Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza Tu
Hivi bakhresa anaezalisha ngano akianza kuuza chapati nyumba kwa nyumba huoni kuna madhara kwa watu maelfu wanaouza chapati?
Mchina ana kiwanda yeye auze kwa agent .agent auze kwa mtu wa jumla .yaani kinachotakiwa ni biashara ifate mkondo wake.wala winga hausiki hapa
Tatizo huku mna wivu na matajiri WA kariakoo
Why umpangie mtu auezeje hakuna mwenye wivu, ukiona mtu anakuchukia hizo ni feedback za matendo yako yaani hisia hazidanganyi Bali akili inadanganya.
Jiulize why mtu akuchukie yaani from nowhere akuchukie.
Imagine Kuna memory kadi ya 128gb nimeletewa na mchina akaniambia nimrudishie aliyonunulia kwao ambayo ni 15k nikashangaa mno nikamwambia kuwa hapa ni 87k akashangaa mno.
Kuna jamaa aliagiza Ile huwaei akalipa 400k iyo simu hapa inauzwa muda huo sh 1.6M.
So why mtu asifurahie kupata unafuu yaani watu wengi mno hawajui biashara,
Biashara ni mzunguko usikomalie faida kubwa mno,
Mie nikiagiza kitu cha laki nne nikipata hata faida 25-50 inanitosha mno Sina haja ya kuuza 1.6M.
Tulia Sasa si mlikuwa mnafurahia acha Sasa ivi na wengine wafurahie.
Pia hakuna tajiri hapo kariakoo , hebu niambie Kuna watu wangapi Wana miliki Dola bilioni moja kwenda juu.
Hao watu mnaowaona matajiri wakienda huko nje wanapoteana wanakuwa Kama machinga tu hapa bongo kwa nje.
Ni sawa na Yule jamaa ambaye ama duka Kijijini ana kigari ama boda yake basi anavimba anajiona yu tajiri kwa walimu wa primary au wakulima Ila akija hata mjini kidogo like bukoba mjini hata hakuna anayejua kuwa Kuna mtu mwenye hela.
Dar ni Kijijini MNo kulingnisha na huku mjini Stockholm.
Sema unamiliki dola laki 2-6 Ila unavimba na wewe unajiona ni tajiri .
Matajiri Africa wapo wachache like baresa, mo, Dangote wenye Dola bilioni moja and upward Ila hizo hela zako hata huwezi miliki mjengo New York Manhattan Wala hata sikuelewi Kama unazo hela.
Yaani unazo hela za kubadilisha mboga na wewe unajiona una hela.
Watu wanatoa misaada mpaka bilioni kadhaa za kitanzania Wana hela Sasa wewe hata kutoa msaada milioni moja ama laki moja ni kipengele