Mai-Ndombe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 542
- 836
Acheni biashara kama vipi
Unaakili ndogo sio kosa lako kama viongozi wako hawawezi kutengeneza fursa unalaumuje watu ambao wameamua kujikwamua hapa siongelei waizi au vibakaHuwezi halalisha tatizo kwa hoja ya ubangaizaji, vibaka na wakabaji ni wabangaizaji pia.
Mawinga wengi wanajichafua wenyewe sababu ya tamaa ya kuwaibia wanaoitwa washamba. Kariakoo si salama kwa wateja wasiopaelewa sababu ya mawinga, vibaka na wezi.
Exposure ndogoWengi wao wanaozungumzia kuhusu Wachina ni sawa kuwa machinga Tanzania ni kwamba hawajawahi kutaka au kufanya shughuli yeyote nje ya mipaka ya Tanzania wangeona Nchi nyingine zinavyosimamia ishu ya vibali kwa wenye maduka wasingeweza kuandika hayo ndio maana inabidi tubaki kuwasoma tu.
Malawi mwaka juzi iliwatimua Warundi walioshika soko la Karanga Duniani na matajiri kweli kisa wenyeji walikua wanataabika kwa bei za Warundi kila ikikaa nao wakawa wanajiona wazawa kisa walipewa vibali vya kuishi kilichotokea ikafuta vile vibali kisheria na kuwatimua sasa hivi Wazawa wengi wapo na hiyo biashara ingawaje ilishuka sana bei kwa mwaka wa kwanza..Exposure ndogo
Watanzania wengi sana wana-exposure ndogo
Wenye akili kubwa wapo huko wanapambana na energy na tech, muda wa kazi upo hapa kijiweni ukijadili mawinga haupo kwenye kundi la wenye akili kubwa.Unaakili ndogo sio kosa lako kama viongozi wako hawawezi kutengeneza fursa unalaumuje watu ambao wameamua kujikwamua hapa siongelei waizi au vibaka
Hata hawa wachina wanaokuja huku Tanzani ni mawinga huko China wenye mafanikio matajiri wa kichina hawawezi kuja huku
Endelea kuwaombea mabaya mawinga maombi yako yatafanikiwaWenye akili kubwa wapo huko wanapambana na energy na tech, muda wa kazi upo hapa kijiweni ukijadili mawinga haupo kwenye kundi la wenye akili kubwa.
Hoja yako ya viongozi haina mashiko. Upigaji ni tamaa. Unipe huduma ya Tsh 200,000 kwa Tsh 500,000 sababu sina uelewa halafu useme ni viongozi hawajakutengenezea fursa? Hahahaha, we jamaa bana.
Swali la kujiuliza, kwanini watanzania wanawakwepa mawinga na kuwakimbilia wachina?
Maombi hayafanyi kazi, matendo ndo yanafanya kazi na watendaji ni mawinga wenyewe, wao ndo wa kufanikisha anguko lao au la. Mchina kawasukumia kete, sio ombi hilo ni tendo.Endelea kuwaombea mabaya mawinga maombi yako yatafanikiwa
Mfano ukienda kununua bidhaa ChinaMalawi mwaka juzi iliwatimua Warundi walioshika soko la Karanga Duniani na matajiri kweli kisa wenyeji walikua wanataabika kwa bei za Warundi kila ikikaa nao wakawa wanajiona wazawa kisa walipewa vibali vya kuishi kilichotokea ikafuta vile vibali kisheria na kuwatimua sasa hivi Wazawa wengi wapo na hiyo biashara ingawaje ilishuka sana bei kwa mwaka wa kwanza..
Kama kilimo ni chepesi, toka na wewe ukalime. Siyo kukaa hapa kulialiaMkulima ni ngumu kuielewa Kariakoo.
Pia hawezi kujua kwa nini tume iliyoundwa imebain madudu ya wageni Kariakoo.
Fanya mpango ukawaondoe hao mawinga sasa na maombi yako na matamanio yako mchina kukamata biashara zote Tanzania yatafanikiwaMaombi hayafanyi kazi, matendo ndo yanafanya kazi na watendaji ni mawinga wenyewe, wao ndo wa kufanikisha anguko lao au la. Mchina kawasukumia kete, sio ombi hilo ni tendo.
Sawa Mchina wa KazuramimbaWachina wako sahihi sana! Ni lazima wasake fursa kokote duniani Kwa ajili kulijenga taifa lao la china ili liwe super power, na kurithisha vizazi vyao uchumi wa uhakika! Watanzania mnapoambiwa chagueni visionary leaders na wenye wivu na taifa lao mmekalia uchawa na mapambio, ktk zama hizi ambazo vita ya kiuchumi inapiganwa Kwa ustadi na werevu wa hali ya juu tunapaswa tuwe na viongozi smart sana! Wenye upeo wa juu, maono na wivu Kwa taifa! Madhara ndio haya sasa watu kubaki kulia lia na hata viongozi wenu hawana namna ya kuwafukuza maana hao wanaabudiwa kama wawekezaji. Kimewaramba!
Maombi ni nadharia yako na haifanyi kazi. Kinachofanya kazi ni demand and Supply. Na kwa sasa demand ya wachina ipo juu kwa watanganyika kulinganisha na mawinga na sababu unaijua.Fanya mpango ukawaondoe hao mawinga sasa na maombi yako mchina kukamata biashara zote Tanzania yatafanikiwa
Ukiwa na bar wewe inatoshaNenda na wewe kanunueee
Au nyie ndiyo mnaishia kufungua bar tu alafu mnasema nna big investment
Ova
Na wivu.yaani wanachukia matajiri kama flani yule.Exposure ndogo
Watanzania wengi sana wana-exposure ndogo
Tuwape nchi kabisaMaombi ni nadharia yako na haifanyi kazi. Kinachofanya kazi ni demand and Supply. Na kwa sasa demand ya wachina ipo juu kwa watanganyika kulinganisha na mawinga na sababu unaijua.
Kwanini ukimbiwe na wanunuzi ambao ni watanzania wenzako?
Hapa Tanzania kuna Waarabu na Wahindi wenye lineage kubwa kukuzidi wewe hapo. Utakuta hata baba yake babu yako humjui.Nionyeshe permanent settlement ya mwaarabu na mhindi hapa bongo tofauti na kupanga? Wote wakipata hela wanahamia ulaya bongo hawajengi.
Kwanza hawa wachina vibali vyao sio vya maduka na wakija huku kwa Gia ya uwekezaji kuna ruzuku wanapewa na Kodi kibao hapa wanafutiwa.wanaishi kama mbinguni yaani.Wengi wao wanaozungumzia kuhusu Wachina ni sawa kuwa machinga Tanzania ni kwamba hawajawahi kutaka au kufanya shughuli yeyote nje ya mipaka ya Tanzania wangeona Nchi nyingine zinavyosimamia ishu ya vibali kwa wenye maduka wasingeweza kuandika hayo ndio maana inabidi tubaki kuwasoma tu.