Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,293
- 33,612
Cypher season 2 inatoka lini mdau?Hii series kwa upande wangu sikuipenda. Story ni nzuri ila waandaaji na waigizaji naona hawajaitendea haki.
Nilipomaliza season 1 ndo nimeacha kuiangalia, sitajihusisha na mwendelezo.
Ila uzuri wa series hukosi mtu wa kukuvutia. Yaani hata kama series ni mbaya ila kuna character mmoja atakufanya uendelee kuitazama.
Aliyenivutia mule ni yule demu blonde wa Lupin.
The same kwenye Cypher, alienifanya niendelee kuiangalia ni yule Agent Rees.
View attachment 1812358
Mkuu movie yenyewe kama ndio mbona ya kitambo sana!Sasa ndio umwambie Mbongo kuna movie inaitwa Inception, ni kali kuliko Fast and Furious zote. Akienda kuicheki akirudi, lazima akuone "mwehu".
Mzee kacheki hicho "chuma", akina sisi tuna subiri mpaka itoke "clean version" katika pirate sites tuishushe.
Sasa nani analeta masikhara na ubishi wakati namuuliza Betram vitu alivyonielezea mzee? Na hatubishani hapa tunaeleweshana kwa facts that why mwisho wa siku tumekubaliana kila mtu anapenda anavyotaka.Money Heist haiwezi kuwa G.O.A.T acha msihara na ubishi usio na maana na kuhusu njia za kuangalia Movie kila mtu ana jinsi yake wengine wanaangalia Plot, wengine trailer pamoja na cast na wengine wanaangalia ratings kama hivyo basi kikubwa maisha yaende
Nani kakuambia Money Heist sio series kali mzee!?Sasa hapa ndio unanichanganya maana kama hizi series unasema ni vyuma alafu unasema Money heist nayo si series nakuwa natania wakati kwenye IMDB yako ina rate ya 8.3 so hiki sio chuma ni NONDO au?πππ
Ila kitu haujui sometimes kinachofanywa na hizi sites zinazofanya rates ni fitina na watu wengi wamemind ilo suala ndio maana watu wanaangalia reaction ya watu wameipokeaje, mauzo na tuzo ngapi imebeba au kuwa nominated kuhusu izo movies na series na sio rates.
Soma hapa ππ utajifunza kitu iwe wewe na wengine wanaongalia rates then wanashusha series
View attachment 1823835
View attachment 1823836
View attachment 1823839
Mzee, kuna post yako hapo juu umeuliza mbona Money Heist haipo katika top ten ya series kali za muda wote katika IMDB!Sasa nani analeta masikhara na ubishi wakati namuuliza Betram vitu alivyonielezea mzee? Na hatubishani hapa tunaeleweshana kwa facts that why mwisho wa siku tumekubaliana kila mtu anapenda anavyotaka.
Ukiangalia point yangu hapo kasema series zako ulizotaja zipo juu ya 7 na Money heist ni utani sasa mbona ina rate ya 8.3?
Na ukisema series G.O.A.T izo series Embu tupe sifa za izo series na uziweke hapa maana hata nikiangalia izo series zako ulizozitaja hakuna hata 1 ambayo imeizidi money heist hata kuwa na asilimia kubwa kupendwa na Google users tu na kama hauna facts kama hizi unaweza potezea tu.ππ
View attachment 1824083
Mzee mimi nimeona umefanya utani kuitaja Money Heist hapa. Unahoji kwanini hauioni katika top ten ya series kali za muda wote hapo IMDB. Nimekuambia hauko serious, sijakuambia Money Heist sio series kali, lakini kutaka kuiona katika ten G.O.A.T TV series, kwangu mimi huu ni utani, haiwezi kuwa hoja serious.Tuseme ni maoni mzee maana hata wao ni binadamu so ni maoni yao ndio wanaamua kuzipa series Hii iwe kubwa na hii iwe na rate ndogo.
Ukizungumzia kuhusu kuangalia series za action hapo sipo pa1 na wewe maana mimi naangalia zote hata series za Tyler Perry ni nzuri na hazipewi rate kubwa ila zinamfanya jamaa kuwa bilionea maana people wengi hawaangalii kule IMDB wanaangalia story ya series ipoje na hatujutii kupoteza MB zetu na hapo siioni game of thrones wala la casa de la paper hata 7 bora ila zimeuza sana na angalia kiu ya watu walivyokuwa wanazisubiria dunia nzima so watu wote hao wangekuwa wanaamini IMDB izo filamu zingangaliwa kweli au kuuzika? Au kitu kinapendwa na wengi ni kibaya?....hapana sio kweli π So wale ni binadamu na wana maoni yao mzee na yamenikuta huko sina hamu wakati nipo chuo π€£π€£π€£
Sasa nani analeta masikhara na ubishi wakati namuuliza Betram vitu alivyonielezea mzee? Na hatubishani hapa tunaeleweshana kwa facts that why mwisho wa siku tumekubaliana kila mtu anapenda anavyotaka.
Ukiangalia point yangu hapo kasema series zako ulizotaja zipo juu ya 7 na Money heist ni utani sasa mbona ina rate ya 8.3?
Na ukisema series G.O.A.T izo series Embu tupe sifa za izo series na uziweke hapa maana hata nikiangalia izo series zako ulizozitaja hakuna hata 1 ambayo imeizidi money heist hata kuwa na asilimia kubwa kupendwa na Google users tu na kama hauna facts kama hizi unaweza potezea tu.ππ
View attachment 1824083
Anhaa! Kumbe kali so hapa unataka kulinganisha ukali.Nani kakuambia Money Heist sio series kali mzee!?
Ni series kali tu mkongwe, ila ni series kali kulinganisha na series gani!?
Sorry nenda kasome tena vizuri sijataja money heist tu bali na Game of Thrones why hazipo kwenye top 10?Mzee, kuna post yako hapo juu umeuliza mbona Money Heist haipo katika top ten ya series kali za muda wote katika IMDB!
Hapa hauwezi kuwa serious mzee, hiyo series ni kali lakini bado haina ubavu wa kuingia katika top ten ya series kali za wakati wote.
Mzee, nimeshakuambia sababu ya watu kuikubali hiyo Money Heist zaidi za series zingine, siwezi kurudia tena.
Sijataja Money heist tu kuna Game of Thrones pia why haipo?Mzee mimi nimeona umefanya utani kuitaja Money Heist hapa. Unahoji kwanini hauioni katika top ten ya series kali za muda wote hapo IMDB. Nimekuambia hauko serious, sijakuambia Money Heist sio series kali, lakini kutaka kuiona katika ten G.O.A.T TV series, kwangu mimi huu ni utani, haiwezi kuwa hoja serious.
Yes money heist ni series Kali kuliko The wire kwasababu imeuza sana, inafuatiliwa dunia nzima, Tuzo za kutosha, inapendwa na Google users(Umeshaprove tayari) na pia ukiingia kwenye source yako pendwa ya IMDb π nenda kaangalie category ya the most watched TV shows of all time Money heist ipo juu ya The wire.View attachment 1824193
Kwa hoja yako hii, inaonekana Money Heist ni kali kuliko The Wire. Vipi wewe mkongwe, unaamini Money Heist ni series kali kuliko The Wire?
Anhaa! Kumbe kali so hapa unataka kulinganisha ukali.
Kabla sijaenda kwenye kulinganisha ukongwe Embu niambie sababu ya kuifanya hii series inaifanya WATU WOTE duniani waseme kali? Nipe vigezo au viashiria vya kuifanya hii iitwe series?
Niambie mkongwe wangu na hapo utajua sababu zangu za kukupinga kuhusu rate za IMDb
π€£π€£π€£π€£π€£ Wewe ndugu yangu Embu nikuache kidogo maana hujui nini tunabishana.
Huu mzigo nimeuona kwenye Apple Tv+ na wale jamaa wanakuja vizuri sana. I hope itakuwa nzuriThe Mosquito Coast
Wewe ndugu yangu Embu nikuache kidogo maana hujui nini tunabishana.
Hivi kuna series duniani ambayo story yake haijapondwa? Nitajie iyo series ili nikuletee watu wanavyoichambua series
Nmeanza nao hapa, naona kwa mbali unataka kufanana na Ozark, Apple wanakuja vizuri sanaHuu mzigo nimeuona kwenye Apple Tv+ na wale jamaa wanakuja vizuri sana. I hope itakuwa nzuri
πππ YES MONEY HEIST NI KALI KULIKO THE WIRE, acha acha acha kabisa mkongwe!!!Yes money heist ni series Kali kuliko The wire kwasababu imeuza sana, inafuatiliwa dunia nzima, Tuzo za kutosha, inapendwa na Google users(Umeshaprove tayari) na pia ukiingia kwenye source yako pendwa ya IMDb π nenda kaangalie category ya the most watched TV shows of all time Money heist ipo juu ya The wire.
Ngoja nikusaidie Top 20 tu za The most watched TV shows of all time za IMDb ni:
1:Game of Thrones.
2:Stranger things.
3:The walking dead.
4:13 reasons why.
5:The 100.
6: Orange in the new black.
7:Riverdale.
8: Grey's anatomy.
9: The flash.
10:Arrow.
11.Money heist.
12.The bing bang theory.
13:Black mirror
14: Sherlock Holmes.
15: Vikings.
16πretty little liars.
17: The vampire diaries.
18: American horror story.
19: Breaking bad.
20: Lucifer.
Hapo nimekuletea ushahidi wa why the money heist ni kali kuliko the wire so nipe za kwako ambazo hata tunaingia kwenye sources kubwa tunazikuta na sijacompare story maana series zote duniani zina stories tofauti zingekuwa sawa wangeshapelekana mahakamani.
Ukiondoa documentaries, GOT ipo katika top 10 mzee. Kwanza bado ni makosa kuzitaja GOT na Money Heist katika sentensi moja, yaani hapo ni sawasawa na kuwataja Eminem na 6ix9ine katika sentensi moja, kwasababu tu 6ix9ine amevunja rekodi iliyowekwa na Eminem katika mtandao wa YouTube.Sorry nenda kasome tena vizuri sijataja money heist tu bali na Game of Thrones why hazipo kwenye top 10?
Vigezo gani hasa vinazinyima izo mbili kutoingia kwenye iyo top 10 na kuifanya Chernobyl π€£π€£π€£ kuwemo na wao hawapo? Au wanangu wa series ya 24 why series yao pendwa haipo?