Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 5,168
- 8,977
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.