Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
5,168
Reaction score
8,977
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya serikali tuitie moyo na kuipongeza serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Sisi Watanzia tuna shida sehemu. Yaani kuleta shida kwenye bima ya afya (NHIF) ndio wapongezwe?
Hiyo ni afya ya watu, hapo ni uhai wa watu kuleta siasa na ngonjera zisizofaa ni kuua watu.

Jiulize ni watu wangapi watakwama kupata matibabu kwa wakati sahihi sababu ya shida ya NHIF?

Je Hospitali za Serikali zitaweza kuwahudumia wagonjwa wote kwa wakati sahihi?

Tuache porojo na ukweli usemwe kuna shida kwenye NHIF.
Kama wanataka kushuka nao jumla jumla walipaswa wafuatilie bei halisi ya matibabu kwa kila ugonjwa iwe mwenye bima au asie na bima.

Nje ya hapo inazidi kumuweka pagumu mama kwenye kampeni mwaka kesho 2025.
 
Sisi Watanzia tuna shida sehemu. Yaani kuleta shida kwenye bima ya afya (NHIF) ndio wapongezwe ?
Hiyo ni afya ya watu, hapo ni uhai wa watu kuleta siasa na ngonjera zisizofaa ni kuua watu.
Jiulize ni watu wangapi watakwama kupata matibabu kwa wakati sahihi sababu ya shida ya NHIF ?
Je Hospitali za Serikali zitaweza kuwahudumia wagonjwa wote kwa wakati sahihi ?
Tuache porojo na ukweli usemwe kuna shida kwenye NHIF.
Kama wanataka kushuka nao jumla jumla walipaswa wafuatilie bei halisi ya matibabu kwa kila ugonjwa iwe mwenye bima au asie na bima.
Nje ya hapo inazidi kumuweka pagumu mama kwenye kampeni mwaka kesho 2025.
Soma vizuri hoja yangu uielewe kiongozi tujibishane kwa hoja badala ya ngonjera.
 
Hospital binafsi wanatumia gharama zao kutoa huduma, kununua madawa, kodi kibao wanatoa, kulipa wafanyakazi.

Kwa mfano, wamesitisha huduma nani anapata madhara? Hii mifuko mnachota pesa za wachungiaji mpaka inakuwa empty kabisa, then mnaleta siasa za hovyo.

Kila mfumo, mnataka kupata pesa very soon mtaenda kule Utt amis, mchote pesa mkafanye kampeni, mwishoe watu wakitaka kutoa pesa zao muanze kuwazungusha.
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya serikali tuitie moyo na kuipongeza serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.

1. Hii si ni kama suala la sukari, nauli kwenye mabasi, umeme tanesco, TRC, ttcl, mwendokasi, atcl, petroli, mashule, vyuo, nk?

2. Siyo kuwa suluhu ilikuwa serikali iwe na vyake vilivyo bora vya mfano tukaachana na daladala, tigo, Airtel, Vodacom, mashule binafsi nk tuhamie kwao?

3. Si kuwa tatizo ni kuwa wako kinadharia zaidi na mwendo wao wa siku zote ni ule pendwa wa kudidimiza biashara za watu?

4. Si kuwa kila kitu kwao ni siasa tu?

5. Tunawapongeza hawa kwa lipi? Labda kwa ubinafsi na matumizi ya hovyo ya kodi zetu!
 
Hospital binafsi wanatumia gharama zao kutoa huduma, kununua madawa, kodi kibao wanatoa, kulipa wafanyakazi.

Kwa mfano, wamesitisha huduma nani anapata madhara? Hii mifuko mnachota pesa za wachungiaji mpaka inakuwa empty kabisa, then mnaleta siasa za hovyo.

Kila mfumo, mnataka kupata pesa very soon mtaenda kule Utt amis, mchote pesa mkafanye kampeni, mwishoe watu wakitaka kutoa pesa zao muanze kuwazungusha.
Mkuu tuliza wenge tujibizane kwa hoja usirukeruke tu kama mwewe aliyevamiwa na paka tunduni.

Kwaiyo hospitali za serikali haina hizo gharama ulizozitaja?
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.

Mkuu umerudia kusoma ulicho andika?
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Ni wachache sana watapona hizi juhudi
 
Sisi Watanzia tuna shida sehemu. Yaani kuleta shida kwenye bima ya afya (NHIF) ndio wapongezwe?
Hiyo ni afya ya watu, hapo ni uhai wa watu kuleta siasa na ngonjera zisizofaa ni kuua watu.
Jiulize ni watu wangapi watakwama kupata matibabu kwa wakati sahihi sababu ya shida ya NHIF?
Je Hospitali za Serikali zitaweza kuwahudumia wagonjwa wote kwa wakati sahihi?
Tuache porojo na ukweli usemwe kuna shida kwenye NHIF.
Kama wanataka kushuka nao jumla jumla walipaswa wafuatilie bei halisi ya matibabu kwa kila ugonjwa iwe mwenye bima au asie na bima.
Nje ya hapo inazidi kumuweka pagumu mama kwenye kampeni mwaka kesho 2025.
Kuna wagonjwa wengi wako kwenye dialysis three times a week. Si watakufa tu!
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Sawa.


Hawataki tena hiyo faida kubwa waliyokuwa wanaipata kwa NHIF.

Sasa hivi ukienda na hicho kikadi chako cha NHIF hawapokei, utalipa cash.


Huu upoyoyo ndio CCM wanaufurahia.
 
Sawa.


Hawataki tena hiyo faida kubwa waliyokuwa wanaipata kwa NHIF.

Sasa hivi ukienda na hicho kikadi chako cha NHIF hawapokei, utalipa cash.


Huu upoyoyo ndio CCM wanaufurahia.
mrizike na mlichokipata kwa muda wote huo mliokamua watu mabei ya kibwanyenye kunenepesha matumbo yenu

msitake kujilimbikizia nyinyi tu

huo nao ni ufisadi mwingine tu
 
Ila tuache unafiki hospitali binafsi hasa hizi zinazojiita polyclinic na zile kubwa zinaibia sana mfuko wa bima ( NHIF) hili nimelishuhudia mwenyewe kwa macho yangu, yaani unakuta mtu anapewa maelezo kabisa jinsi ya kuchakata form sijui hata NHIF wafanye vipi kukabiliana na hili suala maana ishakuwa kama fashion sasa.
 
Ila tuache unafiki hospitali binafsi hasa hizi zinazojiita polyclinic na zile kubwa zinaibia sana mfuko wa bima ( NHIF) hili nimelishuhudia mwenyewe kwa macho yangu, yaani unakuta mtu anapewa maelezo kabisa jinsi ya kuchakata form sijui hata NHIF ufanye vipi kukabiliana na hili suala maana ishakuwa kama fashion sasa.
tawire kiongozi

wewe umenielewa

hawa ni majizi tena wa mchana kweupe

tena kibaya zaidi wanakwiba kwa afya za masikini wenzao
 
Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.

Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.

Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.

Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!

Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.

Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.

Wanaanza kupiga mayowe.

Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.

Maana walishazoea.

Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.

Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Mm kwa Kweli Niko na serekali ktk Hili
.naomba tu wapanue wigo mpana ktk hospitali zake

Hili la aphfa wafie wskatibu watu binafsi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom