Serikali imelala, miezi 3 ijayo tunaangamia

Kwa kweli wameshindwa kusimamia uchumi. Mkapa alipoondoka aliacha macro economy ikiwa stable, kazi ilikuwa ni kuhakikisha the tricle down of the effect. lakini sasa hivi hata macro economy imeshatetereka kwa kiasi kikubwa; angalia inflation, angalia thamani ya shilingi... it is time the go before things get worse
JK nchi imemshinda na kwa kulitambua hilo amekuwa mjanja sana kapandikiza watu, kuwabeza wanaom-challenge kwamba ni wadini na wanamuandama kwasababu ya dini yake hivyo kuwafanya wanaomsifia Mkapa kwamba alijitahidi waonekane wanawabeza waslaaam
 
Mwaka jana Kikwete alipotangazwa kushinda uchaguzi, nilimpigia simu rafiki yangu mmoja aliyeonyesha wazi wazi kuishabikia CCM, nikamwambia atajuta in five years to come. Sasa hivi ni mwaka mmoja, maumivi yanazidi kujionyesha.

We still have four years to suffer before we get another chance. Serikali yoyote makini ingekuwa imeshaitisha kikao cha dharula (either cabinet au bunge) kujadili hali hii. Wa kwetu Rais yuko Australia, Makamu yuko Geneva, Waziri mkuu sijuhi kama karudi kutoka Brazil wanakula dunia tu sisi tunaumia.

ONE DAY THIS WILL BE OVER.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwaka jana Kikwete alipotangazwa kushinda uchaguzi, nilimpigia simu rafiki yangu mmoja aliyeonyesha wazi wazi kuishabikia CCM, nikamwambia atajuta in five years to come.
Huyo rafiki yako ukimuulza sasa hivi anasemaje
 
kuna haja ya kuliangalia jambo hili na kutenda,kutekeleza kile tutakachojdili na kuridhia ndo itakuwa muafaka,maana hawa jamaa hawana time kabisa.uchumi unazidi kudolola kila siku,maisha yanazidi kuwa magumu,shilingi inazidi kupolomoka na kukosa thamani,sijasikia mtu akilizungumzia hili,the only way to go is to put more pressure to leaders.
 
SAFI SANA! nataka ifikie hadi shiling 10,000., kwa dollar 1.. Ili akili iwakae vizuri.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwalimu alisema, ili tuendelee tunahitaji mambo manne viz. WATU, ARDHI, SIASA SAFI na uongozi bora. Sina shaka ardhi ipo na watu wapo, mawili ya mwisho sina uhakika.

Leo nawaletea sarafu ya Msumbiji inaitwa Meticais (Mitikasi) kwa kifupi [MZM] ni sarafu iliyokuwa nyonge sana miaka ya 2000 hivi kwa mfano tarehe 01/01/2002; 1 TZS = 25 MZM. Leo tarehe 27/10/2011; 1 MZM = 60 TZS (Source Bank of Tanzania (BOT): Home Page : Benki Kuu ya Tanzania angalia exchange rates za leo), imekuwaje? Uongozi kule Msumbiji Umebadilika? Je tujifunze nini kutoka kwa rafiki zetu (Kumbuka TAMOFA) Msumbiji?


Ukweli ndiyo huu:

Tuesday, January 1, 2002
1 Tanzanian Shilling = 25.94767 Mozambique Metical
1 Mozambique Metical (MZM) = 0.03854 Tanzanian Shilling (TZS)

Median price = 24.08592 / 25.94767 (bid/ask)
Estimated price based on daily US dollar rates.



FXConverter - Currency Converter for 164 Currencies164 Currency Converter © 1997-2010 by OANDA.com.

(Source: http://www.google.com/url?sa=t&rct=...S00ZMM&usg=AFQjCNFnicJtcEGxYEMhibwCu8vWkjE6Pg)
 
Mpita Njia , ni kumuondoa mkolo na mapolicy makers pale BOT, WAMESHINDWA kututoa mahala ambapo hata Balali na aliweza kutusgeza, BOT wamekua wakidanganya kwa takwimu za kuimarika kwa hali ya uchumi ambazo wanasiasa wamekua wakizitumia kutupumbaza.

kumwondoa mkulo na mapolicy makers pale BOT ni kukata mtawi na kuacha mti unaneemeka. mtu wa kuondolewa haraka ni JK halafu hao wengine watajirekebisha au kuondolewa iwapo watashindwa kujilekebisha. Ukweli ni kwamba JK hajali chochote kuhusu nchi hii, zaidi ya kukomaza udini. Ni mtu hatari zaidi ya ukoma
 
Kimsingi na kiukweli kabisa mimi nafurahi, uliza kwanini... CCM hawana ubavu wala hawaelekei kuwa na mpango wa kurekebisha jambo lolote kwa wakati huu, kwa bahati mbaya sana Watanzania hawajaamka vya kutosha kufanya mabadiliko... hii haitokei kwasababu nyingi, lakini kikubwa hali bado inawaruhusu kupenya-penya na kuendelea kupanda mlima huu wa maisha magumu kwa gia (according to Mwl. Nyerere). Hakuna ubishi kwamba System yote inatakiwa kubadilishwa lakini haiingii akili kwa Watanzania kwamba hilo linatakiwa, hata hivyo maisha yatapogoma kabisa na kuonekana hakuna njia nyingine yeyote kwa maana ya gia zote zimegoma... basi Watanzania wataacha shughuli zote na kukubali kufa maana kutakuwa hakuna further alternative. Sipendi sana njia hii itumike ila nahisi kwa Watanzania tulionao hii itaharakisha mabadiliko, naomba hata kesho US$1 iwe TShs3000 kesho. Ifikie mahali tukwame kabisa, tutaacha kila kitu na kuanza kudai changes kwa nguvu... it should happen the soonest possible
 
Mpita Njia , ni kumuondoa mkolo na mapolicy makers pale BOT, WAMESHINDWA kututoa mahala ambapo hata Balali na aliweza kutusgeza, BOT wamekua wakidanganya kwa takwimu za kuimarika kwa hali ya uchumi ambazo wanasiasa wamekua wakizitumia kutupumbaza.

huyo aliyewateua akina mkulo nae wa kuondoka. Ukiua fisi wakati simba bado yupo swala watapona?
 
Njaa ndio itawakurupushaa watu kutoka usingizini na kuchukua hatua.
Tulisha yatabiri haya tangu miaka michache tu iliyopita lakini watu wakawa wabishi kubadilika.
 
Safari za mkulu za nje na za matibabu ya viongozi nje ya nchi ni mojawapo zinaongeza inflation na kuidhoofisha sarafu yetu dhidi ya usd kwani zinaongeza demand ya usd.
 
dah! mkuu jana nimechukua laki 3 tu nimeshindwa kuziweka kwenye wallet, aibu hii, laki 3 jana mchana saizi nina buku 40 tu, chamaana kilichofanyika hamna.
Togola Mgosi, kuzibinda zose, mnyangu umanye hali ihaaaa lakini hakuna mbuli maana shilingi haina thamani kabisa!
 
Wakati huo huo hali huko vijijini inazidi kuwa mbaya, kama hapa ambapo watoto wa darasa la pili na la tatu wanatumia chumba kimoja kusoma.
Sasa hao walimu sijui wanasikilizana vp humo ndani.

balaatz.jpg
Source:
Madarasa mawili wasomea chumba kimoja
 
We are experiencing the consequences of 'power rationing' mgao wa umeme.haya ndo matokeo yake.ngeleja OUT
 
The common factors appearing to contribute to societal collapse are economic, environmental, social and cultural, but they manifest combined effects like a whole system out of balance. In many cases a natural disaster (e.g. tsunami, earthquake, massive fire or climate change) may seem to be an immediate cause. However, other cases of civilizations in similar situations that were resilient and survived the same kind of insult show that such causes are not sufficient.

This is the reasoning method used by Joseph Tainter, and how he examined the evidence to eliminate the insufficient causes in his thesis that societies essentially exhausted their own designs, and were unable to adapt to natural diminishing returns for what they knew as their method of survival. It matches closely Toynbee's idea that "they find problems they can't solve".

The diversity of forms that societies evolve corresponds to diversity in their failures too. In other instances significant inequity may combine with lack of loyalty to a central power structure and result in an oppressed lower class rising up and taking power from a smaller wealthy elite.If there is a general "antidote" to collapse, it would seem to be social cohesion, economic growth and adaptability.

Tanzania is no exception to this......

I like this piece. You need to know where the problem is? TZs have got all the brains,you ask anyone will tell you. What we lack is PROFOUND COMMITMENT,ACCOUNTABILITY,CREDIBILITY and the alike.
 
Back
Top Bottom