#COVID19 Uingereza: Hakuna chembe ya ushahidi ya aina yoyote ya Barakoa kuzuia maambukizi ya Covid-19

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Mamlaka ya Afya ya Uingereza inayoitwa UK Health Security Agency imekiri kwamba hakuna chembe ya ushahidi wowote wa aina yoyote ya Barakoa inayoweza kuzuia maambukizi ya Covid-19.

Mamlaka hiyo imesema hata barakoa za kiwango cha juu kabisa za N95, KN95 and FFP2 hazina uwezo wowote wa kuzuia maambukizi ya Covid-19.

Juzi hapa WHO ilikiri kwamba chanjo ya Covid ni mahususi kwa watu wenye changamoto za kiafya ila mtu mwenye afya njema hastahili kupata chanjo.

Bwana Elon Musk anasema wale wote walioleta masharti na kulazimisha watu wate kuvaa barakoa na kuchanja huku wakijua kwamba hazikua na msaada wowote dhidi ya maambukizi ya covid akiwemo Antony Fauci lazima washitakiwe.

Hii ni baada ya kugundulika kwamba mamlaka za afya za nchi za ulaya zilikua zinajua fika kwamba chanjo ama barakoa ama kujifungia ndani hazizuii maambukizi lakini bado wakalazimisha watu kuchanjwa na kuvaa barakoa.

Hivi huku Tanzania bado watu wanachanja na kuvaa barakoa?


Tumpongeze Magufuli kwa kuliona hilo mapema kwamba chanjo na barakoa ulikua utapeli kama utapeli mwingine.
 
Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli alikuwa Zawadi special sana kwa Mola

nakumbuka alipoamuru Misikiti yote iliyofungwa kwa Corona ifunguliwe na kesho yake aliekuwa Sheikh wa Bakwata ( sio wa waislam)kesho yake akaamuru Mtoro ifunguliwe nasi tukanyimwaga

nakumbuka sana maangalizo ya kina Mange kuwa mikusanyiko ile ingetuua lakini bila ya aibu leo kahamia kwny kusapoti ungese
 
Covid 19 was real, but not the vaccination and preventive gears
Namshukuru sana Allah kwa ujasiri alionipa pamoja na umri wangu kutozolewa na mafuriko ya mabarakoa wala ma chanjo ya kihanithi hanithi ambayo yamefuatiwa na kampeni kali sana ya kutaka watu wote wawe wasenge


kama vipi waliochanjwa wangechunguzwa mabadiliko ya hormones zao
 
Namshukuru sana Allah kwa ujasiri alionipa pamoja na umri wangu kutozolewa na mafuriko ya mabarakoa wala ma chanjo ya kihanithi hanithi ambayo yamefuatiwa na kampeni kali sana ya kutaka watu wote wawe wasenge


kama vipi waliochanjwa wangechunguzwa mabadiliko ya hormones zao
Soon wataota maziwa na makalio yataongezeka
 
Namshukuru sana Allah kwa ujasiri alionipa pamoja na umri wangu kutozolewa na mafuriko ya mabarakoa wala ma chanjo ya kihanithi hanithi ambayo yamefuatiwa na kampeni kali sana ya kutaka watu wote wawe wasenge


kama vipi waliochanjwa wangechunguzwa mabadiliko ya hormones zao
Ni chanjo za kihanithi kweli, tafiti zinasema zinapunguza sperm count, na kadiri unapoongeza boosters ndo zinaua kabisa sperm production.
 
Covid 19 was real, but not the vaccination and preventive gears
Uko sawa, na Ukirudi nyuma utaona Hayati Rais alikuwa na mtazamo huo huo. Kwamba korona ipo, chukua tahadhari na ufuatilie miongozo ya WHO na Serikali....Alichokataa, na ninarudia, alichokataaa ni kutoa tamko la dharura la Afya ya Kitaifa au Kutangaza dharura ya afya ya umma ya kitaifa... ambayo ikiwapo ange azimia, ingetoa mwanya kwa Yeyote yule ambaye alishiriki katika hadaa, kuja kutuletea Mikopo haramu na madawa/barako ambazo zingetufilisi uchumi wetu.....na mpaka leo hizo chanjo na barakoa hizo bado zinaonyesha kuwa na mapungufu dhidi ya Kirusi hicho cha Covid 19.

R.I.P
 
Hata mimi nimeliona hili, bandiko lolote linalohusu madhara ya chanjo, halipati wachangiaji.
Aisee, kuna walio na dhambi na hata kuwa na laana mbaya juu ya kiumbe wa Mwenyezi.
Hakika sijui ni lipi lililonipa jeuri ya kuwa nasema 'huyo mungu mnayedai , ni mungu dhalimu" ila huyu ninayemuamini ndiye fundi....yaani wanajua hawajui leo! aha
Joshua 24:15

Yero! Oldonyo Lengai
 
Back
Top Bottom