Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 5,168
- 8,977
- Thread starter
- #61
sawa
heri yako mwenye nazo
sawa
Weka hojaHii nchi imejaa misukule ,
Yaani wewe unaamini hospitali binafsi ndio tatizo si ndio ? ,Na si hao wapuuzi wenzenu NHIF ?
Una akili wewe ?
Unajua jinsi mfumo wa bima unavyofanya kazi ?
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
HayaHizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Kwenye hospital za private gharama za matibabu za cash na bima ni tofauti. Tar 17 nililazwa kwa operation ya apendex ambayo ilifanya siku hio hio nikatoka hosp tar 21. Bill yangu ilikuja 1,044,000.Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Kuwa mwelewa,Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
sasa nawew nikuulize serikali inahusikaje hapo kwenye kushusha bei ya dawa?Kuwa mwelewa,
Serikali haijashusha bei za dawa.
Kama huamini nenda Leo kanunue dawa kama utakuta bei imeshuka.
Kilichoshushwa ni gharama ambayo nhif yatakiwa kulipa hospitali baada ya mteja wake kupata huduma ya matibabu.
wewe sasa umeleta mfano hai kabisaKwenye hospital za private gharama za matibabu za cash na bima ni tofauti. Tar 17 nililazwa kwa operation ya apendex ambayo ilifanya siku hio hio nikatoka hosp tar 21. Bill yangu ilikuja 1,044,000.
Nilikua natumia cash. Mwenzangu ambae tumefanyiwa same operation tofauti yeye alilazwa siku Moja kabla Mimi, wamem bill 1,960,000 alitumia bima.
Zilezile roho mbaya. Tufanane.Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
How?Don't trust the Government,The Government is the problem
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Blaza "Kende" aka korodani kwanza huko vijijini watu wangapi wana bima ya NHIF? huu mfuko unatumika kuchakua hela za wafanyakazi wa Serikali, mashirika yaliyolazimishwa kujiunga na NHIF bila hiari kisha kutoa huduma duni za afya na pesa kutumika vibaya kwa wafanyakazi wa NHIF kujikopesha mikopo isiyo fuata taratibu na kufanyia kampeni za uchaguzi. Shilingi Trilioni moja point 5 ilichotwa NHIF kipindi cha uchaguzi uliopita mpaka sasa haijarudishwa alafu mfuko usife?Hizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
sasa mkuu The Panther unafikiri hiyo ndio hoja ya kuwekwa mezani muda huu kweli? seriously?Blaza "Kende" aka korodani kwanza huko vijijini watu wangapi wana bima ya NHIF? huu mfuko unatumika kuchakua hela za wafanyakazi wa Serikali, mashirika yaliyolazimishwa kujiunga na NHIF bila hiari kisha kutoa huduma duni za afya na pesa kutumika vibaya kwa wafanyakazi wa NHIF kujikopesha mikopo isiyo fuata taratibu na kufanyia kampeni za uchaguzi. Shilingi Trilioni moja point 5 ilichotwa NHIF kipindi cha uchaguzi uliopita mpaka sasa haijarudishwa alafu mfuko usife?
Wewe ni mpumbavu ,kwa hiyo hao watoa huduma waliamua kufilisi bima za NHIF. Tu na si bima za makampuni mengine kama AAR , Diamond NK ambazo clients wake bado wanapokea huduma vizuri tu mpaka leo ?sasa kama hujui hao watoa huduma ndo wameufilisi mfuko kwa kuweka gharama ambazo hazipo na janjajanja nyingi.
unataka kusema serikali inachukua hela kwenye mfuko? hela zipi? na hlf izipeleke wapi? come on! grow up buddy
Wewe ni Mpumbavuu narudia tena wewe ni MpumbavuuHizi hospitali zilikuwa zinatupiga bei za kibwanyenye.
Kidonge cha shilingi 50 unauziwa shilingi 1000 hata zaidi, kutegemea wewe mwenyewe umekujaje.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wa siku zote wa hizi hospitali.
Zinatia faida kwenye shida ya kiafya ya mtu!
Sasa Serikali imeshtuka na kuwashukia jumlajumla.
Sasa wamepewa bei halisi wanazostahili kuzipata.
Wanaanza kupiga mayowe.
Wanaona wamenyang'anywa tonge tamu mdomoni.
Maana walishazoea.
Tuwe nyuma ya Serikali tuitie moyo na kuipongeza Serikali kwa hatua hii.
Maana itaokoa wengi hasa huko vijijini maana hata kupata hiyo hela ya matibabu ni mtihani.
Kongole sana mkuuKumbukeni serikali inatoa subsidy kwenye hospitali zake, lakini charges za NHIF kwa hospitali za umma na serikali ni zile zile. Huyu wa hospitali binafsi ana mikopo, analipa serikali, ana wafanyakazi wengi, anamudu vipi gharama za uendeshaji? Wakati huo NHIF haijawahi kulipa kwa wakati, yaani mtu anatibiwa mwezi huu, malipo yanafanyika mwezi May.
..hakuna fair ground kati ya hospitali binafsi na za serikali.
Na unafikiri ni kwanini watoa huduma wangomea bima ya NHIF na si za insurance agencies nyingine private ?daah apa kuna kazi aisee
Sasa ndo naelewa kwann waziri wa elimu anataka kuufumua huu mfumo wa elim uliopo maana mtu unashindwaje kuelewa vitu vyepesi tu vinavyozungumzwa apa au wew ni chekechea? nisije kuanza kukulaumu bure kumbe ni mtoto anayechezea simu ya dad yake , maana hatujuani apa
ni hiv kiongozi
wananchi hawajafungiwa huduma maana izo kadi ni za nhif na uyo pekee ndo anaweza kuzifungia. kilichotokea vituo ndo vimekataa kupokea izo kadi
Grow up
usipanicWewe ni mpumbavu ,kwa hiyo hao watoa huduma waliamua kufilisi bima za NHIF. Tu na si bima za makampuni mengine kama AAR , Diamond NK ambazo clients wake bado wanapokea huduma vizuri tu mpaka leo ?
Unatumia akili wewe au tope ?
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Bima ndo wamekuja kukaza hapo, wanataka wote mlipiwe 1M, watoa huduma hawatakiKwenye hospital za private gharama za matibabu za cash na bima ni tofauti. Tar 17 nililazwa kwa operation ya apendex ambayo ilifanya siku hio hio nikatoka hosp tar 21. Bill yangu ilikuja 1,044,000.
Nilikua natumia cash. Mwenzangu ambae tumefanyiwa same operation tofauti yeye alilazwa siku Moja kabla Mimi, wamem bill 1,960,000 alitumia bima.