Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Typically u!usitegemee kila siku kuona au kusikia unachopenda.

- No way ninaongea facts kuhusu Process, Nyerere alikuchagulia Rais na mpaka leo unachaguliwa na Rais na waliomfuata kama huamini subiri Rais anayekuja atachaguliwa na nani kwanza tumia akili kidogo, wakianza huu uhuni sasa wanaharibu Process mbele ya safari Msanii atatakiwa kuhonga rushwa ili ashinde kura za kazi yake mwenyewe!!

Le Mutuz
 
Well analysed!!!


- hahahaha hamna kitu hapo zaidi ya kuigiza jifunze huwa sikurupuki na mada ukiona nimepandisha ujue ninaijua vizuri, Diamond hawezi kushindwa na Ali Kiba simply foolish iwe sasa au iwe zamani ni uhuni tu ambao utaishia kuvuruga process mbele ya safari!!

Le Mutuz
 
Ndo mana nakwambia inategemea waandaaji wanatumia kategori gani kumpa ushindi muhusika, vinginevyo weka ushahidi washiriki walipewa vigezo vya ushindi vilivyoshindaniwa.

- Level ya Diamond bongo sasa hivi ni sawa na level ya Michael Jackson US alipokuwa hai, haikutokea hata mara moja kukawa na Tuzo za Muziki akakosa, hata BET waliokuwa hawampendi sana kwa sababu ya dharau zake bado walikuwa wanampa heshima yake, ninaktaa tabia ya kumtaka Msanii alalel macho Studio halafu aanza kuhangaika na Wahesabu kura it is wrong!!

Le Mutuz
 
Hivi mbona unahangaika sana tangu wakutose kwene ukuu wa wilaya unaonekana una mhemko wa akili.
Ngongo Big zero aanzishe BASATA YAKE hukuo Chadulu Makori
 
Last edited by a moderator:
- Well, nilidhani BASATA inatakiwa kuinua Vipaji vya Wasanii na kuvikuza vipande juu zaidi lakini wanachokifanya sasa hivi sio kabisa ni wakati muafaka wa Serikali kuwatupia jicho kali na kuwarekebisha sasa na mapema kabla hawajafika mbali na kuvuruga sanaa nchini, kwa mfano:-

1. MISS TANZANIA:- BASATA wameifungia Miss Tanzania kwa sababu ambazo kama ni kweli zipo zinawahusu tu Viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania lakini haziwahusu Vijana wadogo wa kike ambao hawana kosa lolote, sasa BASATA wameifungia Miaka Miwili nia na madhumuni ni nini hasa? Kuwakomoa Viongozi au Wasichana? Halafu Taifa linafaidikaje na kuwafungia Vijana wadogo kufanya mashindano ambayo kabla hayajafungiwa yamewaletea mafanikio makubwa kimaisha baadhi ya washiriki, Wasichana kama Hoyce Temu, sasa hivi ni Balozi wa Umoja wa Mataifa na pia ni mfanya biashara mkubwa anayemiliki Club maarufu ya 327 hapa mjini wala sio siri haya mafanikio yake kimaisha yametokana na kushinda kwake haya mashindano, wapo wengi kama Miriam Odemba ambaye sasa anaishi Paris, France anakofanyia kazi zake za Modelling na yeye alitokea kwenye haya haya mashindano, Millene Magese, Faraja Kota, Klyn, I mean I can go on and on wote wametokea kwenye haya mashindano.

- Majuzi Msichana mdogo Doris Mollel amefungua Foundation ya kusaidia watoto premature, uzinduzi umefanyika Kempisk Hotel na alichangiwa karibu Shillingi Millioni 100 now huyu msichana amepitia mashindano haya haya mwaka jana tu, I mean leo kuna wasichana wengi sana ambao walikuwa wanasubiri na wao wapate nafasi ya kushiriki haya mashindano na wao watimize ndoto zao, ni kawaida ya mataifa yote huru Duniani kuwaruhusu wananchi wake kutumia all available resources kujisongeza mbele kimasha, sasa kwa kuwafungia miaka 2 exactly BASATA wana accomplish what?

2. TUZO ZA WATU:- Majuzi BASATA wamesimamia hizi tuzo ambazo matokeo yake yalikuwa ni maajabu ya Dunia, kwenye TUZO zote Duniani za WAsanii hata zikiwepo kura bado lazima kuwepo na vigezo vingine, kwa mfano kura zinatakiwa kushika kama 30% 50% Ubora wa kazi za Msanii 20% ni kukubalika kwa Msanii ndani na nje ya Nchi, lakini haiwezekani ukahukumu kazi za Msanii kwa kutumia kura 100% that is the biggest joke of my life, I m,ean kuna makosa mengi sana yamefanyika kwenye hizo Tuzo na huwezi kusema ni Tuzo ndogo no way ikishawajumlisha WAsanii maarufu kama Diamond, Mzee Majuto na JB hizo ni Tuzo kubwa sana na ni muhimu kwenye CV ya Msanii,

- CATEGORY ya Blog:- Seriously kama kweli BASATA na watayarishaji wa zile TUZO wangekuwa serious hakuna Blog au website Tanzania inayoizidi Jamiiforums nasema hakuna, Jamiiforums ndiyo website peke yake inayopitiwa na Viewers wengi with straight numbers bila kurudia rudia, kwa mfano ukiona kuna website namba zake zinaonyesha imepitiwa na viewers Laki Mbili kwa siku maana yake ni kwamba wamepitia Viewers Laki moja wakarudia rudia kuingia na kutoka, lakini only Jamiiforums ndiyo ina wasiojirudia staright in numbers kama Laki Mbili ni hizo hizo Mbili sasa leo hata kwenye nomination haikuwemo, WHY?

- MWANAMUZIKI MWANAUME ANAYEPENDWA TANZANIA KULIKO WOTE:- Please nani Tanzania ya leo anayeweza kumshinda Diamond? I mean eti ameshindwa kwa sababu hakupata kura, hizi kura zinatusumbua sana Tanzania kila siku kwenye siasa ni ugomvi kisa kura leo unazileta tena kwenye kuamua ubora wa kazi za msanii? That is a shame now BASATA hawawezi kukwepa hii lawama kwa sababu walikuwepo na ni lazima walihusika, watayarishaji sio tatizo sana lakini tatizo ni kushiriki kwa BASATA kwenye zile Tunzo kunawabana sana na FULL RESPONSIBILITY ya kila kilichofanyika kwa uzuri na ubaya, uzuri ni kwamba ni muhimu sana kuwepo kwa hizi Tunzo lakini ubaya ni kwamba BASATA haina watu competent enough wa kusimamia Vipaji vya wasanii,

- BASATA wanahitaji kupunguzwa nguvu now kabla hawajaharibu kabisa hii field ya Sanaa, cause tukiendelea na huu mfumo wa kupiga kura kuhukumu kazi za wasanii maana yake ni kwamba tunafungua miaanya wa watu kuanza kuvuta rushwa tu, Msanii afanye kazi zake zionekane lakini tusimpe mzigo wa kuanza kutafuta kura za kuhukumu ubora wa kazi zake hapana, kipaji chochote kinatakiwa kuhukumiwa na matokeo ya kazi zake mbele ya jamii.

- Now kwa hayo yote ninarudia tena kusema Diamond hakushinda kura kwa hiyo sio MSanii anayependwa sana na jamii ni njia rahisi sana ya kuua vipaji vya sanaa yetu, ninasema BASATA wamekosea na wanatakiwa kuangaliwa na Serikali now kabla hawajatufikisha kurudi kule kule tulikotoka kwenye kushangilia kina Kandabongoman MWanamuziki ambaye huko kwao hawezi kupiga dansi la peke yake akajaza watu mpaka aje Tanzania, siku hizi tumepigana tumeinua Vipaji vyetu ndio maana hawa wageni hawaji tena yale mambo ya bendi za Wakongo kusumbua hapa mjini hamna tena, sasa wanakuja BASATA na kutaka kuivuruga Sanaa, SErikali ni lazima iingilie kati tena sasa!!

Le Mutuz

-
Dili lenu la kuuza mabinti kwa waroho wa ngono na kujinyakulia vibinti limeharibika mnapiga kelele sasa
 
- Kwani BASATA huwa wanachaguliwa na nani hasa?

Le Mutuz

Mkuu kwa taarifa yako, Basata hawajafungia mashindano ya miss Tanzania, bali wameifungia kampuni ya RINO AGENCY, kuandaa, hayo mashindano, ila kama kuna kampuni nyingine inayotaka kuyaandaa, ifuate utaratibu tu, Hayo ni maneno ya Katibu mtendaji wa BASATA, juzi alikuwa anahojiwa.
 
- Wewe simama hapa ujibu mapigo wacha kuwa pwanya Road huwezi kusimama mwenyewe, sema hoja kama unayo!!, wewe umenisikia mimi namuita mtu simama hapa kama kweli una hoja!!

Le Mutuz

Mkuu mi hoja yangu ni kama hivi sitaki porojo
 

Attachments

  • Screenshot_2015-05-26-16-24-32.png
    Screenshot_2015-05-26-16-24-32.png
    13.4 KB · Views: 63
- Kwani BASATA huwa wanachaguliwa na nani hasa?

Le Mutuz

Mkuu kwa taarifa yako, Basata hawajafungia mashindano ya miss Tanzania, bali wameifungia kampuni ya RINO AGENCY, kuandaa, hayo mashindano, ila kama kuna kampuni nyingine inayotaka kuyaandaa, ifuate utaratibu tu, Hayo ni maneno ya Katibu mtendaji wa BASATA, juzi alikuwa anahojiwa.
 
"ukiona nimeaznisha thread ujue nina facts and evidence!! hahaha huwa sikurupuki!!"

Le Mutuz

Mkuu, hebu tuwekee basi 'facts' za jinsi mchakato ulivyovurugwa na 'evidence' ya mtiririko wa kura katika vipengele mbalimbali kama kile kilichowakutanisha Diamond na Alikiba.

Huko kwengine kwenye kuzodoana mimi simo mkuu.
 
nashukuru kwa ufafanuzi wa imran K kuhusu Jamii Forums.Maana kwa kweli hakuna forum ambayo inaweza kuikuta hii kitu kwa sasa.
 
Mkuu, hebu tuwekee basi 'facts' za jinsi mchakato ulivyovurugwa na 'evidence' ya mtiririko wa kura katika vipengele mbalimbali kama kile kilichowakutanisha Diamond na Alikiba.

Huko kwengine kwenye kuzodoana mimi simo mkuu.
Ana fact zozote atakuambia diamond kawazidi wasanii wote maili 20 fact apo maamuzi yameamuliwa Kwa kura mshindi amepatikana duniani kote kura ndo maamuzi ya mwisho sio maneno maneno
 
Hapa ndo mnapochanganya mambo sasa, ndg yangu msilalamikeee, kigezo cha TUZO ZA WATU kilikuwa kupendwa, hayo mengine ni yako
kumbe kigezo ni kupendwa,sio muziki,hapo nimeelewa,nilitaka kushangaa Daimond kuwa na mpinzani kimziki bongo??
 
Mkuu kwa taarifa yako, Basata hawajafungia mashindano ya miss Tanzania, bali wameifungia kampuni ya RINO AGENCY, kuandaa, hayo mashindano, ila kama kuna kampuni nyingine inayotaka kuyaandaa, ifuate utaratibu tu, Hayo ni maneno ya Katibu mtendaji wa BASATA, juzi alikuwa anahojiwa.

- Hapana mimi nimeongea naye mwenyewe uso kwa uso sio alichosema na siamini amesema hivyo kwenye RAdio kama ni kweli basi ndio tatizo ninalolisema, hakuna popote Tanzania walipowahi kusema hivyo kwamba wanaifungia Lino, please wacha kupotosha!!

Le Mutuz
 
- Level ya Diamond bongo sasa hivi ni sawa na level ya Michael Jackson US alipokuwa hai, haikutokea hata mara moja kukawa na Tuzo za Muziki akakosa, hata BET waliokuwa hawampendi sana kwa sababu ya dharau zake bado walikuwa wanampa heshima yake, ninaktaa tabia ya kumtaka Msanii alalel macho Studio halafu aanza kuhangaika na Wahesabu kura it is wrong!!Le Mutuz
Mimi mwenyewe namkubali Diamond kuliko Kiba, ila ninachoongelea hapa kuna uwezekano mkubwa Diamond alipata kura pungufu ya Ali Kiba, labda sasa wewe ulitaka atangazwe mshindi ivo ivo.
 
Mkuu, hebu tuwekee basi 'facts' za jinsi mchakato ulivyovurugwa na 'evidence' ya mtiririko wa kura katika vipengele mbalimbali kama kile kilichowakutanisha Diamond na Alikiba.

Huko kwengine kwenye kuzodoana mimi simo mkuu.

- Mchakato hauwezi kuwa sawa Diamond ameshinda Tuzo 3 za Afrika, amekuwa nimonated BET USA leo akashindwe na Msanii aliyekuwa ameacha kabisa muziki na ambaye amepiga Miziki 2 na hajapata Tuzo yoyote ya Afrika wala kuitwa BET USA unasema unataka Evidence zaidi ya hizo? hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
nashukuru kwa ufafanuzi wa imran K kuhusu Jamii Forums.Maana kwa kweli hakuna forum ambayo inaweza kuikuta hii kitu kwa sasa.

- Jamiiforums hawakuwa nominated sasa kama hauko nominated hauwezi kuwa na anything na mashindano so upo huru kuwa mdhamini na ndicho waliochokifanya Jamiiforums lakini walitakiwa kuwa ndio washindi tena bila hata kura!!

Le Mutuz
 
- Mchakato hauwezi kuwa sawa Diamond ameshinda Tuzo 3 za Afrika, amekuwa nimonated BET USA leo akashindwe na Msanii aliyekuwa ameacha kabisa muziki na ambaye amepiga Miziki 2 na hajapata Tuzo yoyote ya Afrika wala kuitwa BET USA unasema unataka Evidence zaidi ya hizo? hahahahahahahaha

Le Mutuz
Wewe upo dunia ya ngapi? Hiyo ilikuwa last year, kwa taarifa yako mwaka huu Diamond hajawa nominated BET.
 
Back
Top Bottom