Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.
Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa
Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.
Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho
Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!
Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.
WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!
Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa
Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.
Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho
Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!
Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.
WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!