Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,206
- 12,907
Serikali Kupitia Wizara ya Nishati (Tanesco) kuilipa kampuni ya Symbion Tsh Billion 356 baada ya kuvunja mkataba wake na Tanesco awamu ya 5.
Kampuni ya Symbion ni Kampuni iliyokuwa ya Kimarekani ambayo ilikuwa ikifua umeme na kuiuzia Tanesco! Kampuni ya Symbion ilifunguliwa rasmi awamu ya 4 na Rais wa Marekani wakati huo Mh. Barack Obama pamoja Rais wa awamu ya 4 Mh Jakaya Kikwete.
Pia soma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ya Symbion ni Kampuni iliyokuwa ya Kimarekani ambayo ilikuwa ikifua umeme na kuiuzia Tanesco! Kampuni ya Symbion ilifunguliwa rasmi awamu ya 4 na Rais wa Marekani wakati huo Mh. Barack Obama pamoja Rais wa awamu ya 4 Mh Jakaya Kikwete.
Pia soma
Mitambo ya Umeme ya Kampuni ya Symbion Power kupigwa mnada
Mitambo ya Kampuni ya kufua umeme nchini "Symbion" imeshindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara takribani miaka mitatu sasa hivyo kupelekea kampuni hiyo kushtakiwa mahakama ya kazi na hatimae tangazo rasmi limebandikwa la kupigwa minada mitambo yake. Ikumbukwe mitambo hiyo ilizulinduliwa na...
www.jamiiforums.com
Kuna jitihada za kuinusuru SYMBION?
π·πππππππ π ππππ! πΌπππ£π ππππππ ππππ’πππππ π ππ ππππππππ π π πππππππ π’π ππΎπ½πΆπ°π π πππππππππ ππ ππππππ’π πππ£ππππππ£π ππ π±ππππ£π π π πππ° ππππππ ππ°π½ππ°π½πΈπ° ππππ πππππππ π πππ π ππΎπ½πΆπ°π πππππππ π ππ π ππππππ£ππ πππππ πππππππ ππππππππ ππ ππππ ππ πππ 2024, πΌπππ πππππππππ’ππ£ππ ππππππ πππ π πππ£ππππππ£π π’π πππππππ£π πππππππ ππππ...
www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app