donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
Scene ambayo sitaisahau ni ile alivyogundua jasusi la kirussia linemeza chip ya simu yenye ushahid,Jack Baeur hakuwa na muda wa kupoteza!Alimchana tumbo na kuanza kutafuta hiyo chip kwenye utumbo mwembamba mpaka akaipata,daaaah hii series naweza kuirudia hata mara 10!
Kitu ambacho 24 waliweza huwez kamwe kutabili tukio hata moja series ipo complicated sanaaaa nataman irudi Tena 24 legacy ilikuja lakn kuvaa viatu vya jack ndio kazi ipo
Hahaha noma sana yule jamaa ni mtaalam wa EITJack hafai season 7 alimpa torture jamaa ikulu wakati huo huo anakesi ya kutumia torture kweny interrogation kitu ambacho ni kinyume na Sheria jamaa alikuwa mwehuu
Ngoja tusubil tuone atakuja na plan ipi El profesor
Hatari sana!Scene nyingine kali ni ile alivyokuwa amekamatwa na kufungwa china,akiwa huko aliteswa sana lakini hakuisaliti nchi yake japokuwa serikali ilikuwa imemtelekeza!Sasa kuna magaidi walikuwa wanamuhitaji Jack ili wamuue kama kisasi kwa Jack kumuua moja wa ndugu wa magaidi hayo!Sasa wakaiambia serikali iwape Jack ili nao wawape location ya gaidi hatari Assad!Serikali katika kipindi hicho iliamua kunegotiate na China ili warudishiwe Jack ili wamtoe sadaka kwa magaidi hayo!Jack akakubali na ikafanyika exchange,Jack akaingia mikinoni mwa jamaa ambaye ndugu yake ndiye aliuwawa na Jack!Acha kabisa mkuu. Unakumbuka walivyomuua renee walker? Alishikwa na hasira za hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes,nakumbuka mme wa Chloe alitekwa na kulazimishwa kutengeneza program ya kulunch nuclear head,alipogoma jamaa walizamisha drilling machine ya mbao kwenye bega la jamaa!Mshikaji akalainika!Halafu ilikua vigumu sana kutabiri msaliti atakua nani. Ila chloe o brian alikua humble na obedient sana kwa jack bauer
Sent using Jamii Forums mobile app
April 3 mkuu ngoja tusubil tuone El profesor Ata Fanya nn
Daah, nimeingia chaka!Strike back hamna series humo!24 ni shughuli nyingine ...strike back inasubiri kwa 24 ingawa na yenyewe ni hot
Hatari sana!Scene nyingine kali ni ile alivyokuwa amekamatwa na kufungwa china,akiwa huko aliteswa sana lakini hakuisaliti nchi yake japokuwa serikali ilikuwa imemtelekeza!Sasa kuna magaidi walikuwa wanamuhitaji Jack ili wamuue kama kisasi kwa Jack kumuua moja wa ndugu wa magaidi hayo!Sasa wakaiambia serikali iwape Jack ili nao wawape location ya gaidi hatari Assad!Serikali katika kipindi hicho iliamua kunegotiate na China ili warudishiwe Jack ili wamtoe sadaka kwa magaidi hayo!Jack akakubali na ikafanyika exchange,Jack akaingia mikinoni mwa jamaa ambaye ndugu yake ndiye aliuwawa na Jack!
Basi jamaa akamchukua Jack kwa ajili ya kumpa kifo cha taratibu na cha mateso!Daaah,namna Jack alivyochomoka hapo ni hatari maana nakumbuka alizamisha meno kwenye koo la mmoja wa magaidi na kuondoka na koo lote!Hiyo scene nilikuwa nairudia rudia!
Mkuu kama uliangalia episodes 2 ukatupa basi hujafaidi kabisaaa!Ujue series ni kama mpenzi wako wewe umempenda na kumuona mzuri ila mwenzako anamuona mbaya ndo vivo ivo kwenye series wakati wewe unaiona kali mwenzio anaona upuuzi mtupu sio siri mimi strike back kwangu ni kali kuliko 24 maana 24 niliangalia episode 2 nikaifuta hapohapo. So kila mtu angaalie anachopenda
Hahaha, waambie mkuu. Ili wakawajue kina tony almeida, bill bucchanan, kanali ike dubaku na yule jamaa alikuaga mlinzi wa rais mogan baadae akawa anatifua bi martha mke wa rais. Vipi kuhusu president palmer? Alikua assassinated mdogo wake akajaribu kuvaa viatu ila ikawa patashika nguo kuchanika. Unakumbuka yule dogo gaidi wakiarabu alijiconseal kwenye room kavaa mabomu anataka kujilipua halafu ghafla anshangaa bauer anakuja na mama yake mzazi pale? Renee walker wa FBI alikua aridhishwi kabisa na interrogation techniques za bwana bauer ila baadae naye akaja kua konki. Acha kabisa 24Mkuu kama uliangalia episodes 2 ukatupa basi hujafaidi kabisaaa!
Strike back haina story kabisa,nimeangalia season 1 na sasa nimeanza season 2!Yaani ni risasi tu,mission zimefanywa kuwa simple sana!Yaani kila episode,more than 75% ni mapambano ya risasi!
Halafu kila muda inaonekana wanajua adui yuko wapi,hata akitoroka unakuta wanajua hapo hapo na wanaelekea eneo aliko,risasi zinaamza upya!
Pia nimeshangazwa na kisa kimoja,eti jamaa ana bunduki halafu yuko kwenye mapambano na adui,adui tayari ameishiwa risasi halafu eti jamaa linaweka bunduki pembeni ili wapambane kwa ngumi!Daah nilivyofika hapo nikasema,shiiit!
Huwa sirudii series ila hiyo naweza kuirudia kila nikianza kuisahau!Hahaha, waambie mkuu. Ili wakawajue kina tony almeida, bill bucchanan, kanali ike dubaku na yule jamaa alikuaga mlinzi wa rais mogan baadae akawa anatifua bi martha mke wa rais. Vipi kuhusu president palmer? Alikua assassinated mdogo wake akajaribu kuvaa viatu ila ikawa patashika nguo kuchanika. Unakumbuka yule dogo gaidi wakiarabu alijiconseal kwenye room kavaa mabomu anataka kujilipua halafu ghafla anshangaa bauer anakuja na mama yake mzazi pale? Renee walker wa FBI alikua aridhishwi kabisa na interrogation techniques za bwana bauer ila baadae naye akaja kua konki. Acha kabisa 24
Sent using Jamii Forums mobile app
Chloe yule demu Ana mnuno flani unafurahisha sana, mda wote anapenda kununa tuYes,nakumbuka mme wa Chloe alitekwa na kulazimishwa kutengeneza program ya kulunch nuclear head,alipogoma jamaa walizamisha drilling machine ya mbao kwenye bega la jamaa!Mshikaji akalainika!
Daah, nimeingia chaka!Strike back hamna series humo!
Ujue series ni kama mpenzi wako wewe umempenda na kumuona mzuri ila mwenzako anamuona mbaya ndo vivo ivo kwenye series wakati wewe unaiona kali mwenzio anaona upuuzi mtupu sio siri mimi strike back kwangu ni kali kuliko 24 maana 24 niliangalia episode 2 nikaifuta hapohapo. So kila mtu angaalie anachopenda
Mkuu kama uliangalia episodes 2 ukatupa basi hujafaidi kabisaaa!
Strike back haina story kabisa,nimeangalia season 1 na sasa nimeanza season 2!Yaani ni risasi tu,mission zimefanywa kuwa simple sana!Yaani kila episode,more than 75% ni mapambano ya risasi!
Halafu kila muda inaonekana wanajua adui yuko wapi,hata akitoroka unakuta wanajua hapo hapo na wanaelekea eneo aliko,risasi zinaamza upya!
Pia nimeshangazwa na kisa kimoja,eti jamaa ana bunduki halafu yuko kwenye mapambano na adui,adui tayari ameishiwa risasi halafu eti jamaa linaweka bunduki pembeni ili wapambane kwa ngumi!Daah nilivyofika hapo nikasema,shiiit!
Pia nimeshangazwa na kisa kimoja,eti jamaa ana bunduki halafu yuko kwenye mapambano na adui,adui tayari ameishiwa risasi halafu eti jamaa linaweka bunduki pembeni ili wapambane kwa ngumi!Daah nilivyofika hapo nikasema,shiiit!
Mkuu kutupa bunduki ili mpigane kwa mkono kwenye movies na series mbona ipo sana
Tafsiri yake ni kwamba adui anataka asionekana kakuonea kwahiyo anatupa bunduki ili muwe sawa.
Umeshaangalia 24?Iangalie hutojutia!nimecheka hapo juu..na huwezi amini style yangu ya kuangalia movie ni kama nasikiliza radio
huwa siangalii kwanza ninachofanya ni kui play kisha na minimize window naendelea fanya
mambo mengine kwa PC huku nasikiliza story ya movie bila kuona picha,ninaposikia story tamu
naacha ninachokifanya "nacheki hiyo movie" ila nikiwa nasikia kila saa milio ya risasi kama (strkbck)
natoa naweka movie ingine,hapa nilikua nasikiliza strikeback,huku nasoma comment zake hapa JF
kwenye kusoma si ndio nikakutana na hiyo comment yako hapo juu,sikutaka kufikiria mara mbili
nimeshaitoa na sitoiangalia tena,napenda season za type ya Money Heist,Blacklist,shooter,nk.
Kama kuna unazozijua za type hiyo naomba nisaidie majina au yeyote anaezijua movie za namna hyo
zisizo na makelele,story tamu,unaangalia movie mpk roho inakudunda wewe muangaliaji "such type"
Yeah,24 nimeangalia kwa sasa kama mara 3 season 1 mpaka 8!Huwezi kufananisha strike back na 24
Haiwezekani 24 ni moto ule na ukiachana na breaking bad hakuna kitu kikali kama kile na hakitakuwepo mkuu
Kama hujaangalia 24 angali
Strike back nimeangalia pia ila ya kawaida sana.
Pamoja na hizo zote ni kwamba mtu akiwa mzuri majority watamkubali hata mwenyewe angalia majority.
24 is next level mzee acha kabisa
Yaani unaangalia epsode mbili tu unasema hakuna kitu haupo serious
Kama uliangalia serious za kuanzia 2007 kurudi nyuma utakubaliana na mm now day hakuna mawe
Prison break
24
Lost
Breaking bad
Na zingine ni bouma achana na mastrike back hayo
Mkuu kutupa bunduki ili mpigane kwa mkono kwenye movies na series mbona ipo sana
Tafsiri yake ni kwamba adui anataka asionekana kakuonea kwahiyo anatupa bunduki ili muwe sawa.