Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Fasihi simulizi
Na ndiyo biashara zilivyo kila siku.Msimu wa mavuno watu wanakusanya mahindi na mpunga ndani.Bei ikichangamka wanapeleka sokoni.Chief, mimi naamini kwamba kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Tusilazimishe kukomoana kwa kuwa tu mtu ana mtaji wake na tumeshajua kuwa amegomesha kutetea maslahi yetu. Kamba ya hao walivyokuwa Wakulima ilikuwa haiwaruhusu kungojea fedha za msimu, kwa maana nyingine hata wewe "Kama" una nafasi nzuri kifedha na upo kijijini bado kuna mkulima angeweza kuja kwako mkapatana na akaweka bond mavuno yake yote ya mwaka kabla ya msimu wa kununua. Ni hali duni ya Wakulima ndiyo imeruhusu wawepo wachuuzi hawa ambao mimi naona hakukuwa na ulazima wa kufanyia haya. Pesa amekula mkulima kwa hiari yake, leo tunataifisha mali ya mchuuzi, kesho tunasema tunaondoa umaskini...
Labda
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Unaichukia Tanzania?Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Huyu Makufuli na watu wake na maamuzi yao ni lazima wana matatizo ya akili, siyo bure. Haya mambo hayawezekani kufanywa na watu wenye akili timamu, haiwezekani!!!
Kaa kimya f$@a weweUkiwa muongo inabidi pia ujue namna ya kuandika uwongo uliokaribu ma ukweli!
Hii story yako utawaokota nyumbu wengi!
hoja yako ni ipi?,nimekwambia nacho fahamu juu ya ushirika hawaruhusu mfanya biashara kuleWewe unatetea wizi , dhuluma ya serikali kwa raia wake. Kwani serikali hii kudhulumu raia wake wameanza leo kwenye korosho? Si hata hela za rambirambi Bukoba walizidhulumu, ili hali rambirambi zilizotolewa kwenye msiba wa dada yake Magufuli hatukusikia zikichukuliwa na serikali kufanya kazi za jamii.
Unatete uovu wa serikali hii ya kidikteta.
Hapa nilipo ukileta "u-KANGOMBA " kwenye karafuu ndiyo mwisho wa kulalia kitanda chako....acha watuondolee hawa middle man maana walikuwa wakitoka kwenye korosho hao wanakuwadia wagombea udiwani wa ccm..kama vipi wanunue chuma chakavu tu!Mbona mahindi watu wanunua maelfu ya magunia na wanauza sehemu nyingine serikali haihoji? Kwani korosho ni haramu ? Aibu kubwa kwa Utawala huu wa kihuni na udikteta?
Unajua Kitaturu, kuna watu wamebarikiwa na kuwa na uwezo mbalimbali. Wapo wanaoweza kukulisha matango pori bila mwenyewe kujua unakula visivyolika.
Kuna watu kazi wanayoiweza ni kujiweka tu katikati ya matatizo ya watu na kuyafanya yaonekane ni matatizo yasiyoweza kutatuliwa.
Nimemsoma vyema kabisa huyo mleta mada na kuwaza sana. Ndio, tuna utawala wa ajabu sana kwa sasa na unaweza kufanya lolote watakalo kulifanya wenyewe hata liwe baya kiasi gani. Tumekwishaona mifano halisi ya mambo wanayoweza kuyafanya.
Nakataa katakata kwamba mleta hoja kafanyiwa kama anavyodai hapa.
Watu wa aina hii ndio watakaofanya kazi ya kuuondoa udhalimu unaotukabili iwe ngumu zaidi.
Biashara yoyote lazima kuwepo na mtu wa kati....Hapa nilipo ukileta "u-KANGOMBA " kwenye karafuu ndiyo mwisho wa kulalia kitanda chako....acha watuondolee hawa middle man maana walikuwa wakitoka kwenye korosho hao wanakuwadia wagombea udiwani wa ccm..kama vipi wanunue chuma chakavu tu!
Kuna mtu kajinyona kisa hikohikoHii kitu upewe kama stori tu,inaumiza sana
Wasajiliwe na kupata leseni haina shidaBiashara yoyote lazima kuwepo na mtu wa kati....
Haiwezekani wote muwe wakulima
Haiwezekani wote muwe wachimbaji madini
Etc....huo unaitwa mgawanyo wa kazi
Wote mpata riziki
Ova
DUH, NIMESOMA HUU UZI, NIMENYON'GONYEA, INAUMA SANA, ILA MKUU JIKAZE TU HIO NDIO SEHEMU 1 YA LIFEAisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Mbn Wana leseni kitambo za kununulia mazao.....tatizo hapa ni kuonesha shambaWasajiliwe na kupata leseni haina shida
Kwa wale ambao wana leseni za kununua korosho huwa hawaulizwi mashamba kwani huwa na vibali piaJamaa hawaulizi leseni, wanakuuliza shamba liko wapi?
Wacha kuchanganya mambo ya facebook humu. Hivi unaweza kuwa na bucha halafu usiwe na leseni pamoja na kibali afya ukaachiwa???????Sheria ya kwamba ukiwa na bucha ya kuuzia nyama lazima uonyeshe zizi?