Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
Basi uliza kwanza mzee au utakuwa hujaangalia vizuri mwisho wa power yenyewe waliweka wazi kabisa izo chapter zinahusu nini? Na hizi chapter hazipo 3 mzee labda unaongelea power nyinginePower wanataka iendele mpaka Book 3 kitu ambacho wataboa kingine waje na ngonjera kua Ghost hakufa hapo ndio wataboa mpaka basi
Basi uliza kwanza mzee au utakuwa hujaangalia vizuri mwisho wa power yenyewe waliweka wazi kabisa izo chapter zinahusu nini? Na hizi chapter hazipo 3 mzee labda unaongelea power nyingine
Hakuna man nenda kaangalie reviews utagundua mimi ni Mpenzi wa series especially za drug ninaangalia hadi za italia huko ola iyo Narcos wamefail mzee ndio maana Netflix wakaafanya haraka haraka kuitoa narcos mexico maana iyo ndio balaa jinsi watu walivyoanza kuuza bangi hadi madawaIm talking about el camino waliboa anyway Power naomba hiyo June wakamalizie vipande vilivobaki ila sijui maisha ya 50cents sijui Tommy huko mbele yataniboa wacha tusubiri..Narcos nzuri sana kasome kitabu cha Mtoto wa Pablo ndio utizame
n.b mimi sio we mzee. We baba umeniita mzee oooh
Ni title tu man unaweza ukapotezea1st Acha kuniita mzee
Nikimkamata huyo,aandae washeriAliyetaja series ya "American Vandal" shwain kabisa!Kuna watu wanataja series huku kukomoa wengine!
Wa kike huyo!!Ni title tu man unaweza ukapotezea
Ndio maana alikuwa anakua mkali Sana anisamehe kwa hiloWa kike huyo!!
Kwani wakike ni imortal hazeeki, unajua vitu vingine haviitaji kucomplicate sana, BTW tumuombe tu msamaha tumuite bibi kizee.Wa kike huyo!!
Wanazeeka mkuu, sema ishu ni hilo neno "mzee" hili sana linatumika kwa wanaume, tunaitana mzee na sio kwa wanawake, point ipo hapoKwani wakike ni imortal hazeeki, unajua vitu vingine haviitaji kucomplicate sana, BTW tumuombe tu msamaha tumuite bibi kizee.
Atasamehe tu,, nipo namcheki Franklin Saint hapaNdio maana alikuwa anakua mkali Sana anisamehe kwa hilo
Poa poa mzee mimi nasubiria ujae sitaki utamu wa nusunusuAtasamehe tu,, nipo namcheki Franklin Saint hapa
Si ndio anakuwa mzee mama...mbona kuna mzee baba 😊.haki sawa kwa woteWa kike huyo!!
Si ndio anakuwa mzee mama...mbona kuna mzee baba.haki sawa kwa wote
Ipakue ndugu hautojutiaWakuu mlioangalia tribe of europa vipi iko guud tupakue
Ninayo mzee wa kazi ngoja nifanyie namna leo leoMkuu usipitwe na peaky blinders katika Tv Series bora ya muda wote kwenye hii dunia.
Unajua hili neno "mzee" linaswaga kichiz sema maraia hawaelewi tuPoa poa mzee mimi nasubiria ujae sitaki utamu wa nusunusu