Serikali ibadili tozo za miamala kuwa walau Tshs. 500 kwa muamala

Boligado

Member
Jan 10, 2012
44
49
Tozo iwe tsh 500 kwa kila muamala itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii)

Inaelekea data ambazo makampuni walizotoa kwa serikali wakati maandalizi ya bajeti walitoa idadi ya miamala ikiwa pungufu na hivyo
Seikali wakaweka charge zikiwa juu ili kutimiza lengo la 1.254tr.

Hii 1.254tr. Unaweza kuipata kwa miamala 2.73m kwa siku kwa kampuni zote za simu na inawezekana. Yaani 1.254tr= tsh 1254 kwa muamala x 2.73m miamala x siku 365 hivyo tozo itakuwa tsh 1254 kwa kila muamala.

Pia 1.254 tr= tsh 627 kwa muamala x 5.46m miamala x siku 365 Na pia tozo ikawa 627 tsh kwa kila muamala.

Miamala zaidi ya 5.46m kwa siku na uhakika ilikuwa inafikiwa bila shaka yoyote kabla ya Julai 15, 2021Hii ni hesabu ndogo tu.
Niliongea na wakala mmoja akasema yeye kwa siku anafanya miamala 90 had 100. Na hawa wanaoweka pia huzalisha miamala watakapotuma kwa ndugu na jamaa na kuendelea.

Na kulingana na idadi ya mawakala zaidi ya laki mbili nchini hao wote wanaweza kuzalisha miamala zaidi ya 5.46m na hivyo tozo ikiwa tsh 500 itafanya lengo la serikali litimie na wananchi watakuwa happy kwamba wanachangia pasipo maumivu.
 
Kwani Magufuli alikuwa akitoa wapi pesa?

Kajenga Zahanati kila kata, kapeleka umeme vijijini kwa Tsh. 27,000 tu, Kaboresha shule kongwe nchi nzima, kajenga hospital za kanda, sgr, Mwalimu nyerere hydroelectric power, stendi nyingi tu ikiwemo stand ya magufuli, viwanja vya ndege kikiwemo cha Chato, Bombadier na Dreamliner ila hakuwahi kupandisha tozo za miamala, mafuta na Nauli.

Watanzania tunahitaji katiba bora itayowabana viongozi wabadhirifu.
 
Kwani Magufuli alikuwa akitoa wapi pesa?
Kajenga Zahanati kila kata, kapeleka umeme vijijini kwa Tsh. 27,000 tu, Kaboresha shule kongwe nchi nzima, kajenga hospital za kanda, sgr, Mwalimu nyerere hydroelectric power...
Alikuwa anakopa
 
Suggested tozo na itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) Ya mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii)
Naunga mkono hoja
 
Suggested tozo na itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) Ya mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii)

Haw hii tozo waifute, Madelu ang'oke. Hiyo ndiyo lugha wanaweza kuielewa.

"Hakuna miamala hapa!"

Kila mtu abakie na m@vi yake.
 
Utani huo, yaani ninaetuma buku tatu na yule wa laki tatu wote tulipe mia tano?
Inaweza kuwekwa kwenye groups mfano anayetuma au kutoa 1000 mpaka 10000 tozo tsh 150, 10,000 hadi 50,000 tsh 300, 50001 na kuendelea tsh 500
 
Utani huo, yaani ninaetuma buku tatu na yule wa laki tatu wote tulipe mia tano?
Tozo nafikiri ilitakiwa iwe ni flate rate bila kujali muala niwa kiasi gani.... Hii ingesaidia wote maana sio kila siku utatuma au kutoa buku 3 mzee wangu
 
Tozo iwe tsh 500 kwa kila muamala itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii)

Inaelekea data ambazo makampuni walizotoa kwa serikali wakati maandalizi ya bajeti walitoa idadi ya miamala ikiwa pungufu na hivyo
Seikali wakaweka charge zikiwa juu ili kutimiza lengo la 1.254tr.

Hii 1.254tr. Unaweza kuipata kwa miamala 2.73m kwa siku kwa kampuni zote za simu na inawezekana. Yaani 1.254tr= tsh 1254 kwa muamala x 2.73m miamala x siku 365 hivyo tozo itakuwa tsh 1254 kwa kila muamala.

Pia 1.254 tr= tsh 627 kwa muamala x 5.46m miamala x siku 365 Na pia tozo ikawa 627 tsh kwa kila muamala.

Miamala zaidi ya 5.46m kwa siku na uhakika ilikuwa inafikiwa bila shaka yoyote kabla ya Julai 15, 2021Hii ni hesabu ndogo tu.
Niliongea na wakala mmoja akasema yeye kwa siku anafanya miamala 90 had 100. Na hawa wanaoweka pia huzalisha miamala watakapotuma kwa ndugu na jamaa na kuendelea.

Na kulingana na idadi ya mawakala zaidi ya laki mbili nchini hao wote wanaweza kuzalisha miamala zaidi ya 5.46m na hivyo tozo ikiwa tsh 500 itafanya lengo la serikali litimie na wananchi watakuwa happy kwamba wanachangia pasipo maumivu.
Mbumbumbu ni vigumu kukuelewa
 
Kwa kuwa wameamua kupata pesa za kujikipa na kutuhonga wakati wa kampeni basi waende mbali kabisa watuwekee mita kwenye nyeti zetu pia ili kila bao na haja ndogo/kubwa zinazofanyika katika mipaka jmt vitozwe kodi japo ya sh. 100 kwa kila toleo
 
Tozo iwe tsh 500 kwa kila muamala itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii)

Inaelekea data ambazo makampuni walizotoa kwa serikali wakati maandalizi ya bajeti walitoa idadi ya miamala ikiwa pungufu na hivyo
Seikali wakaweka charge zikiwa juu ili kutimiza lengo la 1.254tr.

Hii 1.254tr. Unaweza kuipata kwa miamala 2.73m kwa siku kwa kampuni zote za simu na inawezekana. Yaani 1.254tr= tsh 1254 kwa muamala x 2.73m miamala x siku 365 hivyo tozo itakuwa tsh 1254 kwa kila muamala.

Pia 1.254 tr= tsh 627 kwa muamala x 5.46m miamala x siku 365 Na pia tozo ikawa 627 tsh kwa kila muamala.

Miamala zaidi ya 5.46m kwa siku na uhakika ilikuwa inafikiwa bila shaka yoyote kabla ya Julai 15, 2021Hii ni hesabu ndogo tu.
Niliongea na wakala mmoja akasema yeye kwa siku anafanya miamala 90 had 100. Na hawa wanaoweka pia huzalisha miamala watakapotuma kwa ndugu na jamaa na kuendelea.

Na kulingana na idadi ya mawakala zaidi ya laki mbili nchini hao wote wanaweza kuzalisha miamala zaidi ya 5.46m na hivyo tozo ikiwa tsh 500 itafanya lengo la serikali litimie na wananchi watakuwa happy kwamba wanachangia pasipo maumivu.
Mbumbumbu ni vigumu kukuelewa
500 ndogo Sana.
Mi naona wangeongeza iwe walau 10% na transaction Za chini ya 5000 wawe wanachukua zote kama tozo kupunguza jam....
 
Tozo iwe tsh 500 kwa kila muamala itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii)

Inaelekea data ambazo makampuni walizotoa kwa serikali wakati maandalizi ya bajeti walitoa idadi ya miamala ikiwa pungufu na hivyo
Seikali wakaweka charge zikiwa juu ili kutimiza lengo la 1.254tr.

Hii 1.254tr. Unaweza kuipata kwa miamala 2.73m kwa siku kwa kampuni zote za simu na inawezekana. Yaani 1.254tr= tsh 1254 kwa muamala x 2.73m miamala x siku 365 hivyo tozo itakuwa tsh 1254 kwa kila muamala.

Pia 1.254 tr= tsh 627 kwa muamala x 5.46m miamala x siku 365 Na pia tozo ikawa 627 tsh kwa kila muamala.

Miamala zaidi ya 5.46m kwa siku na uhakika ilikuwa inafikiwa bila shaka yoyote kabla ya Julai 15, 2021Hii ni hesabu ndogo tu.
Niliongea na wakala mmoja akasema yeye kwa siku anafanya miamala 90 had 100. Na hawa wanaoweka pia huzalisha miamala watakapotuma kwa ndugu na jamaa na kuendelea.

Na kulingana na idadi ya mawakala zaidi ya laki mbili nchini hao wote wanaweza kuzalisha miamala zaidi ya 5.46m na hivyo tozo ikiwa tsh 500 itafanya lengo la serikali litimie na wananchi watakuwa happy kwamba wanachangia pasipo maumivu.
Usilie lie,

Tena Serikali imeweka kiwango Cha Makati kidogo sana,ilitakiwa ukitumiwa elfu 50,000/ wakate 25,000/ nusu kwa nusu,na petrol upande Bei iwe hata Lita moja 10,000/ maana hizo ghalama zinawahusu wapinzani hasa Chadema wanajifanya wajuaji na waliichelewesha sana kupata maendeleo,

Hizi ghalama haziwahusu CCM na wanyonge, wao hawakatwi.
 
Kwani Magufuli alikuwa akitoa wapi pesa?

Kajenga Zahanati kila kata, kapeleka umeme vijijini kwa Tsh. 27,000 tu, Kaboresha shule kongwe nchi nzima, kajenga hospital za kanda, sgr, Mwalimu nyerere hydroelectric power, stendi nyingi tu ikiwemo stand ya magufuli, viwanja vya ndege kikiwemo cha Chato, Bombadier na Dreamliner ila hakuwahi kupandisha tozo za miamala, mafuta na Nauli.

Watanzania tunahitaji katiba bora itayowabana viongozi wabadhirifu.
... Ulizia hali ya mifuko ya hifadhi ya jamii na nhif ndio utajua alitoa wapi pesa.
 
Usilie lie,

Tena Serikali imeweka kiwango Cha Makati kidogo sana,ilitakiwa ukitumiwa elfu 50,000/ wakate 25,000/ nusu kwa nusu,na petrol upande Bei iwe hata Lita moja 10,000/ maana hizo ghalama zinawahusu wapinzani hasa Chadema wanajifanya wajuaji na waliichelewesha sana kupata maendeleo,

Hizi ghalama haziwahusu CCM na wanyonge, wao hawakatwi.
... Kabisa. Akili itakaa sawa tu.
 
Ni kutokutumia akili tu....kama tozo ni rafiki inasababisha hata Watu walio umbali wa hata kilomita mbili tu kutumia mitandao kulipana.

Kama nipo kwenye shughuli zangu Fundi akanipigia simu kwamba amemaliza kazi badala ya kukatisha kikao nitamtumia kwa simu aende zake...Au Wife kapata ugeni akanitumia sms hana kitu nitamtumia 5000 bila kuwaza.

Sasa hizi tozo za kilevi tu cha wenye madaraka lazima zitanifanya nifikirie mara mbili...ni bora nimwambie fundi achukue bodaboda afuate hela yake, au Wife akakope kwa Mangi nikirudi tukamlipe.

Yaani hawa badala wavutie miamala iwe busy wao wanaikandamiza.
 
Back
Top Bottom