Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
Daaah pole sana ndugu yangu aisee .
Yote yatapita haya huyu jamaa one day ....
Yote yatapita haya huyu jamaa one day ....
Ngoja yakikukukuta ndio utajua km kunasheria au laa.Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
pole kijana.Aisee so pain, nalia sijui nianzie wapi.
Baada ya kukaa bila ajira niliamua kujiajiri bihashara ikawa ngumu, ikabidi nibadilishe aina ya bihashara, kutokana na ndugu yangu alifanya biashara ya Korosho na ikamlipa nikaamua na mimi kutafuta riziki kupitia korosho.
Sikua na mtaji mbaba mmoja ni family friend alikuwa amestaafu so pensheni alikuwa nayo basi akanionea huruma na kunikopesha milioni kumi(10m).
Basi nkaenda kusini aise wananchi walikuwa na hali mbaya yaani mtu mwenyewe ndo anakuletea au kukuitia korosho, basi nilinunua tena bila kumlazimisha mkulima, bali mkulima ndo anakuomba ununua maana hata pesa ya sukari anakuwa hana.
Serikali walipokuja kuhakiki wakaniuliza kama nina shamba nkawaambia sina, me nimekuja kufanya bihashara kama mtanzania maana ni haki yangu kuishi popote,
Bila huruma wakataifisha korosho zangu, nilizimia baadae nkazinduka, Baba alipopata tarifa naye alizima gafra.
Mzee aliyenisave hela ananidai na serikali imechukua Korosho zangu.
Basi Baba ameamua kumuuzia shamba letu maana hakuna jinsi ya kulipa deni.
Naichukia sana Tanzania, sahivi naisi kujitoa muhanga.
Suala siyo kunikuta au kutonikuta. Hapa kuna mtu amelalamika kuwa kama mjasiriamali alikwenda kusini kununua korosha na wakati wa kuuza anaulizwa kama ana shamba au la.Ngoja yakikukukuta ndio utajua km kunasheria au laa.
Bora umumuambiaHebu fafanua kwa nini unakataa?
Umeona viashiria vyovyote kuwa huyu mtu anajaribu kutulisha matango pori tu hapa?
Kwa upande wangu nionavyo na kwa jinsi mambo chini ya uongozi wa serikali hii yanavyokwenda, sioni shaka wala ajabu haya kutendwa na dola
Kama watu (vyombo vya usalama/dola) vinateka na kuwapoteza raia eti wanaikosoa "serikali", wanajaribu kuua ama kuua kabisa kwa risasi za vita na kila aina ya uovu hili nalo unaonaje ajabu kutendwa na hawa viumbe??
Ila ingekuwa vizuri sasa wabunge wa kusini kuzunguka kwenye majimbo yao kuongea na wakulima na wajasiria mali ili kupata picha halisi ya mateso yanayotokea hukoHii kitu upewe kama stori tu,inaumiza sana
Hoja yangu ni kwamba serikali ina tabia ya kudhulumu raia wake kama ilivyofanya kwemye musiba ya ajali ya tetemeko kule Bukoba na sasa kwa wakulima wakulima na wafanya biashara ya korosho.hoja yako ni ipi?,nimekwambia nacho fahamu juu ya ushirika hawaruhusu mfanya biashara kule
hayo mambo ya rambirambi yafungulie uzi ntachangia
Mnunuzi mdogo wa kawaida huwa hana leseni kwakuwa yeye anadunduliza na hii wengi huwa tunafanya. Uko mjini unatuma hela kijijini au unakwenda nyakati za mavuno wakulima huwa wanakuwa wameishiwa kabisa wanatafuta hela ya matumizi hivyo huuza kidogo kidogo mazao yao. Kwahiyo wewe unakusanya taratibu kisha uje uuze baadaye.Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
Vyama vya ushirika na mazao yake haviruhusu wafanya biashara mkuu. usitake kuhalalisha madai yako kwa kuchomekea kwamba wafanya biashara wamedhurumiwa hilo sitakubaliana na ww hata usemejeHoja yangu ni kwamba serikali ina tabia ya kudhulumu raia wake kama ilivyofanya kwemye musiba ya ajali ya tetemeko kule Bukoba na sasa kwa wakulima wakulima na wafanya biashara ya korosho.
Na serikali kutaifisha fedha za rambirambi misiba ya maafa ya tetemeko kule Bukoba ni 100/% sawa pia? Tabia ya serikali kudhulumu mali za watu imekuwa order of the day. Huo ni ukweli taka usitake. But mind you, nothing is permanent, Magufuli will eventual go, and his crimes left behind will be wiped away.Vyama vya ushirika na mazao yake haviruhusu wafanya biashara mkuu. usitake kuhalalisha madai yako kwa kuchomekea kwamba wafanya biashara wamedhurumiwa hilo sitakubaliana na ww hata usemeje
serikali kutaifisha korosho za wasio wakulima iko sahihi 100%
.You are missing a point.Mnunuzi mdogo wa kawaida huwa hana leseni kwakuwa yeye anadunduliza na hii wengi huwa tunafanya. Uko mjini unatuma hela kijijini au unakwenda nyakati za mavuno wakulima huwa wanakuwa wameishiwa kabisa wanatafuta hela ya matumizi hivyo huuza kidogo kidogo mazao yao. Kwahiyo wewe unakusanya taratibu kisha uje uuze baadaye.
Hayo ni maelezo ya ziada lakini ukisoma na kufuatilia yanayyotokea kusini ni kuwa wao wanataka shamba siyo leseni
Wanunuzi wengi wa mazao ni wavumilivu sana. Bei za mazao Tz hii zinayumba yumba sana. Hivyo biashara ya mazao ni bahati nasibu. Unaweza nunua mpunga gunia debe saba kwa sh 90000 halafu ukaenda sokoni ukakutana na mafuriko ukauta unakoboa na kupata sh 60000 kwa gunia. Hivyo wengi hawakati leseni kwani biashara yenyewe ni pasua kichwa sometime. Warudishe korosho za watu huu ni wizi wa mchana kweupe very shem.Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
Baba yangu jee ulikuwa na leseni ya biashara??????????????
Kisheria inawezekana kuwa wewe ni mlanguzi kwa sababu huna shamba wala leseni ya biashara hiyo.
Ninadhani mwisho wa siku mtalipwa ila jamani tujifunze kufuata sheria na taratibu zake.
Kama yeye siyo mkulima na hana leseni wala kibali, amezipata wapi? Hapa inapigwa vita 'Kangomba'Kama hana leseni basi atakuwa amevunja tu sheria na stahili yake ni limepelekwa mahakamani na kushtakiwa; siyo kunyang'anywa korosho zake. Kama wamachinga hawana leseni na wanafanya biashara kwanini huyu wa korosho awe ametenda dhambi kubwa kiasi cha kunyang'anywa mali yake? Kuna tatizo kubwa.
AAAGH WAPI ! hakuna atakayedhubutu kutoka hata njepole kijana.
wewe sasa unga mkono "Azimio la Zenji" lilitolewa jana ili yule "nduli mla korosho" anyolewe bila maji!
Ebu pata kuelewa. Hawa Kangomba hawanunui Korosho mnadani hata siku moja. Wana njia zao za kupata korosho nawewe unajua hilo.Hebu tuacheni ungese watanzania wenzangu, hakuna asiyejua sekeseke la korosho mwaka huu lilivyotikisa vyombo vya habari. Mie mwenyewe ilibaki kidogo niwe muhanga wa hilo sakata ila kilichonisaidia ni subira...sikuweka hela mpaka mnada wa kwanza ulipopita nikaona mambo hayaeleweki nikavunga!
Hebu acha kujifanya wazimu kwamba hujui biashara nyingi za vilimo zinaendeshwa kienyeji hapa nchini, unaropoka tu kama vile babu yako alikuwa na TIN namba na leseni ya kulimia kahawa na maharage.