Serikali kukosa mchango wa dawa toka USAID

Serikali kukosa mchango wa dawa toka USAID

Jaman, kama kuna mtu analazimisha watu kuanzisha threads lengo lake nini? Mnamtumikia nani? Kuweni na adabu bhana, mnakera! Usilolijua bora uliza kwanza kabla ya kujiaibisha hapa!
 
Jamuhuri ya watu Wa China watatusaidia usiogope,
Wachina wana masikini wa kutupwa kuliko Tanzania, bado tunawasubiri wasaidie, walishatudanganya na ujamaa nafikiri intaosha, tujifunze kuwa na marafiki wanatutakia mema. rafiki anayekushauri uache kuibia familia yako na kupanga nyumba yako vizuri kama yakweke ambayo unaitamani kila siku huyo ndio rafiki wa kweli, wachina ndio wanaongoza kwa mikata ya rushwa angalia nchi zote walipo au waliokuwa marafiki zao na kuwaamini hakuna maendeleo
 
Mleta post unaweza ukawa hukubaliani na sera za Rais Magufuli lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kupotosha ukweli. Suala la hizo fedha ni msaada uliotolewa kwa miaka 10 hivyo kwa sasa muda umeisha. Hapo suala siyo kunyimwa bali ni kwisha kwa muda. Ni vizuri utoe taarifa sahihi ili wasomaji wapime na watoe comments zao
 
Ni bora hizo dawa zisiingie kabisa, tuweze kutofautisha mchele na pumba, hivi sasa hujui nani mzima nani kawaka,
 
Waandishi wetu naona wanakosa weledi wa kazi zao. Mwandishi wa Mwananchi Media ndio kaandika hiyo Habari je yeye chanzo chake ni nini? Nani kasema hivyo? USAID, USA ama nani? Source ya taarifa ya kwamba marekani itakata hiyo misaada ni nini?
Mkuu usisubiri kutafuniwa , mengine jitahidi kumaliza mwenyewe .
 
Mleta post unaweza ukawa hukubaliani na sera za Rais Magufuli lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kupotosha ukweli. Suala la hizo fedha ni msaada uliotolewa kwa miaka 10 hivyo kwa sasa muda umeisha. Hapo suala siyo kunyimwa bali ni kwisha kwa muda. Ni vizuri utoe taarifa sahihi ili wasomaji wapime na watoe comments zao
kwahiyo wakimaliza tenue huwa haeaongezi? mie najua mikataba ina phases especially grants na lengo la phases ni evaluation kama ulitimiza masharti on which kwa Westerners wengi demokrasia ni pillar!

Labda nakushauri wewe ukasome proposals za grants, unampinga huyu bwana as if mkataba wa grants wa developing nations ukiisha then jitegemee, kwani wa malaria umeisha mala ngapi? au wa kifuakikuu ni permanent?
 
Sasa wewe umeambiwa chanzo cha kusitishwa huo msaada ni nini?

Hivi bavicha mkoje
Chanzo ni kile kile cha kusigina katiba , Mtukufu Jecha atawaponza hadi mkome kudadeki ! Kwenye hili sitaki kabisa kusikia uzushi wa uzalendo
 
Chanzo ni kile kile cha kusigina katiba , Mtukufu Jecha atawaponza hadi mkome kudadeki ! Kwenye hili sitaki kabisa kusikia uzushi wa uzalendo
Wakati huo we ukiwa unaosha vyombo kwa EL
 
Hii serikali ya fisiem sijui inajiamin nini?wakati ata mapato yake ya ndani yameshuka,nasubiria anguko lake na wananchi wake kukosa maitaji muimu ya kijamii.labda mchina atampa misaada.
KILA MWENYE MGONJWA WA UKIMWI AJIANDAE KUTAFUTA ENEO LA KUZIKIA MPENDWA WAKE MAANA SASA ARV ITAKUWA IKIPATIKANA KAMA GANJA.
 
Tulidhani msaada wa ujenzi miondombinu au viwanda kumbe madawa ya ukimwi.!
Njia moja tu kujikinga na kuacha usherati

Inawezekana wewe uliyeandika hii comment ni mtu mzuri tu ila hii ndiyo comment ya kipuuzi zaidi tangu mwezi juni uanze
 
Tulidhani msaada wa ujenzi miondombinu au viwanda kumbe madawa ya ukimwi.!
Njia moja tu kujikinga na kuacha usherati
Wapo watu wengi wakiwamo madaktari na manesi wanaugua kwa kuamnukizwa kwa bahati mbaya wakitoa tiba kwa wagonjwa wenye vvu unasemaje kuhusu hilo? Na wanaoongezwa damu wapatapo ajali kwa bahati mbaya damu hiyo ina vvu nao unasemaje? Au watoto waliozaliwa na vvu na wenyewe?
Unapaswa kuwa na huruma
 
Kwa hii miaka mitano Jecha atatucost sana.
 
Hii habari haijakamilika.Lakini katika kujipanga huko kwa serikali bado hiyo ni divertion ya Resources kutoka mahali maana sidhani kama walijua hawataongezewa muda.Gharama bado anabeba mwananchi wa kawaida wakati hatukua tumejipanga.Maamuzi mabovu yanayosukumwa na uroho wa madaraka Mwananchi analipia gharama

Kumbe Ben Saa nane unautaka ujamaa katika mfumo unaoupenda wa kibepari. Mmesema ni nchi ya kibepari mnataka gharama za matibabu za kila mwananchi zibebwe na serikal inayoomba kwa wafadhili,kurudi kwenye miiko ya Azimio la Arusha mnaona kero. Hivi Marekani tuwabembeleze waendelee kutusaidia kama nani kwetu? Hivi Marekani ni baba yetu au mume wetu ? JK alitukanwa sana kwa kuomba misaada leo mnaililia misaada mliyosema inatudhalilisha, vinyonga nyie. Mnabadili rangi kulingana na mahali mlipo.

Mnatakaje ? je Tanzania isalie omba omba au ianze kujitegemea? Ninatoka katika jamii ambayo mtoto wa kiume ukioa hupaswi kurudi kwa baba na mama yako kuomba chakula ila nimeishi katika jamii ambayo baba,mama,watoto na wajukuu huzalia nyumba hiyo.

Tuamue tunataka taifa letu likweje?
 
Waandishi wetu naona wanakosa weledi wa kazi zao. Mwandishi wa Mwananchi Media ndio kaandika hiyo Habari je yeye chanzo chake ni nini? Nani kasema hivyo? USAID, USA ama nani? Source ya taarifa ya kwamba marekani itakata hiyo misaada ni nini?
WEWE UNATAKA WATANZANIA WENYE VVU WAENDELEE KUFA HADI LINI? MPUUZI MKUBWA!
 
Back
Top Bottom