Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Huyu tatizo lake ni kiblog chake kunyimwa tuzo, kwanza mtu hana heshima kwenye jamii yaani amekaa kihuni huni wakati baba yake ana heshima kubwa kwenye jamii. Anapiga picha hovyo hovyo na vibinti vidogo utadhani anatokea kwenye familia ya kihuni

cjui amekula maharage ya wap huyu
 
W. J. Malecela

Mzee wa akili kubwa nmekuelewa sana na tanzania tunahitaji vijan kama ww wenye kukemea mambo yanapokwenda ndivyo sivyo...ubatikiwe sana basata washakuelewa
 
Last edited by a moderator:
Mzee wa akili kubwa nmekuelewa sana na tanzania tunahitaji vijan kama ww wenye kukemea mambo yanapokwenda ndivyo sivyo...ubatikiwe sana basata washakuelewa

- Kuna mmoja kutoka BASATA nimemuona hapo juu, eti unaweza kumnyima Zawadi Mzee Majuto katika Comedy ya Tanzania leo? Unaweza kumnyima Zawadi JB katika Muvi za bongo halafu unampa nani? hahahaha this is a joke!!

Le Mutuz
 
Hizi tunzo za watu ni biashara tuu ndio mana wanajali idadi ya sms na sio ukweli...
 
- Reasoning za Diamond na Ali Kiba on what aibu hata kusema, mtu na akili zako timamu unaweza kusema Diamond ana mshindani Tanzania nani huyo? hebu tuliza kelele wewe

Le Mutuz

kwa vile alipiga picha na watoto wako ndo unamuona mkali sana!!!!!!hivi unaweza ukaishi new york miaka mingi halafu ukawa bado ni babu shamba...
 
kwa vile alipiga picha na watoto wako ndo unamuona mkali sana!!!!!!hivi unaweza ukaishi new york miaka mingi halafu ukawa bado ni babu shamba...

- So unamaana Mwanza majuzi alipiga picha na watoto wao kwanza ndio maana wakampokea vile? hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
- Labda kama wewe umeshachaguliwa kuwa mbunge hahahahaah sikuenda kupiga picha nilialikwa kuhudhuria Tunzo kama picha nenda kwenye my blog zipo kibao na mabebezz halafu mbona hujamtaja baby niliyekuja naye? hahahahahahaha


Le Mutuz
Nina miezi sita sijaingia blog yako,hauna ubunifu yaani blog yako imejaa copy and paste haina mpangilio mzuri yaani blog mbaya kama ya mbutananga,kuwa mbunifu.Blog ya milard ayo lazima kila siku niingie,na blog ya Mange u turn blog zina mipangilio mizuri ,blog yako ni shaghala bagala tu
 
- Ali Kiba hajafikia status ya Diamond never hata huko zamani hakufikia na hatakuja kufikia, kura za siasa zimetushinda leo zikatumike kwenye sanaa hahahahahaha na wewe unatetea uozo kwa sababu ya chuki tu hujui kwamba kilichoharibiwa ni process sio jina la mtu pole sana!!

Le Mutuz
Sasa tutapataje mshindi tusipotumia kura miss Tanzania tulitumia majaji wakaweka mtu wao yapo alitumia lugha tofauti kujibia maswali Leo tuzo za watu wametumia kura wananchi waamue unapinga sasa unataka nini kifanyike kama kura zimesimamiwa na kampuni mzuri aiwezi kujikosesha heshima Kwa kufanya ujinga Wa kuiba kura au kuongeza kura na bahati mzuri kura zimepigwa mfumo Wa digital ukitaka unaonyeshwa wewe una mapenzi na diamond ndo tatizo
 
quote_icon.png
By nitonye

Huyu tatizo lake ni kiblog chake kunyimwa tuzo, kwanza mtu hana heshima kwenye jamii yaani amekaa kihuni huni wakati baba yake ana heshima kubwa kwenye jamii. Anapiga picha hovyo hovyo na vibinti vidogo utadhani anatokea kwenye familia ya kihuni

- Blog yangu haikuwemo kwenye Ctaegory na besides mimi ni Celebrity so ndio maana nilialikwa na ndio maana ninapiga picha na wananchi wote matajiri maskini wanasiasa wasanii maana ni big Celebirty, hahahahahahahaha naona hujui mambo ya Celebrity

Le Mutuz
 
Sasa tutapataje mshindi tusipotumia kura miss Tanzania tulitumia majaji wakaweka mtu wao yapo alitumia lugha tofauti kujibia maswali Leo tuzo za watu wametumia kura wananchi waamue unapinga sasa unataka nini kifanyike kama kura zimesimamiwa na kampuni mzuri aiwezi kujikosesha heshima Kwa kufanya ujinga Wa kuiba kura au kuongeza kura na bahati mzuri kura zimepigwa mfumo Wa digital ukitaka unaonyeshwa wewe una mapenzi na diamond ndo tatizo

- Kura haziwezi kuamua mshindi wa Sanaa ni kazi za Wasanii ndio zinatakiwa kuamua uzuri wa Vipaji vyao, huwezi kusema Diamond sio mwanamuziki mwanaume anayependwa Tanzania honestly ni ujinga wa hali ya juu sana hata kuusema in the public!!

Le Mutuz
 
we babu umezidi sasa kujipendekeza..diamond ni sawa na mjukuu wako unajua!!!!

- Ina maana wewe Dimaond ni mdogo wako so inakufanya kuwa sawa kumchukia kwa sababu ni mdogo kwako? duh your capacity of thinking ni bure sana mkuu, sasa niambie yule mlinzi wake na yeye nani mkubwa kwa umri kwa hiyo mlinzi wake aacha kazi maana anamzidi umri? hahahahaha unaona kichwa chako kilivyo na hewa nyingi hahahahaha

Le Mutuz
 
Nina miezi sita sijaingia blog yako,hauna ubunifu yaani blog yako imejaa copy and paste haina mpangilio mzuri yaani blog mbaya kama ya mbutananga,kuwa mbunifu.Blog ya milard ayo lazima kila siku niingie,na blog ya Mange u turn blog zina mipangilio mizuri ,blog yako ni shaghala bagala tu

- Blog yangu inapitiwa na viewers 50,000 kwa siku ulipokuwa unaiongia na umeacha hakuna kilichobadilika blog yangu inawaajiri Vijana watano wenye familia zao wanaotegemea mshahara kutoka kwenye hiyo hiyo blog, ni vyema usiingie tena maana toka uache kupitia tunaongeza sana matangazo ya biashara, hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Mkuu unaongeleaje matokeo ya serikali za mitaa, pale upinzani unaposhinda, kuapishwa kunakua kwa mbinde, pia uamuzi wa mahakama kule bukoba, tukiweka unafiki na ukereketwa pembeni?
 
Back
Top Bottom