Mkuu sijui ntaishijeDuh.. nimesoma hadi nahisi moyo kusimama kwa mdam. Yaani mtu amekuletea ukanunue kwa hiari yake.halafu leo serikali inasema hauna shamba hivyo inachukuwa bila kujua wewe umeipataje.
BASI NA SISI WAUZA MAHINDI NA MCHELE TUJIANDAE MAANA NA SISI TUNASTOCK LAKINI HATUNA MASHAMBA WALA KIBANDA KIJIJINI
Ila nilishawahi kuandika hapa. MABENK YAJIANDAE KUFIRISI WATU BILA HURUMA KWA SABABU YA KOROSHO.
Ukiandai sana utaambiwa nyie ndio mliokuwa mnanyanyasa wakulima na leo ni kisasi chenu
Mkuu hivi nikinunua mchele kyela na kuuleta Dar nitaulizwa nimelima wapi?
Endelea kutetea tu ila nikuhakikishie kabla miaka yake ya uongozi haijaisha utaguswa tu kwa namna yoyote ile.Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
Pumbavu watanilipaje wakati walizichukua bila kupima uzito sasa watakulipa bila kujua ni tani ngapi walichukua we vipiBaba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
Fear. Unajua kutumia verified user si jambo dogo Petro E. MselewaKatika yote aliyoandika Mwanasheria wewe umeguswa na hayo tuu??
Yaani hauna hata ushauri wa kisheria kwa middlemen Huyu anaewakilisha wenzake wengi tu wahanga wa uamuzi wa serikali hii.??!
Sad
Hahah kama nakuona kwenye viunga vya mahakama.Unaionaje Mkuu, ni ya uongo au ya ukweli? Umejuaje kama uongo au ukweli?
Ndio ulichokiona iko ww,,ww nna shaka kma kweli umesoma udsmBihashara=biashara; gafra=ghafla. No further comments
Rubish shwain mkubwa wewePole sana Mkuu..ila hiyo uliyokuwa unafanya ndio KANGOMBA..yaani unanunua korosho kwa mkulima kwa shilingi 1000 ili wewe uje kuuza kwa 3300. Japo umesema hukuwa unawalazimisha ila ulitumia shida za wakulima kujinufaisha. Suala lako linafanana na utetezi wa kufanya mapenzi na binti chini ya miaka 18, hata kama ulimtongoza na kukubaliana lakini sheria itakuambia umebaka.
haya mambo wapiga mapambio wanayafurahia..........Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
OkayMbona mahindi watu wanunua maelfu ya magunia na wanauza sehemu nyingine serikali haihoji? Kwani korosho ni haramu ? Aibu kubwa kwa Utawala huu wa kihuni na udikteta?
Rais wa wanyonge ameshakupitia......Inasikitisha sana lakini hakuna namna mtoto wa kiume pambanaAisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.