The Panther
Member
- Feb 2, 2012
- 62
- 39
Hoja ya kuwekwa mezani ni kuwa NHIF na Waziri wa Afya wameshindwa kuwa wabunifu kuuendeleza mfuko wa NHIF badala yake wanatafuta cheap solutions na kuweka kwenye line maisha na afya za watanzania, alafu wanawatumia mamluki zero brain kama wewe kuja hapa kuleta unfound nonsense! nenda kajipange uje na hoja za maana!sasa mkuu The Panther unafikiri hiyo ndio hoja ya kuwekwa mezani muda huu kweli? seriously?