diagaya
Member
- May 23, 2015
- 34
- 13
Huyu tatizo lake ni kiblog chake kunyimwa tuzo, kwanza mtu hana heshima kwenye jamii yaani amekaa kihuni huni wakati baba yake ana heshima kubwa kwenye jamii. Anapiga picha hovyo hovyo na vibinti vidogo utadhani anatokea kwenye familia ya kihuni
cjui amekula maharage ya wap huyu