Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

Serikali imeiuza Kariakoo kwa Wachina

Hao wabishi achana nao, na wanadhani hawatofikiwa.

Aya sasa Mchina ananunua ardhi yenye madini uko Chunya na maeneo mengine, Mchina ana makarasha na miundombinu ya kuchimba anabeba dhahabu ya wazawa ambayo ina soko regulated duniani na bei ni soko la dunia. Napo utaambiwa wachimbaji wa Kitanzania wanataka faida kubwa.

Ukienda mikoa kama Katavi unakuta Wachina wanamiliki ardhi ya kilimo, wamepataje hujui. Wanavijiji wanambulia kuwa watumwa kwenye ardhi zao.

Nina jamaa yangu aliajiriwa nao mradi fulani, wakampeleka short course, sasahivi wamesajili kampuni kupitia wabongo wawili na terms ngumu wamewapa. Yupo front kama geresha operations ni wao wanashusha makontena.

Ubaya wa Wachina wanakomba hela kwenye mzunguko na hawana settlement ya kudumu hapa. Bora hata Wahindi na Waarabu kwa kiasi fulani tunao makumi elfu mitaani, Wachina wakipata hela yote wanatuma kwao na miaka kadhaa wanarudi kwahiyo hatupati re-investment ya ile faida yao.
Nionyeshe permanent settlement ya mwaarabu na mhindi hapa bongo tofauti na kupanga? Wote wakipata hela wanahamia ulaya bongo hawajengi.
 
Haiwezekani Kariakoo wachina wanaishi kama kwao.

Mbaya zaidi hawalipi kodi ipasavyo. TRA haina kanuni za asiye raia kulipa kodi kama mzawa

Hii ni sawa tu na kusema Kariakoo imeuzwa
Na bado lile soko la ubungo jipya lazima wachina wamiliki lote, ni wakati sasa mawinga wa kariakoo kwenda veta au kuweka majembe mabegani muelekee shamba..mmeumiza watu Kwa bei zenu za ajabu ajabu Kwa muda mrefu.
 
Hao wabishi achana nao, na wanadhani hawatofikiwa.

Aya sasa Mchina ananunua ardhi yenye madini uko Chunya na maeneo mengine, Mchina ana makarasha na miundombinu ya kuchimba anabeba dhahabu ya wazawa ambayo ina soko regulated duniani na bei ni soko la dunia. Napo utaambiwa wachimbaji wa Kitanzania wanataka faida kubwa.

Ukienda mikoa kama Katavi unakuta Wachina wanamiliki ardhi ya kilimo, wamepataje hujui. Wanavijiji wanambulia kuwa watumwa kwenye ardhi zao.

Nina jamaa yangu aliajiriwa nao mradi fulani, wakampeleka short course, sasahivi wamesajili kampuni kupitia wabongo wawili na terms ngumu wamewapa. Yupo front kama geresha operations ni wao wanashusha makontena.

Ubaya wa Wachina wanakomba hela kwenye mzunguko na hawana settlement ya kudumu hapa. Bora hata Wahindi na Waarabu kwa kiasi fulani tunao makumi elfu mitaani, Wachina wakipata hela yote wanatuma kwao na miaka kadhaa wanarudi kwahiyo hatupati re-investment ya ile faida yao.
Nenda na wewe kanunueee
Au nyie ndiyo mnaishia kufungua bar tu alafu mnasema nna big investment

Ova
 
Hao wabishi achana nao, na wanadhani hawatofikiwa.

Aya sasa Mchina ananunua ardhi yenye madini uko Chunya na maeneo mengine, Mchina ana makarasha na miundombinu ya kuchimba anabeba dhahabu ya wazawa ambayo ina soko regulated duniani na bei ni soko la dunia. Napo utaambiwa wachimbaji wa Kitanzania wanataka faida kubwa.

Ukienda mikoa kama Katavi unakuta Wachina wanamiliki ardhi ya kilimo, wamepataje hujui. Wanavijiji wanambulia kuwa watumwa kwenye ardhi zao.

Nina jamaa yangu aliajiriwa nao mradi fulani, wakampeleka short course, sasahivi wamesajili kampuni kupitia wabongo wawili na terms ngumu wamewapa. Yupo front kama geresha operations ni wao wanashusha makontena.

Ubaya wa Wachina wanakomba hela kwenye mzunguko na hawana settlement ya kudumu hapa. Bora hata Wahindi na Waarabu kwa kiasi fulani tunao makumi elfu mitaani, Wachina wakipata hela yote wanatuma kwao na miaka kadhaa wanarudi kwahiyo hatupati re-investment ya ile faida yao.
Hawa jamaa WA huku jf wengi chadema kila kitu wabishi.yaani hawapendi mafanikio ya watu halafu hawajui hata kitu.ushabiki Tu
Kwani mchina akiuza simu pale kariakoo elfu 5 kwa chinga au winga yeye ndo itamfikia kwa elfu sita.?
Wasichojua hata winga hausiki Kwanza winga anafaidika na mchina.wao ni winga winga . Wala mchina Hana madhara kwa winga .winga anafaidi tu
 
IMG-20250320-WA0013.jpg
 
Hapo ndipo walanguaji wa kibongo wanapoumia,mfano citi store pale,ukiingia kila utakachokikuta ndani elfu 3
Kuna supamaketi ipo Maili Moja Kibaha pale ni ya wachina, walikuwa wanauza bulb za Wat 5 na 7 kwa Tshs. 1,100 wakati madukani kwa Mangi tunauziwa Tshs. 2,500 mpaka 3,000. Wananchi tukawa tunanunua zile unit 3 nk Sasa bwana wenye maduka wakaenda kuzivamia zooote na wakazirudisha madukani kwao ili watuuzie kwa Tshs. 3,000/= 😄😄

Vitasa vya Spider walikuwa wanauza elfu 11 wakati mitaani vinauzwa elfu 25

Sasa haya malalamiko mengi ni ya wafanyabiashara za kilanguzi wanatoa milio
 
Thibitisha kauli zako kuwa wameinunua na hawalipi kodi?
vipi na wakinga wanataka kuinunua Guangzhou? Maana wanajazana China kama kwao! We bakiaga hivyo hivyo.chelsea inawachezaji wengi weusi kuliko wazungu na wala hawana shida!
Au timu ya taifa ya soka ya ufaransa
 
Mkuu kitu kama hujui ungenyamaza Tu
Hivi bakhresa anaezalisha ngano alianza kuuza chapati nyumba kwa nyumba huoni kuna madhara kwa watu maelfu wanakouza chapati
Mchina ana kiwanda yeye auze kwa agent .agent auze kwa mtu wa jumla .yaani kinachotakiwa ni biashara ifate mkondo wake.wala winga hausiki hapa
Tatizo huku mna wivu na matajiri WA kariakoo
Matajiri njaa wa kariakoo wengi hawalipi Kodi biashara za ujanja ujanja hata Samia kasema walichoma soko ili kuunguza nyaraka wasilipe kodi
 
Wacha wivu, shughulisha akili yako ufanye biashara. Kwani kuna kosa gani wachina kumi kuchangia mtaji wa USD 100,000 unaotakiwa na TIC?

Sisi tunachoangalia ni ingizo la USD 100,000 tu, wawe mmoja au wawili au 20 ni immaterial.

Wewe uko mmoja na pumbu zako tu umawachamba wachina 10 walieta USD 100,000

Wewe nyoko utaenda akhera kabla ya muda wako, pumbaf kabisa, hujui hata sheria za Investment zinasemaje kuhusu foreign investor, minimum of $ 100k per person, sio kikundi wachange alafu wanampa mtu mmoja ajisajili..!! Na wachina Kkoo ndio wakwepa kodi sana kwani wamepanga kwenye maghorofa alafu ukitaka kununua bidhaa mnaongelea waliko panga, wanakuuzia bidhaa hapo hapo maghorofa ya Kkoo na hakuna kodi wala nini..!!

Huna maisha wala akili ww nyoko, pumbaf kabisa
 
Kwani lazima wote mkae kufanya umachinga Kariakoo? Kwanini msiende kulima mabonde na misitu yenye rutuba yako ya kumwaga.

Ila mumeona kukaa Kariakoo na kufanya uwinga ndiyo jambo la maana
Fikiria mtu amevuka mito bahari na milima kutoa China hadi Tanzania 🇹🇿 hapo kuna jambo
 
Back
Top Bottom