Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Ni nzuri
Hata mm nmeipenda sijui wataendelea na season 2
Ni nzuri
Naisubiri ep 3 ni bomba japo km sio mtu wa kupemda muv za namna ile utaichukia,,nataka nipakue daredeville season 3Angalia series inaitwa The titans ina vimbwembwe ambavyo inanogesha
Jack ryan ipo kawaida tu sijui kwanini watu wanaisifia sana???
Hapo kwenye migegedo sasa ..utakuwa umechanganya mafaili.... Sio kweli..... Japo ni overratedKwakweli mnaoisifia hii muvi mm nataka uringo nanyie, hakuna cha maana zaifi ya migegedo..
Jack ryan ipo kawaida tu sijui kwanini watu wanaisifia sana???
imenibidi nicheke uku nilipo mana ile sehemu anayokufa nkikumbukaKawaida sanaaa sijategemea hamna hata maajabu ya kuonesha mpaka iitwe jina lile, gaidi kafa kizembe vile. Tyrant ilikua noma





Unaifananisha tyrant na uchafu gani huu. Asa analyst ana anacheza vp kama field officerKawaida sanaaa sijategemea hamna hata maajabu ya kuonesha mpaka iitwe jina lile, gaidi kafa kizembe vile. Tyrant ilikua noma
nimeangalia ni nzuri sana one of my favouritesNi nzuri
Condor a kawaida sana.... Haifikii Jack RyanKuna mtu yeyote kaangalia Condor?!
Badland sehemu B mpaka mwakan..Inakuja vuta pumzi
Condor a kawaida sana.... Haifikii Jack Ryan
Kwani wapi nmeifananisha na jack ryan?!
...kwan nime sema umeifaninsha na jack Ryan...
Hiyo ni personal comparison yangu binafsi..
Jack ryan....naipa nyota moja tu....nadhan 24 hours iliweka bench mark ya juu sana....kwenye series za jinsi hii.Jack ryan ya kawaida saana, walipoboa zaidi gaidi kafa kizembe mno,wakaenda na kule morroco kwenda kummalizia yule jamaa alietoroka kirahisi sana,full miyeyusho
Hakika mkuu, hakuna kama 24Jack ryan....naipa nyota moja tu....nadhan 24 hours iliweka bench mark ya juu sana....kwenye series za jinsi hii.