Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,465
- 14,608
Piah makampuni kama NETFLIX wamejikita huko kwaajil ya kuzalisha series na hawa jamaa ndo kampuni inayosapot ushoga kuliko kampuni yet dunianiSiku hizi Wakorea nao wanapenda sana hayo mambo
Siku hizi muvi za Kikorea zinafuata mienendo ya Marekani karibia kila kona, naona hata idea za madirector kwenye Korean movies na American movies siku hizi zinaanza kufanana
Yeap ni nzuri story yake, character wachache tu ni fupi inaeleweka.Wakuu kuna aliyecheki Severance??
Mdau alipoiponda tu nam alinikata stimu nanilikuwa episode 2... naangalia Will trent tu adoado nasubiri Bel Air 2.Hiyo Last of Us kuna mtu hapa JF alikuwa analalamika kuwa ina ushoga huko mbele
Sitaki hata kuifuatilia
Bel - air SEASON 2 is out.
Wakuu kuna aliyecheki Severance??
Siku hizi Wakorea nao wanapenda sana hayo mambo
Siku hizi muvi za Kikorea zinafuata mienendo ya Marekani karibia kila kona, naona hata idea za madirector kwenye Korean movies na American movies siku hizi zinaanza kufanana
Hata HBONetflix ndio wanaweka huo upuuzi
Hata Wakorea wenyewe. Mfano movie ya Project Wolf: Hunting. Ni muvi nzuri ya Kikorea ila ina mambo ya ovyo, mbaya zaidi hata hayahusiani na story. Wameweka ilimradi tu.Netflix ndio wanaweka huo upuuzi
Ni nzuri sana, kama ulifanikiwa kucheki season 1, hii ya 2 ni balaa zaidi.Vipi nzuri kuitazama??
Ni nzuri sana, kama ulifanikiwa kucheki season 1, hii ya 2 ni balaa zaidi.
TAHADHARI!
Haina mambo ya ngumingumi kama wewe ni mpenzi wa series za mapigano utakua dissapointed.
Basi hautajutia mda wako kuicheki io Bel-air.Huwa na penda story nzuri,ngumi mapigano huwa sio upendeleo wangu.
THE OVALNimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.
Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.
Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.
1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead
Hizo ni baadhi tu..
UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.
1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.The bastard executioner
6.Limitless
7. Jessica Jones
8.The Returned
9.Tyrat
10.Power
Kwamba wameshindwa hata kudanganya kwa kuonesha upinzani japo kdg tu.Hata Jack Ryan nayo ni kama walikosa story....
Kwamba Convoy inatembea na Nuke, haifatiliwi na polisi wala nini
Kwamba Nuke imelipuka kwenye daraja ila madhara hayajatokea kwa watu wa maeneo husika
Kwamba Rais wa Czech anaenda Moscow bila hata msaidizi
Kwamba Tunnels za Moscow zipo bila ulinzi hadi watokea Ikulu
Kwamba CIA wanabeba silaha ndani ya Czech
Kwamba Rais anatekwa na hakuna anayejihangaisha mtafuta, hadi anajinasua mwenyewe
Kwamba Jack anaweza enda mchi yoyote ile na kufanya analotaka na hakamatwi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ahsante Kiongozi basi sina mda nayo tenaHiyo Last of Us kuna mtu hapa JF alikuwa analalamika kuwa ina ushoga huko mbele
Sitaki hata kuifuatilia
Hii iko Netflix?Huu mzigo sikuwai kuutilia maanani kila siku nilikua nikiuona naupita, this week nikasema ngoja nidownload episode 2 nione, now nipo season 2bonge moja ya kitu na inahusu true event ambayo iliwai kutokea miaka ya 70's huyu BUMPY JOHNSON tumuweke chumba kimoja na akina GHOST, TOMMY SHELBY View attachment 2553673