series nazopendaga kuangalia zinahusu magenge ya uhalifu, umafia, madawa, n.k
hizi ni series ambazo nazikubali mno, yaani hazikuniboa, zilinifanya niwe hooked vibaya mno. (chini kuna list ya zilizoniboa
)
- BREAKING BAD
- NARCOS (toleo la pablo na toleo la mexico)
- SNOWFALL
- GODFATHER OF HARLEM
- LA CASA DE PAPEL (Mobey heist)
- PEAKY BLINDERS
- GOMMORAH
- THE OZARKS
- MC MAFIA
- POWER (tolea la mwanzo, toleo la book ii na book iii)
- EL CHAPO
- TOP BOY
- BAD BLOOD
- ANIMAL KINGDOM
- YELLOW STONE
- BANSHEE
Za ziada, ni kali ila siwezi kuzichanganya na hizo mashine za juu
- Gangs of london
- Sons of anarchy
Hizi nlizicheki ila hazikunipa mzuka
-Queen of the south (kwa maoni yangu hii series biashara ya madawa wameifanya ionekane lelemama ambayo hata mdada mweny roho nyepesi anakuwa don)
- Just call saul (iko poa sema iliniboa tu, ni kama series ya ziada ya maisha ya mwanasheia wa breaking bad)
- (ni nzuri lakini kwa visu nliyoweka hapo juu haiwezi kulingana nazo)
- The wire (ni series nzuri ila imekaa kizamani, )
-The sopranos (story ndefu sana, yani hadi jambo litokee wana complicate sana, hata sikumaliza)
- Lily hammer (hii ni naona kuna vi comedy flani, haipo serious kwenye uhalifu)
Series hizi sio za umafia kama nlizozitaja ila zina nafasi ya kipekee mno, ni kile kipindi nimeanza kucheki series, hizi series zilinibamba mno.
1.prison break - unasubiri nini kama bado hujaicheki??
2. 24 - jack baur siji kumsahau
3. lost - bonge moja la adventure.
kuhusu wakorea nmecheki series zao kibao tu nilizikubali iris, city hunter na jumong ii, wakorea nao wanajitahidi ila huwezi kuweka series zao kwenye midude niliyoweka huko juu
labda kama unataka series za kuwapa dada zako huwa naona wanazikubali.