Serikali izuie matumizi ya iPhone, tulinde maadili yetu



Umeona ile shule iliyofuta mchoro wa upinde wa mvua?
Niliwaona wale machizi hawafai kabisa kufundisha watoto... ndio maana nasema kuna siku watu watarusha mawe mawinguni wakiuona upinde wa Mvua
cate-culori-are-curcubeul-care-sunt-culorile-curcubeului_small.jpg
 
Sijui serikali inasubiri nini, ukizingatia kwamba kampuni inayounda simu za iPhone inamilikiwa na watu wenye utata wa kijinsia.

Na sisi kama Tanganyika tumedhamiria kulinda maadili yetu kwa jasho na damu. Lazima tupinge kweli kweli hadi mishipa ya shingo ipasuke.

Ni unajisi, hatuwezi kuruhusu matumizi ya iphone huku tukijua kuwa waundaji wake wanajihusisha na yale maswala! Kwanini? Turudi posta na kwenye umizimu.

Hatuwezi kukataa nguruwe kisha tukala mchuzi wake!!! Kwani mkemia mkuu wa serekale alisemaje? Kuna vimelea vya ushoga vyenye muundo wa bakteria ambavyo vimeunganishwa na iPhone kupitia pafyumu za mabeberu.

Mimi na wanakijiji wenzangu wa ardhi ya mbambadu tumedhamiria kupambana na kila picha ya upinde tutakayoiona popote hata kwenye gazeti. Tutafoka.

Serikali ya mama samia ihakikishe inafungia simu zote za iphone. Tulinde MILA zetu za kitanganyika.
Mbamba Du mbamba Du
Wazo limepita hili chifu
 
Sasa hili janga la ushoga tutalimalizaje kama kuna vimelea vimewekwa kwenye Iphone pia nasikia vijana wanakubali kugeuzwa ili wapewe Iphone,

Kataa Simu tulinde Maadili ya Mtanganyika

Vimelea vip vinawekwa kwenye iphone?
Hiyo total illusion, hakuna vimelea vyovyote viko kwa iphone.

Kama vile mtu anatamani kupata nyumba, gari, na mafanikio mengine kwa haraka hupelekea vijana kuuza utu wao kwa kutoa nyuma.
Tamaa ya mali haina uhusiano na iphone. Hizo ni tamaa za mtu husika
 
Hii ndo ilinifanya nilivyokuwa majuu kununua simu na tablet za samsung wakati wenzangu wote wakikimbizana kununua product za apple, maana hata yule mwanzilishi wa apple aliyefariki nafikiri alikuwa bwabwa.
 
Kimsingi sijaona kwa namna gani Iphone imehusiana na ushoga. Hebu jaribu kuweka mada yako sawa ieleweke na jambo lako lipewe uzito.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Itabidi izuie hata computer za mac ambazo zinatumiwa zaidi na watu wa graphics designing, movies na madesigner kibao.
Itabidi pia ifungie Google maana kila inapofika siku ya lgbt huwa wanaweka kibendera chao kwenye logo ya Google.
Itabidi pia wapige marufuku bidhaa za samsung maana nao wanaunva mkono pride National Coming Out Day 2021 & LGBT History Month: Samsung Employees Share Their Stories
In general itabdi wapige marufuku bidhaa karibu zote za makampuni makubwa ya nje... Swali je, tutaweza?
Haya yote mnayafukua yanatusaidia nn wazee wa kazi?
 
Sijui serikali inasubiri nini, ukizingatia kwamba kampuni inayounda simu za iPhone inamilikiwa na watu wenye utata wa kijinsia.

Na sisi kama Tanganyika tumedhamiria kulinda maadili yetu kwa jasho na damu. Lazima tupinge kweli kweli hadi mishipa ya shingo ipasuke.

Ni unajisi, hatuwezi kuruhusu matumizi ya iphone huku tukijua kuwa waundaji wake wanajihusisha na yale maswala! Kwanini? Turudi posta na kwenye umizimu.

Hatuwezi kukataa nguruwe kisha tukala mchuzi wake!!! Kwani mkemia mkuu wa serekale alisemaje? Kuna vimelea vya ushoga vyenye muundo wa bakteria ambavyo vimeunganishwa na iPhone kupitia pafyumu za mabeberu.

Mimi na wanakijiji wenzangu wa ardhi ya mbambadu tumedhamiria kupambana na kila picha ya upinde tutakayoiona popote hata kwenye gazeti. Tutafoka.

Serikali ya mama samia ihakikishe inafungia simu zote za iphone. Tulinde MILA zetu za kitanganyika.
Una vinasaba vya upinde
 
Haya yote mnayafukua yanatusaidia nn wazee wa kazi?
Hatuyafukui tunakutana nayo.... And read between the lines maana mimi lengo langu lilikuwa ni kumweleza aliyeweka post kuwa hilo haliwezekani labda wafutr kila kitu na huduma zote na bidhaa zote kutoka nje
 
Fazili wewe ni mpinga ushoga maarufu kwanini huoni kama Iphone inasambaza ushoga na tuzikemee kwa nguvu zote ili tulinde maadili yetu?
Kuna technology nyingi tu zinatoka nchi zenye kusapoti ushoga sasa tutapiga marufuku vingapi?
 
Back
Top Bottom