Series (Special thread)

Daemusin

Mzigo wako wa Code huu,

Code amezitengeneza yeye mwenyewe sasa zinamuandama,Anatakiwa kuzifutilia mbali lakini kabla ya kuzifuta Anafukuzwa kazi..

Na Dunia iko mashakani ni yeye pekee mwenyewe kuweza kutatua ishu nzima..

Mzigo umetulia sana huu!!
 
Yeah tayar nmecheki hii iko poa sana nadhani mpk sas imeishia episode ya 10
 
Yeah tayar nmecheki hii iko poa sana nadhani mpk sas imeishia episode ya 10
Bahati mbaya ni kuwa tayali wameshai cancel,haitakuwa na season 2 tena, wanadai wameingia hasara,wamewekeza mzigo mkubwa lakn sokon haijafanya poa... Effect za covid 19 bado zinalitesa soko la series
 
Hivi nani aliiona hii Covert Affairs ,manake nataka kuipakua niitizame.
 
inahusu nn
Mshkaji mmoja aliingia France na dingi yake akiwa bado dogo wakitokea Senegal. Dingi yake akawa chaffauer wa mzee mmoja hivi Don. Huyu mzee alikua anamiliki necklace flan yenye thamani ya mamilioni ya pesa ambayo kihistoria ilikua ya Marie Antoinette aliyopewa na king Louis XVI. Akaikatia bima ya maana one week before then ikaibiwa halafu akaja kummframe dingi yake mshkaji Kama ameiiba, mzee akafungwa jela halafu kule jela akajinyonga Ila kabla alimwambia mwanae kwamba Hana hatia. 25yrs later mwamba Assane Bubakar Diop anatafuta justice kwa kile walimfanyia dingi yake. Jamaa Ni genius hatari
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…