Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Usianze kujishushia heshima yako uliyo nayo hapa jf,huo upuuzi wa kukosoa maandishi mwachie Fayza FoxBihashara=biashara; gafra=ghafla. No further comments
Usianze kujishushia heshima yako uliyo nayo hapa jf,huo upuuzi wa kukosoa maandishi mwachie Fayza FoxBihashara=biashara; gafra=ghafla. No further comments
I like itMbona mahindi watu wanunua maelfu ya magunia na wanauza sehemu nyingine serikali haihoji? Kwani korosho ni haramu ? Aibu kubwa kwa Utawala huu wa kihuni na udikteta?
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Una uhakika kuwa kuna walio jitia kitanzi?
Hii kitu upewe kama stori tu,inaumiza sana
Why korosho ndo iwe haramu??? Watu pia wana mahindi, mchele, kahawa, ndizi, maharagwe n.k na wote hawana mashamba mbona hamjawakamata???Kila nikirudia kusoma humo nilipoweka Red naona sielewi kama ulienda kwa lengo la kwenda kununua korosho huko kusini au ulikuwa unapita tu ukaombwa na wakulima wa korosho ununue korosho zao?
Hivi ukimkuta teja ana msokoto akakuomba akuuzie ana kiu ya maji nawe ukanunua ukakaa na msokoto dola ikaja ikakukuta nayo utajielezea vipi?
Aliyekutwa na ngozi ndiye mwizi..! Wewe ulienda kusini kulangua korosho na ulanguzi ni kosa.
Anayetaka kujitoa mhanga hatangazi utasikia tu kimewaka!Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
You have spoken all, I like itHivi story hii uongo wake na wa yule anayesema tunajenga reli na mradi wa Rufiji kwa hela zetu kumbe hazina kuko chwee mpaka waziri wake analia "wanaume" wamesitisha Misaada ni yupi muongo mwenye athari kwa nchi?
Halafu ni aibu unaaminiwa na raia kisha unakuwa mtu wa fix!
iko hivi hawa wakulima wana vikundi kama utalaza deni basi linagawiwa kwa kukundi kuzima kilishindwa kulipa linagawiwa kwa kijiji kikishindwa lipa libabebwa na chama (mara nyingi ni ngumu kufika huku) ndo maana ujawah sikia chama kikipata hasaraHivi mfano nikiwa na tani 10 nikamuuzia mtu tani tani 2 nikijua kuwa inayobaki nitalipa deni kwenye hivyo vyama vya ushirika nitakuwa nimefanya kosa? Hivi wakulima wote hukopa pembejeo? Hivi mkulima anawezaje kukwepa deni la pembejeo huku akijua mwakani atazihitaji, kwenye tumbaku middle men wapo sana kinachofanyika ni kwamba mkulima anabakiza kiasi ambacho atawalipa hao wa ushirika.
Sijawahi kusikia vyama vya ushirika vikilalamika kudhulumiwa na wakulima.
Yeye pia sio chanzo chanzo ni katiba chakavu ya nyerere ndio imetufikisha hapa,tunataka katiba mpya ya kizazi cha sasa ili yakitoka madarakani yaozee jela.Mkuu pole sana ila naomba urekebishe hapo unasema unaichukia Tanzania pasomeke unamchukia jiwe.... Jiwe ndiye chanzo cha haya yote piga moyo konde 2020 sio mbali
Hana pa kushtaki mkuu, hii nchi unaijua. Watoa haki wamewambia madiwani wa chadema uko Magu kuwa ni marufuku majengo ya serikali kutumiwa na vya vya siasa.Kwani mkuu hakuna pakwenda kushtaki?????
Jalibu kushtaki au tafuta au sambaza taarifa hizi kwenye tv watanzania wengine wasikie.
Pole mkuu,nahisi vile unavyojisikia! Pole Sana Mtanzania mwenzetuAisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Na angeenda kwenye masoko yote akawaone madalali, wako kibao na wanafanya kazi zao daily peacefulAmekosea sheria ipi mkuu, mlanguzi ni middle man kwa kiingereza, ni kazi kama kazo zingine.