Series (Special thread)

Asante mkuu!Ngoja nishushe mzigo!
 
Kila season ina episodes 24 isipokuwa ya mwisho!Niliwahi kukesha nayo,yaani kuanzia saa 1 jioni mpaka saa 3 asubuhi!Bonge moja la kitu!
"My name is Jack Bauer and thiz iz the longest day of my life..", "Mr. PRESIDENT its been an honor.."
Hii kitu hatari, kina tony almeida, chloe o brian, nina myers, magaidi kina Col.Ike Dubaku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"My name is Jack Bauer and thiz iz the longest day of my life..", "Mr. PRESIDENT its been an honor.."
Hii kitu hatari, kina tony almeida, chloe o brian, nina myers, magaidi kina Col.Ike Dubaku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Scene ambayo sitaisahau ni ile alivyogundua jasusi la kirussia linemeza chip ya simu yenye ushahid,Jack Baeur hakuwa na muda wa kupoteza!Alimchana tumbo na kuanza kutafuta hiyo chip kwenye utumbo mwembamba mpaka akaipata,daaaah hii series naweza kuirudia hata mara 10!
 
"My name is Jack Bauer and thiz iz the longest day of my life..", "Mr. PRESIDENT its been an honor.."
Hii kitu hatari, kina tony almeida, chloe o brian, nina myers, magaidi kina Col.Ike Dubaku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu ambacho 24 waliweza huwez kamwe kutabili tukio hata moja series ipo complicated sanaaaa nataman irudi Tena 24 legacy ilikuja lakn kuvaa viatu vya jack ndio kazi ipo
 
Jack hafai season 7 alimpa torture jamaa ikulu wakati huo huo anakesi ya kutumia torture kweny interrogation kitu ambacho ni kinyume na Sheria jamaa alikuwa mwehuu 🙂🙂🙂
 


yaani unalinganisha strike back na 24? haupo serious wewe

achana na habari za budget mzee sema ukali wa kitu matukio mle ndani

24 ni nouma
 
eti wadau mimi ni mgeni kwenye movie kwa sasa nina muda wa kuanza kufatilia movie.Sasa nina maswali,je ni website gani au app gani niwenayo kuweza kudownload muvi kalikali?
je ni season zipi mpya ambazo ni kali sanaaaa?
je movie zilizotafsiriwa zina uzuri?
naombeni maujanja wadau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…