Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,167
- 11,490
Kama wewe ni mzazi au mlezi una binti yako! yuko au anategemea kusoma taasisi za elimu ya juu kwa udhamini wa bodi ya mikopo kaa chonjo! Mabinti ni jinsia ya kike! Ni wanawake hata kama hawajazaa au kuolewa! Ni dhaifu wamejaa tamaa!
Sasa wewe mzazi unajiridhisha eti kwasababu kapata mkopo! Mkopo anaoupata kutoka bodi ya mikopo umepigiwa mahesabu na wataharamu na wachumi kumuwezesha mnufaika kula, kulala na chakula cha msingi baaaasiii!
Sasa hawa mabinti wakifika chuo hutaka kujilinganisha na wenzao waliotoka familia zinazojimudu na kujikuta katika hela ya mkopo hawezi mudu maisha hayo na wakaendelea kulipia pango, chakula, usafiri wa kwenda na kurudi chuo (kama huko nje ya chuo), mahitaji ya taaluma kama photocopy & stationeries na kujikuta analazimika kuingia katika ukahaba!
Mabinti wooote au asilimia kubwa waliotoka kwenye familia za makabwela wakienda vyuo vikuu wanaishia kuwa makaaabaaa! Mzazai/ mlezi! Muite binti yako mkalishe chini jadili mustakabali wake kama binti yako lakini kama mtoto wako na familia yako!
Vinginevyo kama unajinyima na kukopa kumuongezea unafanya kazi bure! Mkalishe chini! Mbane! Muhapishe! Mfunge kwa maneno ya kinywa chake! Muwekee mbele zake laana na baraka na kwamba kama atakengeuka apotekee huko hakuna kurudi! Za kuambiwa ongeza na zako
Sasa wewe mzazi unajiridhisha eti kwasababu kapata mkopo! Mkopo anaoupata kutoka bodi ya mikopo umepigiwa mahesabu na wataharamu na wachumi kumuwezesha mnufaika kula, kulala na chakula cha msingi baaaasiii!
Sasa hawa mabinti wakifika chuo hutaka kujilinganisha na wenzao waliotoka familia zinazojimudu na kujikuta katika hela ya mkopo hawezi mudu maisha hayo na wakaendelea kulipia pango, chakula, usafiri wa kwenda na kurudi chuo (kama huko nje ya chuo), mahitaji ya taaluma kama photocopy & stationeries na kujikuta analazimika kuingia katika ukahaba!
Mabinti wooote au asilimia kubwa waliotoka kwenye familia za makabwela wakienda vyuo vikuu wanaishia kuwa makaaabaaa! Mzazai/ mlezi! Muite binti yako mkalishe chini jadili mustakabali wake kama binti yako lakini kama mtoto wako na familia yako!
Vinginevyo kama unajinyima na kukopa kumuongezea unafanya kazi bure! Mkalishe chini! Mbane! Muhapishe! Mfunge kwa maneno ya kinywa chake! Muwekee mbele zake laana na baraka na kwamba kama atakengeuka apotekee huko hakuna kurudi! Za kuambiwa ongeza na zako