Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,825
Nchi za Afrika Mashariki zinakabiliwa na hifadhi kubwa ya chanjo za Covid-19 zinazokaribia kuisha muda wake ambazo ilizinunua kwa nguvu kubwa kama yalivyofanya mataifa ya Ulaya kwa ajili ya raia wake.
Matokeo yake chanjo milioni 40 zinaweza kugeuka taka baada ya kubakiza miezi michache kuharibika huku mapambano ya kupambana na ugonjwa huo yakipungua nguvu kila kukicha kutokana na wananchi kutoufatilia tena.
Uganda imebakisha miezi minne chanjo zake milioni 13.4 kuharibika huku Kenya ikijiandaa kutupa chanjo milioni moja zinazoharibika mwezi ujao.
Tanzania imesema imevuka asilimia 50 ya chanjo hizo huku Dr. Derrick Sim, meneja wa Covax akisifia mpango enedelevu wa kuchanja miezi ya karibuni kama sababu iliyofanya wafanikiwe kufikia hatua hiyo.
Matokeo yake chanjo milioni 40 zinaweza kugeuka taka baada ya kubakiza miezi michache kuharibika huku mapambano ya kupambana na ugonjwa huo yakipungua nguvu kila kukicha kutokana na wananchi kutoufatilia tena.
Uganda imebakisha miezi minne chanjo zake milioni 13.4 kuharibika huku Kenya ikijiandaa kutupa chanjo milioni moja zinazoharibika mwezi ujao.
Tanzania imesema imevuka asilimia 50 ya chanjo hizo huku Dr. Derrick Sim, meneja wa Covax akisifia mpango enedelevu wa kuchanja miezi ya karibuni kama sababu iliyofanya wafanikiwe kufikia hatua hiyo.