Serikali imekatisha tamaa wakulima wa kahawa mkoa wa Kagera

Serikali imekatisha tamaa wakulima wa kahawa mkoa wa Kagera

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Serikali mmetufanyia dharau wakulima wa kahawa
Mwaka Jana tuliuza kahawa bei ya 7000+ Kwa kilo
Mwaka huu mmetoa bei elekezi ya kuanzia angalau sh 5500
Ila ajabu bei imeshuka
Jana mnada bei imetoka sh 3000 na inasemekana bei utashuka zaidi

Wanunuzi wengi wamesusa kununua kahawa, ikisemekana ni kutoiunga serikali iliyopo madarakani mkono,

Hakuna ushindani AMCOS hazipati ushirikiano

Hapa jirani Uganda bei ni 14000 Kwa pesa ya Tanganyika

Serikali mtatunyanyasa wakulima wa kahawa hadi lini?
 
Back
Top Bottom