Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,962
- 46,586
Kumbe😑😑😑😑Wazee hiu special ops lioness kumbe episode ya 6 wameleta ushenzi kuna ushoga aisee
Kumbe😑😑😑😑Wazee hiu special ops lioness kumbe episode ya 6 wameleta ushenzi kuna ushoga aisee
Kawaida hiyo, si bora hao wasagaji hawachefui kama mashogaWazee hiu special ops lioness kumbe episode ya 6 wameleta ushenzi kuna ushoga aisee
Kawaida sana jamaa anakuza mamboKumbe![]()
yani hapo ndio wanaponikera washenzi hao,,,series nzuri halfu unaweka ujingaWazee hiu special ops lioness kumbe episode ya 6 wameleta ushenzi kuna ushoga aisee
Isiwe sci fi, horror wala comedyUnataka action au za sci-fi
Sasa Kuna series Haina ushoga?Wazee hiu special ops lioness kumbe episode ya 6 wameleta ushenzi kuna ushoga aisee
Sijaona ushoga kwenye ryayan mpaka sasaSasa Kuna series Haina ushoga?
Yes hata mimi au skuangalia vzuriSijaona ushoga kwenye ryayan mpaka sasa
Nataka Ile ya last ship season ya 2 mpka 3Karibu sana Mkuu Rocky inaanza January sijajua tarehe, naisubiri kwa hamu kuu maana inaonekana itakuwa bomba. Pia ukipata nafasi itafute movie inaitwa Selma ya Oprah inasifiwa sana. Inaonyesha jinsi weusi US walivyonyanyaswa katika kuzidai haki zao mbali mbali haki ambazo pamoja na kuwa kuna ahueni lakini safari bado ni ndefu.
Zipo 6 nowwakali wa hizi kazi vipi SPECIAL OPS washamaliza episode zote?
Yes nimezichukua 6 tayaru na nimeanza nayo janaZipo 6 now
Wanazingua sana skuiziSeries za ulaya,marekani na sasa asia lazima utakuta element za ushoga.
Naskia mwakaniOuter bank inatoka lini season inayo fuata? Zilizopo nimezimaliza na niliipenda sanaa
Wamezingua sana lakiniKawaida hiyo, si bora hao wasagaji hawachefui kama mashoga
Ya 7 ipo njianiZipo 6 now
Nyingi tu sema izi za skuiz ndo miyeyushoSasa Kuna series Haina ushoga?
Hamna ushoga humu kweli? 😅😅