

Inatarajiwa Lissu na Lema watawasili nchini Tanzania kati ya mwezi wa 3 na wa 4 2022 , huku Juhudi za kuhakikisha watu wote waliokimbilia Nje ya Tanzania kukwepa kutekwa ama kuuawa katika utawala wa awamu ya 5 wanarudi nyumbani
Ukweli Lissu anakeraga ma CCM sema hawasemi,,yaani akija Hangaya kazi anayo
 
Lissu alisema hawezi kurudi mpaka ahakikishiwe ulinzi, vipi ulinzi umeshahakikishwa?

Au wameamua kurudi tu kwasababu wamechoka kuishi ughaibuni?

Vipi warudi wakati mazingira ya kisiasa bado hayaeleweki, Mbowe atakuwa ameshatoka gerezani? kwa msamaha au haki kutendeka mahakama ya rufani?

Sioni kwa namna gani wanaweza kurudi bila Chadema kukaa na either msajili wa vyama, Samia, au kiongozi mwingine mkubwa serikalini kwanza waweke sawa tofauti zao.
 
Ok mkuu, ila dereva akikubali kuhojiwa wauaji watapatikana tu.
Vip Kama Dereva na Lissu wangeuawa, uchunguzi usingefanyika??

Vip kuhusu zile CCTV cameras kung'olewa sooner after that incidence!?

Vip wale wapolis waliokua wakilinda eneo hlo 24hours walienda wapi siku hyo??

Tunabak kusema hii nchi sio salama kwa Lissu, Kama anameans nyngne ya kumfanya kuwa safe zaidi sio mbaya
 
Nimesikiliza maoni ya tundu lisu kuwa vyama vingine vyote ni mamluki ispokuwa chadema na NCCR Wanasikolojia huwa wanasema Huwezi kukubalika kwenye jamii kwa kujisifia wewe mwenyewe na kuwachafua wenzako ukafanikiwa wengi tunayona mapungufu yake lakini yeye anajiona ana akili kuliko watu wote misimamo huu ndiyo ulikuwa msimamo wa hayati magufuli tahadhari kwa mtanzania magufuli mwingine anakuja kwa kuvaa ngozi ya kondoo
 
^➢ Mchakato wa Katiba Mpya usiendelee badala yake yaangaliwe mambo machache yanayolalamikiwa sana na hayo ndio yashughulikiwe. Aidha, Katiba Inayopendekezwa ifanyiwe marekebisho na kupitishwa badala ya kuanza mchakato upya;^
Je ni mimi pekee sijaelewa? Naona aya hii inaukinzani.
 
Mioyo ya watu bila dola mapopoma bana
Mkuu ila ulinichekeshaga kipindi flani hapa Kati humu jamvini. Nilipokuambia uondoke kwa shemeji yako ukajitegemee. Yani ulivyonijbu eti shemeji yako Sasa hivi Ndo anang'ang'ania kwako. Eti ukadai hupo ofisini mbele yako kuna picha ya mama.

Chura bana yani nilicheka balaa. Humu ndani watu mnavituko Sana.
 
Hawa jamaa bna,, kama ndio kauli yake hiyo basi itoshe tu kusema huyu jamaa kuna mahala anakosea sana na wengi hawapendi kuona huyu mtu akikosolewa sabbu ya kukalilishwa kuwa CDM hawakosei.

Dharau kwa yule bwana alie kwenda zake wala hazijengi na hazina maana zaid ya kuwafuraisha walee waliokuwa wakimchukia yule bwana mwenda.

Lkn upande wa pili, badara ya kuendelea kupoteza muda kujadili vitu vilivyopita ambavyo havina msaada kwa chama na wananchi ni vema wangejikita ktk kuelezea malengo yao na kukosoa madhaifu ya chama tawala pale kikoseapo, kulko kutuaminisha kila siku kuhusu ubaya wa tawala zilizopita,

Ndiomaana wengi husema kuwa hiki chama hakina maono sababu wanachama wenyewe kukosa dira , wao kila kitu kivumacho wanapita nacho, yaan nikama upepo vile, kila kitu kuhusu ccm na wanaccm wao wanakifanya kama main topic na agenda yakuzungumzika uku wakikosoa na kubeza, sasa huo ni upumbavu mkubwa, kuna mambo ya ccm hayawahusu CDM na kuna mambo ya CDM hayawahus ccm, hivyo basi hawa jamaa wasipochange, watazid kupoteza kila walichonacho.
 
Lissu alisema hawezi kurudi mpaka ahakikishiwe ulinzi, vipi ulinzi umeshahakikishwa?

Au wameamua kurudi tu kwasababu wamechoka kuishi ughaibuni?

Vipi warudi wakati mazingira ya kisiasa bado hayaeleweki, Mbowe atakuwa ameshatoka gerezani? kwa msamaha au haki kutendeka mahakama ya rufani?

Sioni kwa namna gani wanaweza kurudi bila Chadema kukaa na either msajili wa vyama, Samia, au kiongozi mwingine mkubwa serikalini kwanza waweke sawa tofauti zao.
Kuna kitu kinakuja kabla hawajarudi
 
Back
Top Bottom