Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,190
- 4,269
Eleza wanavyoibaIla tuache unafiki hospitali binafsi hasa hizi zinazojiita polyclinic na zile kubwa zinaibia sana mfuko wa bima ( NHIF) hili nimelishuhudia mwenyewe kwa macho yangu, yaani unakuta mtu anapewa maelezo kabisa jinsi ya kuchakata form sijui hata NHIF wafanye vipi kukabiliana na hili suala maana ishakuwa kama fashion sasa.