Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,709
- 36,165
Vyuo vikuu vinabeba vijana waliotoka famila za kitajiri, kimaskini na vijana wanaotoka kwenye famila za kawaida (sio maskini na sio matajiri).
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili.
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.
Ni asili ya mwanamke kupenda mambo mazuri, walioishi kota wanalijua hili.
Sasa Binti katoka familia za mboga moja, na chuoni analupiwa na serikali au mdhamini, huyu binti anaona wenzake kila weekend wanapiga pamba mpya, lazima ageuze mwili wake kuwa kitegauchumi.
Vyuo vikuu vingi au vyote nchini kando yake kuna madanguro ya kisasa. Na wajasiriamali wenyewe ni mabinti waliotoka famila za kimaskini na wachache ni wale wa familia za kati.
Uniform kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ndio mwarobaini wa tabia chafu vyuoni.
Hata wizi wa laptop na simu vinafanywa na vijana wanaotoka familia za kimaskini ili waonekane wako vizuri. Mostly pesa wanazopata kwa kuuza laptop za wizi wananunua nguo.