Serikali imeninyang'anya korosho zangu

Serikali imeninyang'anya korosho zangu

Serikali badala ya kutaifisha hizo bora wangewaambia wananunua za wakulima tu ili wafanyabiashara wakatafute masoko yao. Kutaifisha si kitu sahihi...
Waache watakuja zilipa siku moja
 
Mkuu hivi nikinunua mchele kyela na kuuleta Dar nitaulizwa nimelima wapi?[/QU
huu ni mfano mfu

je mchele unauzwa katika vyama vya ushirika, je huu mchele wanachukua pembejeo katika vyama hivyo kutakiwa kukatwa

tangu lini ukakuta tumbaku, korosho, kahawa, pamba zikiuzwa kiboya kama mchele (ambao gharama za uzalishaji ni juu ya mkulima)
 
Pumbavu kabisa hujui inavyouma
wewe ulikuwa unawatapeli wakulima, ulikuwa unakitapeli chama kilicho mpa mkulima pembejeo

eti nikaweka m10, unajua pembejeo za kustawisha iyo korosho zilipo toka.

ko ulipo taka didimiza chama cha ushirika unaona ulikuwa sawa
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.

Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.

Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).

Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.

Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,

Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.

Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.

Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.

Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Ukisikia baadhi ya nchi zina waasi usidhani walipenda.kuna vitu tu vimewasukuma.......kikitokea kikundi kinataka kupindua hii serikali kupitia msitun hakika naungana nao.korosho zangu zinaniuma sana........
 
Pole sana Mkuu..ila hiyo uliyokuwa unafanya ndio KANGOMBA..yaani unanunua korosho kwa mkulima kwa shilingi 1000 ili wewe uje kuuza kwa 3300. Japo umesema hukuwa unawalazimisha ila ulitumia shida za wakulima kujinufaisha. Suala lako linafanana na utetezi wa kufanya mapenzi na binti chini ya miaka 18, hata kama ulimtongoza na kukubaliana lakini sheria itakuambia umebaka.
Toka lini sheria zetu zinakaza mtu kuwa middle man. Kila zao ulinunualo sokoni hzlitetwi pale na mkulima bali ni mlanguzi aka mchhuzi au middle man. Kwa taarifa yako hata nyama ya kuku unakula mezani kwako kwa nzmna moja au nyingine imefanikishwa hapo mezani na kangomba.
 
Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
Washachukua.hapo halipwi mtu
 
Unaionaje Mkuu, ni ya uongo au ya ukweli? Umejuaje kama uongo au ukweli?
Kila mnunua korosho anajua ni biashara kificho na ndiyo maana mwenyeji lazima ausike sasa wewe ulipoulizwa ukasemaje?mimi nina mtu alikuwa na tani 40 kazigawanya kwa wenyeji wakulima.wewe magendo siyo kazi yako au ni stori ya willy gamba.
 
Mbona mahindi watu wanunua maelfu ya magunia na wanauza sehemu nyingine serikali haihoji? Kwani korosho ni haramu ? Aibu kubwa kwa Utawala huu wa kihuni na udikteta?
hayo mahindi wanakopeshwa pembejeo

hayo mahindi yako chini ya ushirika.

unaleta mifano usiyo na mfanano, leta tumbaku, pamba alafu utwambie lini umewahi ona mtu akanunua marobota na marobota ama mitumba ya tumbaku kwenda kuuza kama mahindi
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.

Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.

Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).

Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.

Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,

Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.

Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.

Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.

Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
POLE MTU MMOJA ATAITWA RAIS MSTAAFU 2020 THEN BM K ANATAKE USUKANI.
 
Toka lini sheria zetu zinakaza mtu kuwa middle man. Kila zao ulinunualo sokoni hzlitetwi pale na mkulima bali ni mlanguzi aka mchhuzi au middle man. Kwa taarifa yako hata nyama ya kuku unakula mezani kwako kwa nzmna moja au nyingine imefanikishwa hapo mezani na kangomba.

Sijaelewa ulichoandika kwa kweli.
 
Kila nikirudia kusoma humo nilipoweka Red naona sielewi kama ulienda kwa lengo la kwenda kununua korosho huko kusini au ulikuwa unapita tu ukaombwa na wakulima wa korosho ununue korosho zao?

Hivi ukimkuta teja ana msokoto akakuomba akuuzie ana kiu ya maji nawe ukanunua ukakaa na msokoto dola ikaja ikakukuta nayo utajielezea vipi?
Aliyekutwa na ngozi ndiye mwizi..! Wewe ulienda kusini kulangua korosho na ulanguzi ni kosa.
Hii biashara ipo kitambo, ipo kwenye korosho, ufuta, alizeti, viazi machungwa .n.k. Soko la mazap haliko rasmi, pia mkulima akilima na akivina anahitaji pesa kwa ajiri ya matumizi mengine, mwenye pesa yake hakatazwi kununua, na pia hivi serikali imepata wapi mamlaka ya kunyang'anya mali ya mtu? Si wasinge nunua korosho zake tuu.
 
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.

Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.

Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).

Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.

Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,

Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.

Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.

Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.

Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.

Wewe umefanya kosa kubwa sana..... wewe ni kangomba au mlanguzi.
Korosho hununuliwa kwenye mnada hata kama ungekuwa na leseni huruhusiwi kwenda kwa mwananchi mmoja mmoja kwenda kununua korosho unacho takiwa ni kuwa na leseni ya kununua korosho na kusubiri mnada basi...
Njia nyingine yakuwa na korosho ni kumiliki shamba la korosho na kuivuna na kuipeleka kwenye vyama husika..
Hivyo umefanya kosa na sheria imechukua mkondo.
Lakini kama unaona umeonewa nenda mahakamani....
Watu hapa wasikufariji wala wasikudanganye umchukie au kumlaani mtu kwani hayo yatakupotezea muda tuu.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hii biashara ipo kitambo, ipo kwenye korosho, ufuta, alizeti, viazi machungwa .n.k. Soko la mazap haliko rasmi, pia mkulima akilima na akivina anahitaji pesa kwa ajiri ya matumizi mengine, mwenye pesa yake hakatazwi kununua, na pia hivi serikali imepata wapi mamlaka ya kunyang'anya mali ya mtu? Si wasinge nunua korosho zake tuu.
mkuu sema kitu unacho fahamu sio porojo hakuna iyo biashara kwenye mazao yanayo simamiwa na ushirika ambayo yamechukuliwa pembejeo

tumbaku, korosho, pamba (hili la pamba sina uhakika maana nikipo wanalima bila ya dawa) haya mazao hakuna biashara ya mtu wa kati

alicho fanya mtoa bandiko ni wizi kwa mkulima na ushirika (maana wametoa pembejeo yeye anaenda langua mazao yao)

kama tu mkulima A haruhusiwi kuuzia kwa mkulima B (inaonekana anakwepa deni) iwe mtu mlanguzi
 
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.

Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.

Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).

Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.

Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,

Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.

Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.

Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.

Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Miaka hii kitengo cha propaganda uchwara mna kazi kweli kweli.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom