Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,262
- 18,251
Nimeiangalia story yake haina tofauti na DARK DESIRE nasubil episode zingine zinatoka tareh 28 tuone professor alifanyejeJamani nani anaiangalia Fatal Seduction japo story yake ni common as nimeona kwenye movies nyingi ila nimewapenda kwa kua ni wa South Africa,
Usiangalie na watoto, mtu mnayeheshimiana pia kama upo single sikushauri uangalie peke yako
Hiyo.nimefunga yote mpaka season 5 nikacheki na better call Saul yote mpaka season 6Umeangalia series nzima? Au umeangalia season moja?
Breaking Bad zinafanana sana na Ozarks na nyingine inaitwa Weeds kiasi flani. Uzuri wa hizi series ni kuwa kadri zinavyosogea kwenye seasons ndivyo characters wanavyoshangaza mfano kwenye Breaking Bad Walter White alikuwa ni mwalimu ambae anacancer na hana hela. Kaamua kuuza madawa akapata pesa hajawahi kuua akaanza kuua, pamoja na kupata zaidi ya kiasi cha pesa alichohitaji aliendealea kusakanya kiasi cha kuwa mhalifu hatari, kuna vikwazo alikuwa anavivuka ambavyo kwa watazamaji wengi ilikuwa ni surprise. Ukiangalia PB the whole story ni escape basi breaking bad in entertainment na kufikirisha angalia na pia inauhalisia ktk maisha.. Jesse Pickman na Walter white walikuwa hawapatani before lkn badae wamekuwa business partners.
Kumbe haijakamilika, nimeianza jana naingia ep 6 nowNimeiangalia story yake haina tofauti na DARK DESIRE nasubil episode zingine zinatoka tareh 28 tuone professor alifanyeje
Yes walitoa party 1 tuu bado party 2Kumbe haijakamilika, nimeianza jana naingia ep 6 now
Unaangaliaga peke yakoKumbe haijakamilika, nimeianza jana naingia ep 6 now
Nope, na hubbyUnaangaliaga peke yako
Yaani unaangalia episode moja kwenye series yenye season 5 then unaona haifai!!Queen of the South niliangalia episode ya kwanza tuu nikaikataa, siwez kumuamini mwanamke aendeshe cartel gang
Acha ningoje episodes zisogee sogeeNzuri sanaa
Yes kila mtu na taste yake kuna movie ukiangalia dakk 10 za mwanzo unajua kabisa hii haikufai, mimi nimeangalia episode moja nikaona hapana , napenda movie za narcotic lakin ile hapanaYaani unaangalia episode moja kwenye series yenye season 5 then unaona haifai!!
Vipi ni nzuri story ikoje?Jamani nani anaiangalia Fatal Seduction japo story yake ni common as nimeona kwenye movies nyingi ila nimewapenda kwa kua ni wa South Africa,
Usiangalie na watoto, mtu mnayeheshimiana pia kama upo single sikushauri uangalie peke yako
Ni series kali.Yes kila mtu na taste yake kuna movie ukiangalia dakk 10 za mwanzo unajua kabisa hii haikufai, mimi nimeangalia episode moja nikaona hapana , napenda movie za narcotic lakin ile hapana
Na mbona is based in a true storyQueen of the South niliangalia episode ya kwanza tuu nikaikataa, siwez kumuamini mwanamke aendeshe cartel gang
Huenda c vionjo vyake! Ila Queen of the south ipo vzr kwa sie wadau wa drug dealing series japo mbele kdg inakua too modern!Yaani unaangalia episode moja kwenye series yenye season 5 then unaona haifai!!
Kama unapenda Narcotic series, Iangalie vzr unless una allergy na wamama. Kuna Narcotic women in real life ni smart sana na wako vzr sana in bness even than men!Yes kila mtu na taste yake kuna movie ukiangalia dakk 10 za mwanzo unajua kabisa hii haikufai, mimi nimeangalia episode moja nikaona hapana , napenda movie za narcotic lakin ile hapana
Hamna shida mzee ili nisione uvivu ntashusha season 1 yote , maana nilidownload episode moja tuu nikaionea uvivuKama unapenda Narcotic series, Iangalie vzr unless una allergy na wamama. Kuna Narcotic women in real life ni smart sana na wako vzr sana in bness even than men!
Yeah ni kali.Huenda c vionjo vyake! Ila Queen of the south ipo vzr kwa sie wadau wa drug dealing series japo mbele kdg inakua too modern!
I think I like Mexico guys n Spanish!
Vpn gani ulikuwa unatumia?Wakuu mnatia mabando ipi maana toka vpn yangu imebuma inaishia mb 89 naanza kuteseka na kusaga meno nakosa utamu aisee