The Wire ya zamani sana ndo maana huoni iki-trend... yaani ya kipindi kabla Bongo hawajawa crazy na ma-series kwa sababu kuzipata ilkuwa shida!
Dah! R.I.P Tony Soprano! Kifo cha Tony kilinipiga shock kama kifo cha Leo wa The West Wing!!Wazee wa zamani
Family matter
Friend's
The soprano's (hii walioshiriki wake wengi walisha fariki)
Sent using Jamii Forums mobile app
Seems unapenda sana mambo ya assault ambayo kwenye Real Spy Stuff, sio rahisi kuyakuta!!Duuh,hiyo "The americans" nimeangalia episode 5 naona imepoa sana!Naona kama haina story ya kueleweka!
Mkuu naomba link ya kushusha Homeland kuanzia S01, haya Mambo ya kutotoka ndani yanaleta balaaaaSawa mkuu, mimi hua natumia san hio njia ya 2,, ku download series karibu zote, very simple.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba link ya kushusha Homeland, nisogeze wikendiNimeicheck Homeland seasons zote kasoro inayoendelea maana mi nasubiri season nzima iishe ndo nishushe mzigo wote.
Kuna series ya The blacklist wew download season 1 episode 1 uone unyama wa Raymond Reddington kabla ya kushusha mizigo mingine.
FBI inamtafuta the most wanted Raymond Reddington sasa jamaa anaamua kujikamatisha hadi FBI wanashangaa inakuwaje uyu mtu kajileta mwenyewe sasa hapo jamaa anaingia nao deal kwamba atawatajia blacklisters wote wanaoisumbua USA ila anataka katika iyo team awepo mdada mmoja ambaye ni mwanae ila uyo sister hajui chochote ila cha kushangaza inakuja kugundulika huyu si Raymond Reddington je huyu mtu ni nani? Na huyo dada mama yake alikua jasusi wa urusi ambaye alikua mpenzi wa Raymond Reddington wakati alipotumiwa afanye mission USA inasemekana amekufa ila kumbe yupo hai na je yupo wapi? Na huyo dada ambaye ni mtoto wa Raymond Reddington ana mume wake ila uyo mumewe ni hitman na katumwa ili amchunguze uyo dada je, katumwa na nani? Kuna jasusi mwingine yupo Russia ambaye anabeef na Raymond nae anasema uyo dada si mtoto wa Raymond bali ni wake je uyo sister ni mtoto wa Raymond au jasusi la kirusi?
Raymond ni mtu mwenye connections zote ndani ya USA na nje so ana mtu wa kufuta ushahidi akifanya tukio, ana accountant, ana bodyguard huyo hacheck kutoka Africa anaitwa Dembe So ni bonge la series ilo man na humo kuna mabeef kati CIA na FBI humo ni kama yote.
Poa poa manReddington haeleweki kabisa aisee.
Ngoja niendelee kuifuatilia, nimemaliza season 1, now nataka nianze kuangalia season 2.
Nitaendelea nayo mpaka ikitoka Money Heist season 3 ndio nitaiweka pembeni kidogo.
Download u torrent install Kisha ingia kwenye hii site bonyeza magnetic link
Itakuwa uliangalia episode 2 ukaiachaIo breaking bad mnaipaisha sana kuliko ilivo yenyewe...huwez ikinganisha na 24 ama preason break...
Io fargo sasaiko kawaida sana
Sent using Redmi7
Ni kama money Heist tu.hizo ni series za kuangalia wakati ukisubiria series halisi zitokeNilijaribu kuanngalia the blacklist ikanishinda niliiona Kama haiko kiuhalisi, iko Kama mchezo wakuigiza,, kwaambaye hajawai kuiangalia siries inaitwa Dexter na mshauri aangalie kipindi hiki cha karantini
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiendelea kubisha achana nae.Itakuwa uliangalia episode 2 ukaiacha
Ila breaking bad ndo series namba moja hapa duniani sijajua kwa ulimwengun kama kuna sayari nyingine inatengeneza movies kama duniani .ila kama hamna nadiriki kusema "breaking bad is the best series at our Universe"
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa uliangalia episode 2 ukaiacha
Ila breaking bad ndo series namba moja hapa duniani sijajua kwa ulimwengun kama kuna sayari nyingine inatengeneza movies kama duniani .ila kama hamna nadiriki kusema "breaking bad is the best series at our Universe"
Sent using Jamii Forums mobile app
Download u torrent install Kisha ingia kwenye hii site bonyeza magnetic link
Download The Blacklist Season 1 Complete 480p - [itz_theo] Torrent | 1337x
Sent using Jamii Forums mobile app