tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 26,021
- 25,423
TUJIANDAE KUTAFUTA MAENEO MAPYA YA KUZIKIA MAANA NCHI NZIMA ITAJAA MAKABURI. HII SERIKALI YA VIWANDA NI SHIDA.Labda watamtumia Madabida na ARV fake zake. Huu ni msiba mkubwa
TUJIANDAE KUTAFUTA MAENEO MAPYA YA KUZIKIA MAANA NCHI NZIMA ITAJAA MAKABURI. HII SERIKALI YA VIWANDA NI SHIDA.Labda watamtumia Madabida na ARV fake zake. Huu ni msiba mkubwa
Mkuu endelea tu kungonoka ukifa unazaliwa tena so, utakuwa hujapoteza kituDuh acha niache ngono zembe kumbe dawa hamna
Jamuhuri ya watu Wa China watatusaidia usiogope,Labda watamtumia Madabida na ARV fake zake. Huu ni msiba mkubwa
Kumbe bado hatujaweza kuanza kujitegemea?We will soon start facing "east"....Wachina karibuni, milango iko wazi
Mkuu mbona kuna mapori mengi tu?TUJIANDAE KUTAFUTA MAENEO MAPYA YA KUZIKIA MAANA NCHI NZIMA ITAJAA MAKABURI. HII SERIKALI YA VIWANDA NI SHIDA.
Na hata havijulikani nilini mtaanza kujitegemea,Kumbe bado hatujaweza kuanza kujitegemea?
Na hata havijulikani nilini mtaanza kujitegemea,Kumbe bado hatujaweza kuanza kujitegemea?
Acha ngono zembeSerikali ya Marekani imeendelea kuikaanga serikali ya makufuri kwa kuinyima tena msaada unaokadiriwa kufika Tsh trilioni 1(Tsh 787 bilioni) ambazo zimekuwa zikichangwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) kwa ajili ya ununuzi wa dawa za ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI.
CHANZO: Mwananchi
MAONI YANGU
Haya ndiyo matunda ya kuminya demokrasia lakini wanaoumia ni watanzania wenzetu masikini wasiokuwa na hatia. Tujiandae kuzika watanzania wengi watakaokufa kwa kukosa ARV.
Yaani kuna timu imeundwa kupotosha ukweli sijui wana nia gani na nchi hii.Msaada huu uliisha zamani kwa sababu yamutumizi mabaya kwa mijibu wa ufahamu wangu. Sasa wewe unaongelea leo kwa sababu za kudanganya
sisi mibongo bana badala hii itupe chachu na munkhari ya kujitegemea tunaenda kwengine kuzid kutembeza bakul. Ndio maana mambo yet yakijingajinga Mabas yaendayo kas bomba la ges midajaraja standards gauge imetugharim matrilion tena ya misaada na huku Kula tu anasa. Tunapenda vitu vikiubwaa uwezo hatuna. Sifa za kijinga tu. Could Someone nuke us allWe will soon start facing "east"....Wachina karibuni, milango iko wazi
Mtoto wa miaka 10 ataanzaje kujitegemea?Kumbe bado hatujaweza kuanza kujitegemea?
Hii si ndio itakuwa furaha yako na wale wabunge wako mzigo wanaolilia kuonekana kwenye luninga. Kama na wewe unatumia ARV sema tukusaidie ata kama wamarekani hawatoi haina maana kuwa hazipatikani.Serikali ya Marekani imeendelea kuikaanga serikali ya makufuri kwa kuinyima tena msaada unaokadiriwa kufika Tsh trilioni 1(Tsh 787 bilioni) ambazo zimekuwa zikichangwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) kwa ajili ya ununuzi wa dawa za ARV kwa wagonjwa wa UKIMWI.
CHANZO: Mwananchi
MAONI YANGU
Haya ndiyo matunda ya kuminya demokrasia lakini wanaoumia ni watanzania wenzetu masikini wasiokuwa na hatia. Tujiandae kuzika watanzania wengi watakaokufa kwa kukosa ARV.
Labda watamtumia Madabida na ARV fake zake. Huu ni msiba mkubwa
Atakusaidieni wangapi au badala yake mtampa madini yetuWe will soon start facing "east"....Wachina karibuni, milango iko wazi