Ushahidi
Kaka we inaonekana hadi leo unanunuliwa hata chupi na wazaziHii habari haijakamilika.Lakini katika kujipanga huko kwa serikali bado hiyo ni divertion ya Resources kutoka mahali maana sidhani kama walijua hawataongezewa muda.Gharama bado anabeba mwananchi wa kawaida wakati hatukua tumejipanga.Maamuzi mabovu yanayosukumwa na uroho wa madaraka Mwananchi analipia gharama
Mjenga nchi ni mwananchi awe maskini au Tajiri; Kila mtu mungu kampa kipawa chake.Hii habari haijakamilika.Lakini katika kujipanga huko kwa serikali bado hiyo ni divertion ya Resources kutoka mahali maana sidhani kama walijua hawataongezewa muda.Gharama bado anabeba mwananchi wa kawaida wakati hatukua tumejipanga.Maamuzi mabovu yanayosukumwa na uroho wa madaraka Mwananchi analipia gharama
Huo mfuko umeingiza shilingi ngapi hadi sasa. Je unajua kuwa miezi miwili sasa serikali haijatangaza makusanyo ya mwezi wakati inaingia ilikuwa inatangaza kila mwezi? Unajua kuwa serikali haijapeleka fedha za maendeleo kwenye idara zake kwa miezi miwili na haijapeleka fedha za matumizi ya ofisi za OC? Unajua kuwa kwa sasa uzalishaji viwandani na biashara zinashuka yaani recession?Kwani hamjui kwamba mwaka jana serikali ilianzisha mfuko wa Uchangiaji kwa ajili ya kununua dawa za UKIMWI? tayari serikali ilikuwa ilishajipanga toka Mwaka jana, kwa hiyo hakuna wasiwasi wowote kuhusu hilo.
Sikia mladi wa afya marekan inasaidi nchi nying hapa kinachotokea n kutunyima kwa njia ya nyuma .... Tatizo ni zanzibar
Sasa wewe umeambiwa chanzo cha kusitishwa huo msaada ni nini?Hii habari haijakamilika.Lakini katika kujipanga huko kwa serikali bado hiyo ni divertion ya Resources kutoka mahali maana sidhani kama walijua hawataongezewa muda.Gharama bado anabeba mwananchi wa kawaida wakati hatukua tumejipanga.Maamuzi mabovu yanayosukumwa na uroho wa madaraka Mwananchi analipia gharama
Msaada huu uliisha zamani kwa sababu yamutumizi mabaya kwa mijibu wa ufahamu wangu. Sasa wewe unaongelea leo kwa sababu za kudanganyaSerikali ya Marekani imeendelea kuikaanga tena serikali ya makufuri kwa kuinyima tena msaada unaokadiriwa kufika Tsh trilioni 1(Tsh 787 bilioni) ambazo zimekuwa zikichangwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) kwa ajili ya ununuzi wa dawa za ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI.
CHANZO: Mwananchi
MAONI YANGU
Haya ndiyo matunda ya kuminya demokrasia lakini wanaoumia ni watanzania wenzetu masikini wasiokuwa na hatia. Tujiandae kuzika watanzania wengi watakaokufa kwa kukosa ARV.