Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

Kama tatizo ni bei kubwa basi serikali ina hoja.
[emoji1666][emoji1666]
tawire kiongozi
icho ulichokiona wew ndo baadhi ya watu kwa makusudi wanajifanya wanashindwa kukiona au kukielewa apa

wamejazana madaktari uchwara apa wanapotosha watu na blaablaah zao tu
 
labda tujiulize, ile faida wanayopata, anapata mtanzania au mtu wa nchi za nje, na akiiipata si atakuwa amepata kipato kikubwa zaidi kuboresha hospitali yake? kuna nchi zingine hadi serikali huwa una bailout baadhi ya taasisi zinazohudumia wananchi, ukweli uliopo ni kwamba hao waliojitolea kufungua hospitali binafsi wamesacrifice sana hadi kufikia hatua hiyo, ilitakiwa iwe kazi ya serikali tuliyoiweka na hatutakiwi kulichukulia hili kama vita kati ya serikali na hospitali binafsi, wasababu hata hivyo bima wanazopokea sio za NHIF tu, na zingine pia, kwanini wao tu NHIF ndio waonekane na mgogoro, bima zingine za binafsi huko hawana shida? kuna uwezekano mkubwa shida ni serikali na sio hospitali binafsi.

hivi mashirika binafsi ya bima yanaweza kukubali kuendelea kuibiwa (kama kuibiwa kupo) kuliko serikali? kwanini bima za mashiriak binafsi hazina shida, hawalalamiki kuibiwa, ni hizi tu za serikali? serikali ina hospitali za kutosha? kwanini msikae mezani mkakubaliana kuliko kupigana wakati ninyi mlioko serikalini wenye kutoa maamuzi mnatibiwa south africa? mna uwezo, wale wasio na uwezo mnawatoa kafara?
wew ndo takataka kabisa

unajua hizo bima binafsi ni za akina nani?

au unajiandikia tu alimradi ulifuzu KKK?

yesu gani anaandika ujinga hivi?
 
wew ndo takataka kabisa

unajua hizo bima binafsi ni za akina nani?

au unajiandikia tu alimradi ulifuzu KKK?

yesu gani anaandika ujinga hivi?
ndugu yangu, sasa hapo Yesu amekosa nini wakati niliyeandika ni mimi, sielewi, hizo bima na za nani, nieleweshe kwa upendo tu, pengine na wengine wataelewa. pole kama nimekuudhi.
 
Kuna haki, na vibali vya sekta binafsi kutoa huduma na vinadhibitiwa na mamlaka za serikali.
Iwe usafiri,afya,ulinzi,maji,umeme etc zote zinahusu WATU.
Afya za watu.
Ulinzi wa watu.
Mali za watu.
Uhai wa watu.
hebu wewe mwenyewe soma hii takataka umeandika apa hlf utuambie unamaana gani

usituchoshe
 
ndugu yangu, sielewi, hizo bima na za nani, nieleweshe kwa upendo tu, pengine na wengine wataelewa. pole kama nimekuudhi.
sio shughuli yangu iyo

apa unamwaga hoja unakata uwanja

sio sehem ya kufundisha a be che de bwashehe

kajielimishe kwanza ndo urudi apa

karibu
 
Very true, tena wana restriction hata dawa zingine za kawaida ila hawataki wakisingizia bei..utaambiwa tu hii haipo hapa.

Ukidodosa sana daktari anakuambia hii ipo ila bima yako ya kimaskini haiwezi kuilipia imekataza chukua hii fulani ya shelys hii ya india au Uk siwezi kukupa.

Haya yote tunayajua tuna wa- zoom tu NHIF huku wao wanajichotea mikopo na kutoilipa mfuko una collapse wanatufokea fokea na press release zao.View attachment 2921613
nyinyi kenge msitupoteze maboya apa

rudini kwenye hoja ya msingi

mmeishiwa hoja sasa mnaparamia kila linalowajia kichwani

nyambaff kabisa
 
Nimeona waziri analialia akiwataka jamaa warudi mezani huku wakitoa huduma kwa kitita kipya.

Wakikubali watakuwa wajinga wa mwisho!

Wakaze uzi hapohapo.
 
Wakatoriki wameanzisha Bima yao kwa 230,000/- tu utapata matibabu Mwaka mzima
 
Ila tuache unafiki hospitali binafsi hasa hizi zinazojiita polyclinic na zile kubwa zinaibia sana mfuko wa bima ( NHIF) hili nimelishuhudia mwenyewe kwa macho yangu, yaani unakuta mtu anapewa maelezo kabisa jinsi ya kuchakata form sijui hata NHIF wafanye vipi kukabiliana na hili suala maana ishakuwa kama fashion sasa.
Yani ukijichanganya tu hata kama umeenda kusafisha kidonda tu watamanuva mpaka bill ifike laki 2... nchi inapigwa sana.
 
Yani ukijichanganya tu hata kama umeenda kusafisha kidonda tu watamanuva mpaka bill ifike laki 2... nchi inapigwa sana.
ni ajabu mkoloni mweusi amekuwa mwiba mkali kwa mweusi mwenzake kuliko ata uyo mkoloni mweupe
 
Wakatoriki wameanzisha Bima yao kwa 230,000/- tu utapata matibabu Mwaka mzima
hawa nao ni jipu lingine maana ivo vituo vinajengwa kwa sadaka na michango lakini bado wanataka haohao waliotoa sadaka walipie gharama kubwa ya huduma
 
Hospital binafsi wanatumia gharama zao kutoa huduma, kununua madawa, kodi kibao wanatoa, kulipa wafanyakazi.

Kwa mfano, wamesitisha huduma nani anapata madhara? Hii mifuko mnachota pesa za wachungiaji mpaka inakuwa empty kabisa, then mnaleta siasa za hovyo.

Kila mfumo, mnataka kupata pesa very soon mtaenda kule Utt amis, mchote pesa mkafanye kampeni, mwishoe watu wakitaka kutoa pesa zao muanze kuwazungusha.
 

Attachments

  • IMG-20240301-WA0002.jpg
    IMG-20240301-WA0002.jpg
    46.6 KB · Views: 19
hawa nao ni jipu lingine maana ivo vituo vinajengwa kwa sadaka na michango lakini bado wanataka haohao waliotoa sadaka walipie gharama kubwa ya huduma
Wewe changia Bima, Sadaka zinapelekwa kwa Papa Vatican
 
Sisi Watanzia tuna shida sehemu. Yaani kuleta shida kwenye bima ya afya (NHIF) ndio wapongezwe?
Hiyo ni afya ya watu, hapo ni uhai wa watu kuleta siasa na ngonjera zisizofaa ni kuua watu.
Jiulize ni watu wangapi watakwama kupata matibabu kwa wakati sahihi sababu ya shida ya NHIF?
Je Hospitali za Serikali zitaweza kuwahudumia wagonjwa wote kwa wakati sahihi?
Tuache porojo na ukweli usemwe kuna shida kwenye NHIF.
Kama wanataka kushuka nao jumla jumla walipaswa wafuatilie bei halisi ya matibabu kwa kila ugonjwa iwe mwenye bima au asie na bima.
Nje ya hapo inazidi kumuweka pagumu mama kwenye kampeni mwaka kesho 2025.
Wewe ndio una shida sehemu, serikali haijaleta shida kwenye bima ya afya. Imetoa bei elekezinza dawa na matibabu kitu ambacho Hospitali binafsi wamekipinga. Hebu fikiria kuna hospital kumuona daktari ni 50,000 na hiyo haihusiani na tiba wala dawa halafu uko hapa unatikisa kende eti serikali inazingua.
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Wanalipwa kwa wakati??
 
Wewe ndio una shida sehemu, serikali haijaleta shida kwenye bima ya afya. Imetoa bei elekezinza dawa na matibabu kitu ambacho Hospitali binafsi wamekipinga. Hebu fikiria kuna hospital kumuona daktari ni 50,000 na hiyo haihusiani na tiba wala dawa halafu uko hapa unatikisa kende eti serikali inazingua.
Tatizo uzi umevamiwa na madaktari na wenzao wa makampuni ya bima wanatetea ujinga wao

Halaf ukitaka kujua wana nia ovu wanazungushazungusha tu maelezo yao

hawanyooki moja kwamoja kusema wanachokidai ni nini hasa
 
Mbaya zaid unasainishwa kabla hata hayo matibabu yenyewe hujayapata, ukishasaini unaingia kwa Dr pengine shida Yako inahitaji ushauri nasaha tu ukishaondoka Ile form inajazwa dawa na mavipimo wakat hukupata hizo huduma
Kabisaa
 
Je gharama za dawa na matibabu kaa mtu anayelipia cash na mwenye bima ya afya katika hizo Hospitali zinalingana au zinatofautiana.
usituchoshe siku moja fanya zoezi nenda uko mahospitalini serikalini na uko binafsi waambie wakupe dawa halaf ukitoka apo nenda duka kubwa la jumla la dawa waulize bei ya dawa izoizo ulizopewa kule mahospitalini hlf utuletee majibu apa
 
Back
Top Bottom